Marekani yazitisha nchi za Afrika zisinunue mafuta ya Urusi, nchi inayokaidi itashughulikiwa

Msimamo sisi hatufungamani na upande wowote, pia tunatii matakwa ya vikwazo yaliyoidhinishwa na UN Security Council!!
===
Adui wao siyo lazima na kweli kuwa ni adui yetu!!! Nina imani Mama yetu ataupiga mwingi.
Maneno mengi , Tilalila nyingi kama nyinyi hamfungamani na upande wowote kanunueni hayo mafuta ya 🇷🇺🇷🇺 kama nyinyi ni wanaume . mbona mtayatapika 🇺🇸🇺🇸 akiwagundua .
 
Maneno mengi , Tilalila nyingi kama nyinyi hamfungamani na upande wowote kanunueni hayo mafuta ya 🇷🇺🇷🇺 kama nyinyi ni wanaume . mbona mtayatapika 🇺🇸🇺🇸 akiwagundua .
kalagha baho !!
 
Na kwa yule Rais wetu atatii kweli
 
Maskini kama wewe una maslahi gani?

Kwa nini unune mafuta yenye vikwazo?
 
Vuta subra, kama nchi tumeanza mjaribio ya kujenga structures ndani ya bahari kupitia salender bridge. Baada ya hatua hii kukamilika kwa ufanisi sasa tutaanza kujenga tunels deep sea kuchimba mafuta.
 
Ila Kuna waafrika mnatia kichefuchefu Kama wewe jamaa

Halafu mnakufa wengi kwenye bahari mkihangaika kwenda kwa hao mnaowatukana......usisahau marais wa Afrika ambavyo huzungusha vibakuli kwao, nitawaambia ukweli mpaka basi...ha ha ha
Sijawahi kuelewa kwanini hampendi uarabuni japo wale huwa makatili sana.
 
Msimamo sisi hatufungamani na upande wowote, pia tunatii matakwa ya vikwazo yaliyoidhinishwa na UN Security Council!!
===
Adui wao siyo lazima na kweli kuwa ni adui yetu!!! Nina imani Mama yetu ataupiga mwingi.
Mama gani! Hapa angekuwa JPM sawa! Huku kuna Kabudi left winger fresh chini kuna Bashiru Ally mkabaji kuna Polepole wajamaa watupu kwa falsafa za Mwalimu Nyerere wangeenda Asia ila sio kwa Samia.
 
Tuige siasa za ndani za Marekani, ni nzuri mara 1000 kuliko zile za Urusi.
Pamoja na kuonyesha dharau za. wazi hivyo kwa Africa, bado unakuta kuna Mwafrika anaipenda Marekani . siasa za nje za Marekani ni za hovyo sana hasa kwa mataifa masikini kama ya Afrika.
 
Mama gani! Hapa angekuwa JPM sawa! Huku kuna Kabudi left winger fresh chini kuna Bashiru Ally mkabaji kuna Polepole wajamaa watupu kwa falsafa za Mwalimu Nyerere wangeenda Asia ila sio kwa Samia.
Aiseee kabudi alikuwa mtu na nusu
 
Rubbish comment kichefuchefu
 
Ngoja tumtukane tuu mmarekani maana hakuna kitu tutafanya zaidi ya kutii amri🤣😂, nashauri tuongeze matusi na nimejiunga rasmi na warusi weusi wa JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…