Maria Sarungi aendesha mkutano ulioshirikisha zaidi ya watu elfu sita mtandaoni

Maria Sarungi aendesha mkutano ulioshirikisha zaidi ya watu elfu sita mtandaoni

Mdau kifupi kirefu (a.k.a. mbilikimo wetu)....naomba nikuulize swali kidogo, hivi huyu Maria wakti Baba yake alipokuwa waziri alifanya nini la maana hapa nchini kwetu?
 
Changamoto ni katika kutafsiri harakati za mitandaoni kuwa uhalisia "mtaani." Lissu ametoa wito kwa watu kuingia mtaani, nani kajitokeza? Imagine "maelfu wa Spaces" wangeibuka police station...

Hata hizi tozo rais alizosema zipitiwe upya, hicho kilio kasikia kupitia mitandao. Ama unadhani kuna watu waliandamana huko mitaani rais akawaona? Mitandaoni ndio bunge halisi la wananchi lilipo, huko mitaani watu wakijitokeza wanaishia kupigwa na kubambikiwa kesi.

Hivyo mada yote ya watu yanaenda kidigitali. Huko kuibukia polisi station ni lazima watu wajipange kwanza, na eneo rasmi ni huku huku mitandaoni, cha muhimu wasemacho ni madai halali. Uzuri ni kuwa hata serikali wako na wanasikia ukweli wa kisemwacho.
 
Tanzania kuna lundo kubwa sana la "Internet gangsters"...lakini kwenye maisha ya kawaida ni macoward wa kiwango cha lami hasa CHADEMA
 
Changamoto ni katika kutafsiri harakati za mitandaoni kuwa uhalisia "mtaani." Lissu ametoa wito kwa watu kuingia mtaani, nani kajitokeza? Imagine "maelfu wa Spaces" wangeibuka police station...
Kwa Tanzania yetu... Bado Sana.
 
Maria sarungi ni kizazi cha Ccm,inatosha kwangu kutoskiliza PUMBA yake yoyote unless atuambie ccm imetufikisha hapa ikiwamo familia ya baba ake na fatuma karume
 
Hapo ndio failure ilipo, waliokuwa kwenye SPACE hao 6k ni akina nani?
Huenda wengine walikuwa Wasikilizaji tu. Waliochangia mada hawafiki 20.
Huenda wengine wako negative kabisa.
Shemasi alisema "wengine wapo humu wanasikiliza". Alikuwa sahihi
 
Hapo ndio failure ilipo, waliokuwa kwenye SPACE hao 6k ni akina nani?
Huenda wengine walikuwa Wasikilizaji tu. Waliochangia mada hawafiki 20.
Huenda wengine wako negative kabisa.
Shemasi alisema "wengine wapo humu wanasikiliza". Alikuwa sahihi
Kuna shida gani kusikilizwa?, Si ndio kengo watu wasikilize?
 
Hongereeni sana,kuwa na Rais wenu wa, mitandaoni.
 
Kuna shida gani kusikilizwa?, Si ndio kengo watu wasikilize?
Shida si kusikikizwa au kutosikilizwa ni pale wanapo jenelolaizi kuwa wote walikuwa positive.
Ndio maana unaweza kukadhani tuko wengi tuitishe maandamano na usione mtu, maana wengine hawakuwa wenu.
Kama unanielewa unanielewa na kama unajua hujui hujui
 
Tunampenda shangazi Maria hadi tunaumwa[emoji847]

Wewe unampenda kwa ile chura yake tu kwenye space jana sikukuona[emoji16][emoji16][emoji16] yaani wewe upo kimaslahi zaidi mada ingekuwa ya chura ungeomba kuwasha microphone uchangie.Halafu nimesikia eti unataka ulifikishe suala la chura kwa UNESCO iwekwe kwenye urithi wa dunia.
 
Njooni kwenye battle huku road mnaleta mambo ya space kila mmoja kajificha chumbani kwake mwananchi wa kaiwaida nani anajua space.
 
Back
Top Bottom