At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji58][emoji6][emoji6][emoji6]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji58][emoji6][emoji6][emoji6]
Namuona hapo Mzee Mpili yuko liveSoma hapo chiniView attachment 1862804
Mzee mpili anaakili sana kuliko Mataga wote[emoji23]Namuona hapo Mzee Mpili yuko live
Tungeingia mpaka ikulu kislow misheni yanChangamoto ni katika kutafsiri harakati za mitandaoni kuwa uhalisia "mtaani." Lissu ametoa wito kwa watu kuingia mtaani, nani kajitokeza? Imagine "maelfu wa Spaces" wangeibuka police station...
Mkishapiga porojo huko SPACE ndio mnabadilisha nini?Juzi kwenye mjadala wa Kodi tulikutanika watu zaidi ya elfu 2 bila kuomba kibali Cha polisi na tukajadiliana kwa amani nakuwafungua masikio na macho Wana CCM na wasio Wana CCM
Leo idadi imeongezeka na kufikia zaidi ya watu elfu 6 kitu ambacho ni nadra Sana kufanya na hata Marais wa Nchi wanapokutqna na wananchi. Mjadala pia umeenda vizuri na Sasa hii SPACE inaonekana kuwa mbadala wa radio na televisheni ambavyo vyombo hivi vinavizingiti na hakuna Uhuru.
Lengo la space nikufikia mkutano wa laki moja kwa mara moja lakini pia uamasishaji unaendelea ili wasomi hasa vijana wahitimi wa shule na vyuo waweze kutumia fursa hii kujadili maendeleo na mustakabali wa Taifa letu.
Tuzidi kuhimizana tutumie mtandao kupanua uelewa na kuwapanua ufahamu walio chini au karibu yetu
Space- MJADALA UENDELEE
Na wewe ni shujaa wa mtandaoni?Namuona hapo Mzee Mpili yuko live
Wanaongea sana vitendo hamna kituWafuasi elfu 6,wakiambiwa wajitokeze kupiga kura watakuja mia tano tu.bongo bana.
Wengine ni undercover tu, si kila mtu anakwenda kwa lengo la maria.Inawezekana kabisa kwa sababu muitikio wa Watanzania kwenye hii kitu ni mkubwa sana. Maccm ni lazima YAMENUNA na YANAWEWESEKA.
Baavichaa wamemwagika mitaani,Mirembe na Lutindi vitanda HAVITOSHI....Mzee mpili anaakili sana kuliko Mataga wote[emoji23]
Nenda kacheki series utaenjoy sanaSpace ni nini wandugu? Unajiungaje?
🤣🤣🤣Wafuasi elfu 6,wakiambiwa wajitokeze kupiga kura watakuja mia tano tu.bongo bana.
Wengine ni undercover tu, si kila mtu anakwenda kwa lengo la maria.
Aje space asisahau kuwapitia Mataga hapo Lumumba , wamuombe hata GSM awape lori zake aje nao wapate elemu ya uraia kwanzaNenda kacheki series utaenjoy sana
Atajulia wapì hapo alipo hana account twilaAje space asisahau kuwapitia Mataga hapo Lumumba , wamuombe hata GSM awape lori zake aje nao wapate elemu ya uraia kwanza
Afanye hima watu wanatakiwa kupata elimu, Ukiwa na Akili timamu huwezi kukubali yanayotokea hapa TanzaniaAtajulia wapì hapo alipo hana account twila
Ishia hapo kaka mkubwaAfanye hima watu wanatakiwa kupata elimu, Ukiwa na Akili timamu huwezi kukubali yanayotokea hapa Tanzania
Kuwa makini tu na Puppets na HackersJuzi kwenye mjadala wa Kodi tulikutanika watu zaidi ya elfu 2 bila kuomba kibali Cha polisi na tukajadiliana kwa amani nakuwafungua masikio na macho Wana CCM na wasio Wana CCM
Leo idadi imeongezeka na kufikia zaidi ya watu elfu 6 kitu ambacho ni nadra Sana kufanya na hata Marais wa Nchi wanapokutqna na wananchi. Mjadala pia umeenda vizuri na Sasa hii SPACE inaonekana kuwa mbadala wa radio na televisheni ambavyo vyombo hivi vinavizingiti na hakuna Uhuru.
Lengo la space nikufikia mkutano wa laki moja kwa mara moja lakini pia uamasishaji unaendelea ili wasomi hasa vijana wahitimi wa shule na vyuo waweze kutumia fursa hii kujadili maendeleo na mustakabali wa Taifa letu.
Tuzidi kuhimizana tutumie mtandao kupanua uelewa na kuwapanua ufahamu walio chini au karibu yetu
Space- MJADALA UENDELEE