#COVID19 Marekani yatoa msaada wa dozi Milioni 1 za Chanjo ya Coronavirus

Yaani Serikali ya CCM imepokea chanjo toka kwa mabeberu?
 
Waswahili wanasema, ukiwa mjanja sana jitahidi usiwe limbukeni. Serikali ya Wanyonge walijifanya hawataki Chanjo, sasa ubishi wao wamejikuta wanapokea Chanjo ambayo nchi nyingine kama US waliipiga marufuku.

ujanja mwingi kumbe hamna kitu






 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…