Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kuwakebehi ni vyema ukawapongeza kwa hta icho kidogo wanachofanyaNyumbu bana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpeni basi huyo Mjaluo Uenyekiti.
Wazeee wa Twitter. Maandamano ONLINE[emoji1787]
Ushauri wa bure,kama hujaamua kwa dhati baki humohumo kwa ulishaamua kukubaliana na maharamia.aise ccm imenifanya nitapike kabisa kunakoendelea nitarudisha kadi nibaki bila bawa egemezi
Mimi ctaki kua kama akina waitaraUshauri wa bure,kama hujaamua kwa dhati baki humohumo kwa ulishaamua kukubaliana na maharamia.
Tafakari amua ,naamini watakukaribisha vyema,ili uendeleee kuijenga familia ya wapenda haki.Mimi ctaki kua kama akina waitara
nikihama kazimoja mpaka kifo nikuichaingiaga chadema tu...
Tangu abahatishe info za shujaa kuaga dunia mzena basi huyu jasusi uchwara anajiona sana.Unaongea utopolo tuu jasusi uchwara, unajikomba sana kwa Samia ili usamehewe urudi Tanzania, wahed
Haijalishi! Wachache waliopo Twitter watatoa elimu kwa wasiokuepo Twitter. OVER!!Masela wa Ngarenaro na Pandagichiza hawapo twitter
Rubbish, ina uhusiano gani na mada?Mdau kifupi kirefu (a.k.a. mbilikimo wetu)....naomba nikuulize swali kidogo, hivi huyu Maria wakti Baba yake alipokuwa waziri alifanya nini la maana hapa nchini kwetu?
Hata kama,si tunaona kwenye vituo wazee wengi kuliko vijana,nyinyi ni wamitandaoni tu ila kupiga kura amsogei,mnalala kuamka saa kumi jioni.Je tume ya uchaguzi ipo huru? kwa kutumia ubongo wako je ipo huru
Hapo ndio failure ilipo, waliokuwa kwenye SPACE hao 6k ni akina nani?
Huenda wengine walikuwa Wasikilizaji tu. Waliochangia mada hawafiki 20.
Huenda wengine wako negative kabisa.
Shemasi alisema "wengine wapo humu wanasikiliza". Alikuwa sahihi