Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Waache yaani huu mwaka either tucheke wote au tulie wote
CCM haiwezi kubadirika yenyewe, itabadirishwa kwa nguvu za ndani ya yenyewe ili kujikinga na mageuzi, au nguvu ya umma dhidi ya dola lake.
 
06 October 2020

Mitandao na Mawasiliano inahujumiwa ?

Tundu Lissu, Live Kiluvya - Dar, afisa habari Makene anaongea Na Swahili Villa


 
cheap politics, RUSSIA, CHINA hwana hata uchaguzi. raisi ni mmoja milele, ifike tu mda we look for alternatives hata kama ni bussiness motives znatuunganisha,
 
Tanzania sasa hivi ni nchi ya mfano sana ndiyo maana wanapiga kelele hivyo. Zamani tukiwa shamba la bibi walikuwa hawasemi kitu; na hata nchi zote zinazotuzunguka kama Rwanda ambayo inaongozwa kimabavu sana hawaisemi kwa vile haina manufaa sana kwao. yeye anshiwndwa kuzungumzia jinsi wapiga kura wa Marekani wanavyobanwa wasipige kura anakuja kuongelea mambo ya Tanzania.
Yaani wanajikangaja sasa; balozi ambaye ndiye yuko Tanzania anaongea mambo mengine, wakati yeye yuko huko milimani Idaho anaongea mambo mengine ya kufikirika tu.
umeenda mbali sana, russia hawana hata uchaguzi mkuu, china the same! korea the same, whats so important na tanzania
 
RPC mkoa wa Pwani azingumzia Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA kuzuiwa barabarani sehemu ya Kiluvya mkoani Pwani

 
Hah hah kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani anaongea huku akitamani kucheka, maana kuitetea CCM Mpya ni kazi kweli kweli kwa sababu anazotoa kamanda wa Polisi wa mkoa.
 
Hah hah kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani anaongea huku akitamani kucheka, maana kuitetea CCM Mpya ni kazi kweli kweli kwa sababu anazotoa kamanda wa Polisi wa mkoa.
Aise unaandika na kujijibu mwenyewe. Kazi kwelikweli. Aibu!
 
Mama Clinton alishinda kura za wananchi ila hakuwa president.....
Bush alipata uraisi baada ya matokeo kuhesabiwa mara ya pili after long waiting.

tuwaheshimu vilanja wa domo-krashia duniani

Viva Magu 2020 to 2030
Hakika hii mishale inayopigwa kila upande toka pande mbalimbali za dunia, zikituonya nchi hii tuendeshe uchaguzi ulio huru na wa haki, ni message tosha kwa watawala kuwa wasitende kama walivyozoea, ni lazima watambue kuwa dunia nzima inauangalia kwa makini sana, uchaguzi huu

Iwapo Rais wetu na NEC yake watajifanya wana kiburi na kutotaka kusikiliza hizo kelele za dunia nzima, basi watakapoburuzwa kwenye mahakama ya kimataifa The Hague, wasije wakalaumu mtu!

Hakika uchaguzi wa mwaka huu ni wa historia, kama ambavyo amekuwa akisikika akisema Tundu Lissu.
 
infwakt tunawaheshimu na kuwaogopa na ndio maana uchaguzi utakuwa huru na haki na JPM atapata 92% halali....

Viva Magu 2020 to 2030
Ninyi CCM hamna ubavu wa kuwabishia hao Marekani kwa watakayoyasema............

Kwani misaada yao mnaendelea kupokea kwa wingi hao mnaowaita mabeberu
 
Nchi yetu itafanya uchaguzi na CCM tutashinda maana tumejipanga. Kama unategemea eti Seneta wa Marekani ndio amuingize Lissu madarakani na sio wananchi wa Tanzania, jiulize alivyoondolewa kwenye Ubunge ilikuwaje pamoja na kuzunguzuka dunia nzima akiloloma?
Polisi hawatawasaidia kitu

FB_IMG_1574277425198.jpg
 
17:20hrs EAT
Pwani Tanzania

Jioni hii Tundu Lissu azungumza akiwa bado amezuiliwa barabarani


Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu azungumzia suala la Polisi kuweka vikwazo wakati yeye ni kiongozi wa chama asifanye majukumu aliyopangiwa na chama baada ya Kamati Kuu ya CHADEMA kumpangia kazi za chama baada ya zuio la Tume ya Taifa ya Uchaguzi la siku 7 asifanye Kampeni za 2020 kwa kofia ya Mgombea wa Urais.
 
Tell them to mind their own business.
Ukitaka hivyo acha kuwa omba omba!! Siku zote omba omba ni ngumi kuchagua rafiki!!kesho toa tamko kuwa kuanzia hamtaki msaada wao kwenye ARV'S, tena, anzieni hapo tu, ha hizi zilizopo tunazitia moto, kwakuwa ni za MABEBERU, tutaanza kununua wenyewe!!! Na ikiwezekana kabisa balozi wao apewe 24hrs,aondoke nchini!!!
 
Back
Top Bottom