#COVID19 Marekani yatoa msaada wa dozi Milioni 1 za Chanjo ya Coronavirus

#COVID19 Marekani yatoa msaada wa dozi Milioni 1 za Chanjo ya Coronavirus

Tengeneza za kwako , omba msaada za mabeberu wa kichina au Kanywe ile dawa anayogawa Rais mwenyewe Kabudi aliyoileta kutoka Madagascar.
chanjo ya J&J inatia wasiwasi kwa kweli. Hawa jamaa wana skendo kwenye powder zao za watoto. Ilikuwa ipatikane ya Moderna na pfizer
 
Marekani imeipatia Serikali ya #Tanzania zaidi ya dozi milioni 1 za chanjo dhidi ya COVID-19, ukiwa ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa #COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Upokeaji wa Chanjo hizo umefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ukiongozwa na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima.

Kwa hili tutamkumbuka sana hayati Magufuli.
 
Mwanzo mlisema lisu mabwana zake mabeberu sasa nyie sasahivi naona mmempindua lisu mnapanga foleni tu
Wewe hutazami tv? Huoni mabeberu yanavopishana ikulu kujipendekeza? Mama hayatafuti..yanamtafuta menyewe...sasa mtaenda kudeka na kulialia kwa nani mtapokula kichapo cha mama?
 
Wewe hutazami tv? Huoni mabeberu yanavopishana ikulu kujipendekeza? Mama hayatafuti..yanamtafuta menyewe...sasa mtaenda kudeka na kulialia kwa nani mtapokula kichapo cha mama?
Kichapo kwa wote mkuu, huku sabaya huku mbowe, hapo sijazungumzia tozo za kisenge
 
Kichapo kwa wote mkuu, huku sabaya huku mbowe, hapo sijazungumzia tozo za kisenge
Ndo najiuliza mtabadiri mbinu? Maana Lisu na Lema wamesema wanashitaki misaada isije..hilo haliwezekani kamwe..kwa jpm halikufaulu..na hata kwa mama halitawezekana..mabeberu yanaipenda tz
 
Ndo najiuliza mtabadiri mbinu? Maana Lisu na Lema wamesema wanashitaki misaada isije..hilo haliwezekani kamwe..kwa jpm halikufaulu..na hata kwa mama halitawezekana..mabeberu yanaipenda tz
Unaumwa wewe halikufaulu vipi ikiwa mnabadili gia? Zito alifanikisha kuzuia msaada hadi matakwa yake mlipoyafata ndio mkapewa mkitoka hapo mnawaita mabeberu, na kweli kwenu ni mabeberu maana yanawapanda kwa njaa zenu, enzi za mwendazake si mlikataa chanjo mkaweka nyungu sasa kiko wapi ikiwa waziri mpiga nyungu leo anapokea chanjo, na utachanjwa tu
 
Kwa hili tutamkumbuka sana hayati Magufuli.
Hii nchi haiwez kuendelea ikiwa mawazo ya watanzania wengi ni ya aina yako,,..
What you dont know life will never be the same again,covid is here to stay mgeni wa milele huyu kashafika,..
Its either ukachanjwe sasaivi,,..
Au uje uitafute kwa tochi huko baadae..
Hii corona itatoka matoleo zaid ya series ya kulfi,.
Na hayo yajayo ndo yanafurahisha zaid..
Utachanjwa t msukuma,tena utaipangia foleni uku ukilia lia.
 
Marekani imeipatia Serikali ya #Tanzania zaidi ya dozi milioni 1 za chanjo dhidi ya COVID-19, ukiwa ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa #COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Upokeaji wa Chanjo hizo umefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ukiongozwa na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima.

Eeh kumbe wazungu ni watu wema sio mabeberu
 
Unaumwa wewe halikufaulu vipi ikiwa mnabadili gia? Zito alifanikisha kuzuia msaada hadi matakwa yake mlipoyafata ndio mkapewa mkitoka hapo mnawaita mabeberu, na kweli kwenu ni mabeberu maana yanawapanda kwa njaa zenu, enzi za mwendazake si mlikataa chanjo mkaweka nyungu sasa kiko wapi ikiwa waziri mpiga nyungu leo anapokea chanjo, na utachanjwa tu
Ndo maana jpm hakuya bembeleza Mabeberu...ila sasa hivi yanajimwaga tu..shindaneni kujipendekeza ila yameshaamua kumsapoti mama
 
Well said mkuu, actually hivi sasa Viongozi Duniani wana wajibu wa kijifunza kutoka Uchina linapo kuja suala la kupambana/dhibiti na maambukizi ya kovid-19, sio siri Wachina wamefanikiwa sana ku- contain.

Ambacho kinanishangaza mimi naona Mataifa ya magharibi kama kuna uhusiano fulani kuhusu maambukizi mapya na chanjo zao in as if chanjo ndio zinachochea kuzidi kwa maambukizi badala ya kuyapunguza - wao wanadai eti maambukizi zanaongezeka kwa wale ambao hawajapatiwa chanjo - hii wapi na wapi? mbona hayo hayatokei huko Uchina?

