Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Tengeneza za kwako , omba msaada za mabeberu wa kichina au Kanywe ile dawa anayogawa Rais mwenyewe Kabudi aliyoileta kutoka Madagascar.
chanjo ya J&J inatia wasiwasi kwa kweli. Hawa jamaa wana skendo kwenye powder zao za watoto. Ilikuwa ipatikane ya Moderna na pfizer