Marekani yatoa 'Ujumbe wa faragha' kwa Iran baada ya shambulizi Yemen

Marekani yatoa 'Ujumbe wa faragha' kwa Iran baada ya shambulizi Yemen

kalipeni

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
1,571
Reaction score
1,328

Biden asema amewasilisha ujumbe wa faragha kwa Iran kuhusu mashambulizi ya Houthi​

g

Taarifa kutoka Washington hivi punde zinasema Rais Joe Biden anasema Marekani imewasilisha ujumbe wa faragha kwa Iran kuhusu Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran waliohusika katika kuzishambulia meli za kibiashara katika Bahari ya Shamu,

"Tuliiwasilisha kwa faragha na tuna imani kuwa tumejiandaa vyema," Biden aliwaambia waandishi wa habari katika Ikulu ya White House.
 

Biden asema amewasilisha ujumbe wa faragha kwa Iran kuhusu mashambulizi ya Houthi​

View attachment 2871366
Taarifa kutoka Washington hivi punde zinasema Rais Joe Biden anasema Marekani imewasilisha ujumbe wa faragha kwa Iran kuhusu Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran waliohusika katika kuzishambulia meli za kibiashara katika Bahari ya Shamu,

"Tuliiwasilisha kwa faragha na tuna imani kuwa tumejiandaa vyema," Biden aliwaambia waandishi wa habari katika Ikulu ya White House.
Ngoja tuone.
 
iyo kauli ya Biden kusema amejiandaa huo ujumbe utakua wamoto sana.
Huo ujumbe una nia ya kuishinikiza Iran iwaamuru wahuthi wasijibu mashambulizi yaliyo fanywa na Marekani na Uingereza.
 
Irani ndio nani kwa USA?

Ni sawa na mamba kujaribu kuishi Baharini
 
😄 Sa America mbona kelele nyingi we pitisha meli hapo Red Sea mimi naona America kama mbwa koko kazi kubweka tu.

Ameanza vizuri kapiga Yemen, sa siaendelee tu, kwani alipo ambiwa kwanza Yemen ukienda kichwa kichwa utajikuta huna kichwa si alijifanya nunda.

S a kelele za nini tunataka apitishe meli zilizo kwama Djibouti kama Yeye ni Mwanaume.
 
Back
Top Bottom