Si hilo tu inaelekea vile vile kwamba chanjo za mRNA zinasababisha Vifo kuliko Covid yenyewe - takwimu za Scotland kwa mfano: zinaonyesha kwamba raia 54,000 walipoteza maisha ndani ya miezi miwili kutokana na chanjo zenyewe, wakati vifo kutokana na covid-19 vilikuwa ni idadi ndogo - what does that tell you - mark you, 'am not a scare monger, lakini tukubali kwamba kuna tatizo si bure.
Na ubaya hakuna wanachokubali wanataka tuamini kila kitu kipo sawa tu.
 
Marekani imeipatia Serikali ya #Tanzania zaidi ya dozi milioni 1 za chanjo dhidi ya COVID-19, ukiwa ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa #COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Upokeaji wa Chanjo hizo umefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ukiongozwa na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima.

Kwa kuwa CCM ndiyo chama tawala hapa nchini kinachounda serikali, ijapokuwa walifanya uharamia kwa msaada wa vyombo vya dola ili kupata ushindi ktk uchaguzi mkuu wa 2021. Kwa hiyo basi napendekeza mzigo huu uliowasili wa chanjo za UIVIKO 19 utumike kwa ajili yao pekee kutokana uzito na ugumu wa majukumu ya kuendesha shughuli za kiserikali na bunge.

Pendekezo hili linajikita ktk historia ya kikombe cha Babu na juisi ile waliojipendelea kutota Madagascar iliyokwenda kuchukuliwa na ndege ya rais.
 
Ndo maana jpm hakuya bembeleza Mabeberu...ila sasa hivi yanajimwaga tu..shindaneni kujipendekeza ila yameshaamua kumsapoti mama
Mlikuwa mnadanganjwa tu na JPM na kundi lake.Mbona hakukataa ARV za bure kwa watanzania 2m plus wanaopata hizo dawa bure for the past 6yrs.Dose mora ya mwezi ni kati ya Tzs 350,000 to 700,000 za watoto ni ghali zaidi.Acheni unafiki.Yaani jirani yako anakingi mpaka anazasa akikupa kukusaidia basi ni mbaya .Unless wewe ni shetani. Dini zote zinahubiri utoaji ,saidianeni,pendaneni nk.JPM na kundi lake wako.busy kuhakikisha watu wanateseka.Tilichanga fedha za maafa ,wakasema za miundombinu yaani aliwapandikiza roho ya kisadisti wafuasi wake ,ndio maana alikufa tu no way.Samia kasema chanjo ni hiari
 
Marekani imeipatia Serikali ya #Tanzania zaidi ya dozi milioni 1 za chanjo dhidi ya COVID-19, ukiwa ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa #COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Upokeaji wa Chanjo hizo umefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ukiongozwa na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima.

New Jersey Marekani, watu 50 waliopata chanjo yote ya Covid 19 wafariki kwa Covid 19.
 
Asanteni sana wadau wetu wa maendeleo....muwe na moyo huo wa kuwasaidia wanyonge...

Nyie si mabeberu kama baadhi ya wapinga maendeleo wanavyowasema vibaya...

Tunawashukuru sana...
 
Mkuu lengo la beberu limetimia ,wewe hushangai dalali wa mabeberu Tony Blair katia timu na kuahidi kututafutia wawekezaji wa viwanda vya chanjo, kwa wale ambao wamesahau, Tony Blair baada ya kuondoshwa na Gordon Brown kwenye uwaziri mkuu kazi yake kawa kama Insta influencer, analipwa kwa kazi ya kupiga debe na anachaji pesa ndefu, wakati wa mwendazake hatukuwahi kumsikia Tony Blair kuja Tanzania kunadi biashara za mabeberu, Tony Blair sio mtu mzuri,ni wa kuogopwa kama ugonjwa wa ukoma.
Blair analaaniwa na waarabu mpaka kesho ni mmoja wa waliofanikisha ile vita ya Bush junior baada ya tukio la kigaidi la september 11 2001.
 
Mlikuwa mnadanganjwa tu na JPM na kundi lake.Mbona hakukataa ARV za bure kwa watanzania 2m plus wanaopata hizo dawa bure for the past 6yrs.Dose mora ya mwezi ni kati ya Tzs 350,000 to 700,000 za watoto ni ghali zaidi.Acheni unafiki.Yaani jirani yako anakingi mpaka anazasa akikupa kukusaidia basi ni mbaya .Unless wewe ni shetani. Dini zote zinahubiri utoaji ,saidianeni,pendaneni nk.JPM na kundi lake wako.busy kuhakikisha watu wanateseka.Tilichanga fedha za maafa ,wakasema za miundombinu yaani aliwapandikiza roho ya kisadisti wafuasi wake ,ndio maana alikufa tu no way.Samia kasema chanjo ni hiari
Nenda kadungwe chanjo hakuna aliyekuzuia
 
Back
Top Bottom