#COVID19 Marekani yatoa msaada wa dozi Milioni 1 za Chanjo ya Coronavirus

#COVID19 Marekani yatoa msaada wa dozi Milioni 1 za Chanjo ya Coronavirus

Hakika kwa sasa wizara ya Mambo ya Nje inafanya kazi zake kwa ubora unao takiwa, Hongera sana Mama Amb.Mulamula.
 
Max @Mods wajibikeni kuzuia disinformation hatari kama hizi kwenye platform yenu.
Mpuuzi kabisa,wewe ndiye unaye misinform Watanzania halafu unageuza kibao unasema mimi ndiye na-misinform!Hamna aibu kabisa,mnatusaliti Watanzania wenzenu kwa ujira wa Shetani!Shame on you.Lakini a day of reckoning for you is very close,Mungu hata waacha salama.

Hivi CIA wanawalipa nini mpaka mnakubali kushiriki kwenye this ongoing genocide kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya Binadamu?Msishani hatujui mpo,tunajua.Watch this👇.


 
Sana, uhusiano wetu umeanza mbali. Hawa si mabeberu kama ambavyo wahafidhina wa CCM ya mwendazake inavyotaka kuuaminisha umma wa waTanzania.

CCM ya awamu ya 6 muache kuigiza siasa za kidhalimu za awamu ya 5 ili msiutie doa uhusiano wa Tanzania na wadau wa Maendeleo toka nje.

Hotuba yake waziri wa mambo ya nje wa Tanzania kuadhimisha uhuru wa Marekani, Mh. Liberata Mulamula alizungumzia masuala mengi ya jinsi uhusiano ulivyoanza tangu wakati wa Mwalimu Nyerere hadi changamoto za virusi vya covid-19 Delta Variant 2021 kupatia chanjo za kuzuia Covid-19, mazingira endelevu ya uwekezaji Tanzania kwa kuondoa zaidi ya sheria 154 za kodi vilivyoleta ukwamo kwa wafanyabiashara kuwekeza Tanzania n.k

4 Jul 2021
Hon Amb Liberata Mulamula Speech during the celebration of U.S. Independence in Dar es salaam on July 2nd, 2021

Source : USEmbassyTZ

Waziri Dr. Liberata Mulamula amezidi kuonesha jinsi mazingira ya kibiashara yanavyoweza kunoga ikiwa sera sahihi mtambuka zitafuatwa kwa kunuku takwimu hizi toka Idara ya Biashara ya Marekani Tanzania | United States Trade Representative. b:

Tanzania
AGOA Status: Tanzania is eligible for African Growth and Opportunity Act (AGOA) benefits this year. It also qualifies for textile and apparel benefits.

Trade Agreements: The U.S. signed Trade and Investment Framework Agreements (TIFA) with the East African Community (EAC) in 2008, and with the Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA) in 2001. Tanzania is a member of both the EAC and COMESA regional organizations. USTR’s Africa Office is also leading U.S. efforts to forge a new trade and investment partnership with the East African Community.

U.S.-Tanzania Trade Facts

In 2019, Tanzania GDP was an estimated $62.2 billion (current market exchange rates); real GDP was up by an estimated 6.3%; and the population was 56 million. (Source: IMF)

Tanzania is currently our 121st largest goods trading partner with $462 million in total (two way) goods trade during 2019. Goods exports totaled $333 million; goods imports totaled $130 million. The U.S. goods trade surplus with Tanzania was $203 million in 2019.

Exports

  • Tanzania was the United States' 118th largest goods export market in 2019.
  • U.S. goods exports to Tanzania in 2019 were $333 million, up 0.2% ($607 thousand) from 2018 and up 110.5% from 2009.
  • The top export categories (2-digit HS) in 2019 were: aircraft ($175 million), machinery ($27 million), cereals (wheat) ($23 million), plastics ($19 million), and milling products ($9 million).
  • U.S. total exports of agricultural products to Tanzania totaled $47 million in 2019. Leading domestic export categories include: wheat ($23 million), prepared food ($3 million), pulses ($3 million), vegetable oils (ex. soybean) ($3 million), and poultry meat & products (ex. eggs) ($2 million).
Imports

  • Tanzania was the United States' 119th largest supplier of goods imports in 2019.
  • U.S. goods imports from Tanzania totaled $130 million in 2019, up 34.2% ($33 million) from 2018, and up 162.7% from 2009.
  • The top import categories (2-digit HS) in 2019 were: precious metal and stone (other stones, not strung) ($41 million), knit apparel ($29 million), woven apparel ($23 million), coffee, tea & spice (coffee) ($10 million), and vegetable saps and extracts (pectates) ($6 million).
  • U.S. total imports of agricultural products from Tanzania totaled $24 million in 2019. Leading categories include: unroasted coffee ($9 million), cocoa beans ($2 million), planting seeds ($2 million), tree nuts ($1 million), and spices ($321 thousand).
Trade Balance

