Maria Sarungi aendesha mkutano ulioshirikisha zaidi ya watu elfu sita mtandaoni

Maria Sarungi aendesha mkutano ulioshirikisha zaidi ya watu elfu sita mtandaoni

Changamoto ni katika kutafsiri harakati za mitandaoni kuwa uhalisia "mtaani." Lissu ametoa wito kwa watu kuingia mtaani, nani kajitokeza? Imagine "maelfu wa Spaces" wangeibuka police station...
Tungeingia mpaka ikulu kislow misheni yan
 
Juzi kwenye mjadala wa Kodi tulikutanika watu zaidi ya elfu 2 bila kuomba kibali Cha polisi na tukajadiliana kwa amani nakuwafungua masikio na macho Wana CCM na wasio Wana CCM

Leo idadi imeongezeka na kufikia zaidi ya watu elfu 6 kitu ambacho ni nadra Sana kufanya na hata Marais wa Nchi wanapokutqna na wananchi. Mjadala pia umeenda vizuri na Sasa hii SPACE inaonekana kuwa mbadala wa radio na televisheni ambavyo vyombo hivi vinavizingiti na hakuna Uhuru.

Lengo la space nikufikia mkutano wa laki moja kwa mara moja lakini pia uamasishaji unaendelea ili wasomi hasa vijana wahitimi wa shule na vyuo waweze kutumia fursa hii kujadili maendeleo na mustakabali wa Taifa letu.

Tuzidi kuhimizana tutumie mtandao kupanua uelewa na kuwapanua ufahamu walio chini au karibu yetu

Space- MJADALA UENDELEE
Mkishapiga porojo huko SPACE ndio mnabadilisha nini?
 
Waambie wakafanye na ujinga wao kwa Majizi ndani ya maccm. Eti undercover 😂😂😂😂 kungekuwa na hao undercover baada ya miaka 60 ya uhuru nchi iliyojaliwa utajiri mkubwa ingekuwa imepaa mbali sana. Wachumia tumbo tu hao wako tayari kubambikia kesi ili tu mkono uende kinywani.
B5DD2449-8449-4B23-B1DB-64895C0CB322.jpeg


Wengine ni undercover tu, si kila mtu anakwenda kwa lengo la maria.
 
Juzi kwenye mjadala wa Kodi tulikutanika watu zaidi ya elfu 2 bila kuomba kibali Cha polisi na tukajadiliana kwa amani nakuwafungua masikio na macho Wana CCM na wasio Wana CCM

Leo idadi imeongezeka na kufikia zaidi ya watu elfu 6 kitu ambacho ni nadra Sana kufanya na hata Marais wa Nchi wanapokutqna na wananchi. Mjadala pia umeenda vizuri na Sasa hii SPACE inaonekana kuwa mbadala wa radio na televisheni ambavyo vyombo hivi vinavizingiti na hakuna Uhuru.

Lengo la space nikufikia mkutano wa laki moja kwa mara moja lakini pia uamasishaji unaendelea ili wasomi hasa vijana wahitimi wa shule na vyuo waweze kutumia fursa hii kujadili maendeleo na mustakabali wa Taifa letu.

Tuzidi kuhimizana tutumie mtandao kupanua uelewa na kuwapanua ufahamu walio chini au karibu yetu

Space- MJADALA UENDELEE
Kuwa makini tu na Puppets na Hackers

CCM ina uwezo wa kuweka mapandikizi humohumo
 
Back
Top Bottom