Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Nilishawahi kusema raisi ni baba wa wote, mtoto mkorofi anapoadhibiwa kupita kiasi ndugu zake watoto wazalendo wanaweza kuwa upande wake na wakamgeuka baba yao.
 
To hell with them, hata wamarekani wote na wazungu wasipokuja, it’s ok, hii warning ni utekelezaji wa mpango huu, hivyo they can just go to hell as long as tuna rafiki wa kweli Mchina, tukimkaribisha Mchina kwa bidii, anatosha
P
Hatuna nguvu ya kuchagua rafiki kati ya hao maana wao wapo kuchukua vilivyopo kwetu..Wachina hawana hurka ya kutalii kama Wamarekani ingawaje idadi yao inaongezeka siku hadi siku.
Wachina pia ni wachumi kwenye matumizi hata hapo Arusha wana hotel zao za bei za kawaida wakati mtalii mmarekani aogopi gharama hata tour guide atapenda kumpeleka Mmarekani kuliko Mchina kwa sababu ya tip nzuri..
 
kuna watu hawatokuelewa mzee, ila umeongea ukweli.
Nilivyoponzeka kwa uwasema US: ''Mambo yalianza wakati sasa narudi Dar es Salaam na ndege ya Emirates iliyokuwa inatua usiku. Inaelekea maofisa wa pasi pale uwanjani walikuwa na taarifa zangu mapema na walikuwa wakinisubiri kwa hamu kubwa kwani nilipotoa pasi yangu kwa afisa wa pasi hapo ndipo shughuli za kunishughulikia zilipoaanza. Mimi sikuwa na hili wala lile. Nikawa namuona yule dada aliyekuwa kwenye kile kizimba akikukurika na pasi yangu akiitia katika mashine na kuitoa mara kadhaa. Fikra iliyonijia kwa haraka ilikuwa mashine ni mbovu na harakati zile zilikuwa ni kurekebisha mitambo. Kumbe sivyo wahusika nadhani walikuwa wanahakikisha kuwa mimi ndiyo huyo waliokuwa wakimwinda na kumsubiri na sasa kapatikana, kaingia mwenyewe kwenye mtego na kanasa. Yule afisa wa pasi akanambia nikae pembeni natakiwa kwa mahojiano na watu wa usalama. Hofu haikuwa imeniingia kwa kuwa nilikuwa natambua kuwa harakati dhidi ya ugaidi zilikuwa zimepamba moto na labda nilitakiwa kwa mahojiano mafupi kutaka kujua nyendo zangu. Sikujua wala kutarajia kuwa mshtuko mkubwa ulikuwa unanisubiri.''

 
Hivi kwa hali hii bashite likizo atakuwa anaenda wapi??

Europe sidhani,america ndio doh,SA??,

Watakuwa washampiga stop kitambo.
 
Kwa mara ya kwanza tangu Uhuru nchi yetu tumeichafua wenyewe mbele ya mataifa. Haya mambo yetu ya chuki chuki za kisiasa ya kutekana; kupotezana; kupigana ma risasi hadharani kumetuponza - wacha tuone...
....unawezekana wao ndo wanadhamini show ! Huoni wengine wanaruka dhamana makusudi tu ili watangaze nje kuwa wao ni wafungwa wa kisiasa.
 
Kwani ccm wanawapenda wapinzani? Ndio hayo hayo.
ccm na wapinzani ni watoto wa mama mmoja(tanzania) wasipopendana marekani anapata hasara gani mkuu!

marekani anapaswa ashughulike na mambo yake ya ndani

kila siku tunaambiwa watu wameuana kwa bunduki hapo marekani lakini hakuna hata siku moja walikua na tarifa kabla matukio hayajafanyika

hizi tarifa za ugaidi kwa watanzania wameujuaje

Eti misikiti na ubalozini ndio main target ya magaidi!!, kwanini tusihisi kwamba hizi ni mipango zao!
 
Hizo sifa sasa
Wamezidi nao hao USA
Sisi raia mbona hatuoni hivyo vitu,kwanini walishindwa kutoa hilo tamko enzi za kikwete Makanisa,misikiti na watalii walikuwa wanalipuliwa?
Waseme agenda yao wazi tuwahue.!
Wazee wa fitna hawana sababu ! Wanapiga bomu la sumu wao halafu wanakutwisha lawama wewe na adhabu wanakupangia.
 
Pole sana mzee.
 
Eeeh aiseee kumekucha kuna watu huwa wanapasha na kupiga kwata nchi nzima kisa raia wanataka kuandamana sasa ole wenu ugaidi utokee nchi hii

Au ni hao Wamarekani wameamua kupambana na jiwe kwa mbinu chafu ?

Dunia ina mambo hii
 
Chama cha Maaskofu kisaidie kuomba radhi na iwahakikishie mashoga usalama wao. Kanisa liaunga mkono kwa maslahi yetu.
 
Kwa mara ya kwanza tangu Uhuru nchi yetu tumeichafua wenyewe mbele ya mataifa. Haya mambo yetu ya chuki chuki za kisiasa ya kutekana; kupotezana; kupigana ma risasi hadharani kumetuponza - wacha tuone...
mazoea
 

Ccm na wapinzani ni watoto wa mama mmoja au nimesoma vibaya ulichoandika? Watoto wa mama mmoja kisha wapinzani wanafanyiwa ukatili wa wazi tena kwa uratibu wa vyombo vya dola? Acha Marekani aje atukumbushe kwamba sisi ni watoto wa mama mmoja maana tumesahau.
 
Hivi Pascal unaona mchina ni rafiki wa kweli au? Acha kuongea vitu rahisi nakuambia, hata kama unataka post ongea unachokiamini sio unachokifikiri!! Ok number haziongopi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…