Maria Sarungi aendesha mkutano ulioshirikisha zaidi ya watu elfu sita mtandaoni

Maria Sarungi aendesha mkutano ulioshirikisha zaidi ya watu elfu sita mtandaoni

Changamoto ni katika kutafsiri harakati za mitandaoni kuwa uhalisia "mtaani." Lissu ametoa wito kwa watu kuingia mtaani, nani kajitokeza? Imagine "maelfu wa Spaces" wangeibuka police station...
Na Lisu ana followers ziadi ya laki 6 ila wampuuza!
 
Shida si kusikikizwa au kutosikilizwa ni pale wanapo jenelolaizi kuwa wote walikuwa positive.
Ndio maana unaweza kukadhani tuko wengi tuitishe maandamano na usione mtu, maana wengine hawakuwa wenu.
Kama unanielewa unanielewa na kama unajua hujui hujui
Chadema ni wajinga sana yani!

Yani wao wakiona watu elfu 6 wanafikrii wote ni wafuasi wa chadema!
.
Huyo maria huwa anapokea za uso huko kwenye page yake kutoka kwa hao hao wafuasi!

Ona upinzani aliopata Mbowe baada ya lile boko la chanjo.


Mitandaoni kuna kila aina ya watu. Tena siku hizi wamejazana wanyoa viduku tupu
 
Muhamasishe watu ku-download VPN maana TCARAEI wanabana network, sauti zinakata
 
Mlikutana wapi? Yaani kila mmoja yupo chumbani kwake kavaa night dress kajifungia na laptop yake.
 
Shida si kusikikizwa au kutosikilizwa ni pale wanapo jenelolaizi kuwa wote walikuwa positive.
Ndio maana unaweza kukadhani tuko wengi tuitishe maandamano na usione mtu, maana wengine hawakuwa wenu.
Kama unanielewa unanielewa na kama unajua hujui hujui
Sio lazima maandamano.Watu wakipata uelewa inatosha hayo mambo mengine yatakuja badae.
 
Hatua nzuri sana hasa kwenye mabadiliko ya technolojia na upashanaji habari japo kuna wajinga roho zinawauma wakiona watu wanajumuika pamoja nakuelimishana ila wanatakiwa tu wajue ata kama mtaji wao ni ujinga wa walio wengi muda sio mrefu huo mtaji unaenda kuisha maana technolijia haiko upande wakulea ujinga ata kama wataweka vizingiti vya namna gani.

Kukua kwa techolojia ni njia salama na rahisi yakumkomboa mwafrika ambaye bado yuko kwenye shimo la ujinga na visa vya wenye madaraka wanaoneemeka na ujinga wa wanaowaongoza.Hongera zimfikie aliyekuja na huo mfumo na watumiaji kwa ujumla.
 
Njooni kwenye battle huku road mnaleta mambo ya space kila mmoja kajificha chumbani kwake mwananchi wa kaiwaida nani anajua space.
Wewe bado uko dunia ya enzi za kijima.sidhani kama unajua dunia inakoelekea kiteknolojia.Endelea kukariri maisha.
 
Inawezekana kabisa kwa sababu muitikio wa Watanzania kwenye hii kitu ni mkubwa sana. Maccm ni lazima YAMENUNA na YANAWEWESEKA.
CCM wameshapoteza political capital wamebakiza vijana wa Siro
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wewe bado uko dunia ya enzi za kijima.sidhani kama unajua dunia inakoelekea kiteknolojia.Endelea kukariri maisha.
Wewe punguani kweli yaani kikundi cha wahuni mnakutana online mnakubaliana kila upuuzi ndiyo mnaona maoni ya watanzania wewe ambaye unajiona unajua kila kitu jikusanyeni muingie barabarani muone battle Mama yako atalia mpaka kesho.
 
Aidha Lissu hawaelewi vizuri Watanzania au anajipa matumaini hewa. Kama watu hawajaingia mtaani kwa kuchukizwa na tozo kwenye miamala, leo waingie mtaani kisa viongozi wa Chadema wamekamatwa?

Teh teh teh
 
Changamoto ni katika kutafsiri harakati za mitandaoni kuwa uhalisia "mtaani." Lissu ametoa wito kwa watu kuingia mtaani, nani kajitokeza? Imagine "maelfu wa Spaces" wangeibuka police station.
Yawezekana nusu ya hao watu hawako hata nchini.
 
Wewe punguani kweli yaani kikundi cha wahuni mnakutana online mnakubaliana kila upuuzi ndiyo mnaona maoni ya watanzania wewe ambaye unajiona unajua kila kitu jikusanyeni muingie barabarani muone battle Mama yako atalia mpaka kesho.
Kipindi cha magu ulipotea sana mkuu.
 
Wakati serikali ya awamu ya sita ikipambana kurudisha imani kwa wawekezaji wa nje na nchi wahisani kuwekeza mitaji yao nchini, adhima hiyo inaweza isifanikiwe kwa kuwa serikali imeshindwa kusimamia utawala wa sheria ulioanishwa kwenye katiba.

Wakichangia mada jana usiku kwenye mtandao wa Twitter kwenye mjadala uliondeshwa na Maria Sarungi, Wakili Fatma Karume na Mshauri wa uchumi Thabit wamesema imani aliyoanza kuijenga Rais Samia Suluhu Hassan kwa wawekezaji wa nje na jumuiya za Kimataifa imepotea kwa kitendo cha kukamatwa Mh. Freeman Mbowe na kuzuia Kongamano la Katiba Mpya.

"Nimezungumza na Diplomat wengi wanafuatilia swala hili na vyombo vingi vya habari vya nje wameandika. Sasa kazi kubwa aliyoanza kuifanya ya kushawishi wawekezaji amejiharibia huko ni sawa na kujifunga goli mwenyewe" asema Thabit.
 
Muda sio mrefu utasikia TCRA wanasema kuwa na forum kama Space lazima uwe umesajiriwa, kufanya mjadala space ni mpaka upewe kibali, maudhui ya mijadala ya space yanahatarisha amani nk.

CCM ni mashetani wakubwa.
Nitoe ushamba mkuu hii space ni app inayopatikana play store ama iko ndani ya Twitter?
 
Back
Top Bottom