  • The U.S. goods trade surplus with Tanzania was $203 million in 2019, a 13.8% decrease ($33 million) over 2018.
Investment

  • U.S. foreign direct investment (FDI) in Tanzania (stock) was $1.5 billion in 2019, a 5.2% increase from 2018. There is no information on the distribution of U.S. FDI in Tanzania.
  • Tanzania's FDI in the United States (stock) was $1 million in 2019, unchanged from 2018. There is no information on the distribution of Tanzania FDI in the U.S.
Pamoja na yote hayo bado haijazaidia kuzuia tozo ya miamala
 
Kwani JPM alisema watu wasivae barakoa au alitoa angalizo aina za barakoa ambazo watu wake waepukane nazo?
 
Wakati huo huo wanapigia chapuo delta wave/effection. Mtamkoma shetani na vizabizabina wake wakiwa na mibarakoa, msipojiongeza Watanzania wenzangu. 'Ama nasema uongo jamani?'
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kati ya mambo yanayonifurahisha katika hili igizo zima la UVIKO-19, ni kuona watanzania wameyapuuza mabarakoa na machanjo ya mabeberu.

Hii inathibitisha KWAMBA, UVIKO-19 ni igizo lililokosa wateja Tanzania, NA KWAMBA, uelewa wa watanzania kuhusu UVIKO uko katika viwango vya elimu ya juu — Hawababaishwi na maigizo.

Achana na hawa madalali wa chanjo wanaoposti majeneza yenye mchanga. Hao nao walishapuuzwa pia, wamebaki kuhaha tu hawajui wataambia nini wazungu baada ya kutafuna mapesa yao ya misaada.

Ukweli ni kwamba, watanzania walimuelewa vyema Jemedari Chuma John Pombe Joseph Magufuli. Walishamaliza na kufunga jalada. Wako bize wanachapa kazi [emoji818][emoji818][emoji818]

Mengine yote yanayoendelea kwa sasa ni maigizo ya futuhi tu. Tulishamalizana na hizo habari toka kitambo.

Tunadunda tu. Mabarakoa na machanjo uchwara tupa kule.

Hongera JPM, hongera watanzania.
Achaneni na mizaha
 
Mpuuzi kabisa,wewe ndiye unaye misinform Watanzania halafu unageuza kibao unasema mimi ndiye na-misinform!Hamna aibu kabisa,mnatusaliti Watanzania wenzenu kwa ujira wa Shetani!Shame on you.Lakini a day of reckoning for you is very close,Mungu hata waacha salama.

Hivi CIA wanawalipa nini mpaka mnakubali kushiriki kwenye this ongoing genocide kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya Binadamu?Msishani hatujui mpo,tunajua.Watch this[emoji116].


Tumekwisha.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kati ya mambo yanayonifurahisha katika hili igizo zima la UVIKO-19, ni kuona watanzania wameyapuuza mabarakoa na machanjo ya mabeberu.

Hii inathibitisha KWAMBA, UVIKO-19 ni igizo lililokosa wateja Tanzania, NA KWAMBA, uelewa wa watanzania kuhusu UVIKO uko katika viwango vya elimu ya juu — Hawababaishwi na maigizo.

Achana na hawa madalali wa chanjo wanaoposti majeneza yenye mchanga. Hao nao walishapuuzwa pia, wamebaki kuhaha tu hawajui wataambia nini wazungu baada ya kutafuna mapesa yao ya misaada.

Ukweli ni kwamba, watanzania walimuelewa vyema Jemedari Chuma John Pombe Joseph Magufuli. Walishamaliza na kufunga jalada. Wako bize wanachapa kazi
emoji818.png
emoji818.png
emoji818.png


Mengine yote yanayoendelea kwa sasa ni maigizo ya futuhi tu. Tulishamalizana na hizo habari toka kitambo.

Tunadunda tu. Mabarakoa na machanjo uchwara tupa kule.

Hongera JPM, hongera watanzania.
100
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kati ya mambo yanayonifurahisha katika hili igizo zima la UVIKO-19, ni kuona watanzania wameyapuuza mabarakoa na machanjo ya mabeberu.

Hii inathibitisha KWAMBA, UVIKO-19 ni igizo lililokosa wateja Tanzania, NA KWAMBA, uelewa wa watanzania kuhusu UVIKO uko katika viwango vya elimu ya juu — Hawababaishwi na maigizo.

Achana na hawa madalali wa chanjo wanaoposti majeneza yenye mchanga. Hao nao walishapuuzwa pia, wamebaki kuhaha tu hawajui wataambia nini wazungu baada ya kutafuna mapesa yao ya misaada.

