#COVID19 Marekani yatoa msaada wa dozi Milioni 1 za Chanjo ya Coronavirus

Promising

Ni aina gani ya chanjo?

Nimetafuta mitandaoni lakini so far inaonekana hakujakua updated
You're nothing but just lab rats, itakuwa ndiyo inafanyiwa majaribio kwenu kama ina react namna gani yaani kama ina side effects au la.
 
Wakuu ni aina gani ya chanjo tumeletewa kutoka marekani?Mbona imekua siri hawasemi?
Wewe subiri uchomwe tu, wangekuwa na nia ya kuitolea ufafanuzi wangefanya hivyo lakini hapa wameamua kukausha tu so do what you gotta do yaani kusuka au kunyoa.
 
Mama si ndio atakua wa kwanza kichanjwa mbele ya camera au?
Unadhani atachanjwa sawa na utakayochanjwa wewe, unadhani Biden kachanjwa sawa ni hiyo mliyoletewa huko?
Think deep bro.
 
That's one damn zillion dollars question.
 
Tena MAGAIDI na WAHAINI wakubwa. Wapigwe risasi hadharani kama Tundu Lissu alivyokoswakoswa kuuawa mchana kweupe baada ya walinzi kuondolewa na CCT kung'olewa.
Kwani ukimuombea mtu afe, utarithi Mali zake, au mke wake au unafikiri itakupunguzia matatizo uliyokua nayo au unafikiri itatengeneza njia yako ya kwenda Mbinguni?
Mbona mnachuma dhamba zisizo na ulazima?
 
Kwani ukimuombea mtu afe, utarithi Mali zake, au mke wake au unafikiri itakupunguzia matatizo uliyokua nayo au unafikiri itatengeneza njia yako ya kwenda Mbinguni?
Mbona mnachuma dhamba zisizo na ulazima?
dunia ya leo bado unawaza kuwa mke hurithiwa?
 
Mkuu wewe ni moja kati ya watu huwa nawa admire sana humu jamvini kwa hoja makini.

Ila kwa hili umepotoka pakubwa
Watu bwana mumelilia chanjo imekuja, lakini bado munaibua mengine tena?
 
πŸ‘
 
Natamani ungekua unasimamia maneno yako Kaka! Sema unayumba sana
 
Kwahiyo kwasababu wanatoka Marekani ni experts.. Get real! Hata kama huko kwao ni wasafisha barabara tuwaamini tu!
 
Sijui Shetani (Nyoka) alimwambia nini Eva kuhusu Fedha siku wanakutana kwenye bustani πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Watu bwana mumelilia chanjo imekuja, lakini bado munaibua mengine tena?
Mkuu

Sidhani sana kama kuna umuhimu wa wewe kuni quote kama huna hoja muhimu ya kuniambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…