Ukweli ni kwamba, watanzania walimuelewa vyema Jemedari Chuma John Pombe Joseph Magufuli. Walishamaliza na kufunga jalada. Wako bize wanachapa kazi [emoji818][emoji818][emoji818]

Mengine yote yanayoendelea kwa sasa ni maigizo ya futuhi tu. Tulishamalizana na hizo habari toka kitambo.

Tunadunda tu. Mabarakoa na machanjo uchwara tupa kule.

Hongera JPM, hongera watanzania.
Unajielewa mkuu..Yaani mi nashangaa kila mtu anasingizia eti anasikia watu wanakufa..wanaokufa ni kina nani? Mtaani kwako majirani hawajafa, wafanyakazi wenzio hawajafa, ndugu 'ako hawajafa na kama hao kuna mtu kafa sio kwa corona. So who is dying???. Na watu wamefika kipinsi wanajidai kama vile vifo havikuwahi kuwepo kabla ya corona. Watu walikuwa wanakufa na wataendelea kufa kwa magonjwa tofauti tofauti pamoja na ajali. Hii corona kweli inaua lakini si kwa kiwango na speed ambayo wauza chanjo na madalali wao wanataka tuamini. Corona is survival of the fittest..ikikuta afya ilikuwa mgogoro itakubeba tu..So watu walokufa kqa corona walikufa kwa sababu tayari walikuwa na magonjwa mengine ambayo tanawafanya wasiweze kupambana na corona. Na ndio maana wengi sana wamekufa ulaya kwa sababu ya high life expectancy ambayo inafanya wazee wawepo wengi sana. Huku sie tunajifiaga mapema tu mjini wazee wachache sana..na walip vijijini kinga zao ziko vizuri mno
 


Chaliiiii siku hizi wanamuita MWENDAZAKE.


Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.


Kati ya mambo yanayonifurahisha katika hili igizo zima la UVIKO-19, ni kuona watanzania wameyapuuza mabarakoa na machanjo ya mabeberu.

Hii inathibitisha KWAMBA, UVIKO-19 ni igizo lililokosa wateja Tanzania, NA KWAMBA, uelewa wa watanzania kuhusu UVIKO uko katika viwango vya elimu ya juu — Hawababaishwi na maigizo.

Achana na hawa madalali wa chanjo wanaoposti majeneza yenye mchanga. Hao nao walishapuuzwa pia, wamebaki kuhaha tu hawajui wataambia nini wazungu baada ya kutafuna mapesa yao ya misaada.

Ukweli ni kwamba, watanzania walimuelewa vyema Jemedari Chuma John Pombe Joseph Magufuli. Walishamaliza na kufunga jalada. Wako bize wanachapa kazi [emoji818][emoji818][emoji818]

Mengine yote yanayoendelea kwa sasa ni maigizo ya futuhi tu. Tulishamalizana na hizo habari toka kitambo.

Tunadunda tu. Mabarakoa na machanjo uchwara tupa kule.

Hongera JPM, hongera watanzania.
 
Mizaha gani?
100

Unajielewa mkuu..Yaani mi nashangaa kila mtu anasingizia eti anasikia watu wanakufa..wanaokufa ni kina nani? Mtaani kwako majirani hawajafa, wafanyakazi wenzio hawajafa, ndugu 'ako hawajafa na kama hao kuna mtu kafa sio kwa corona. So who is dying???. Na watu wamefika kipinsi wanajidai kama vile vifo havikuwahi kuwepo kabla ya corona. Watu walikuwa wanakufa na wataendelea kufa kwa magonjwa tofauti tofauti pamoja na ajali. Hii corona kweli inaua lakini si kwa kiwango na speed ambayo wauza chanjo na madalali wao wanataka tuamini. Corona is survival of the fittest..ikikuta afya ilikuwa mgogoro itakubeba tu..So watu walokufa kqa corona walikufa kwa sababu tayari walikuwa na magonjwa mengine ambayo tanawafanya wasiweze kupambana na corona. Na ndio maana wengi sana wamekufa ulaya kwa sababu ya high life expectancy ambayo inafanya wazee wawepo wengi sana. Huku sie tunajifiaga mapema tu mjini wazee wachache sana..na walip vijijini kinga zao ziko vizuri mno
Muwe mnajiongeza basi kwenda kwenye mahospitali makubwa mkaone watu wanavyo pumua kwa shida na kwa msaada wa mitungi ya oxygen ili muone changamoto halisi za huo ugonjwa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Badala ya kumwacha JPM apumzike kwa amani wewe unaokuja hapa na post zako za kijinga.

Watu wanapukutuka kwa korona kila mahali Tanzania na Duniani kwa ujumla wewe unakuja hapa na mizaha yako.

Kwa viwango vyovyote wewe ni mtu mjinga tu. Kama unamilki familia,hiyo familia ina hasara kubwa.
 
Back
Top Bottom