Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Kwani Majaji na Mahakimu wa Mahakama za ndani wana tofauti gani na wakuu wa Wilaya na Mikoa na ma DAS?Kwani mahakama za ndani haziwezi kushughulikia hayo mpaka muende huko ICC?
Maana mpaka kesi ipelekwe huko maana yake ni mahakama za ndani kukosa uwezo wa kuendesha hayo mashitaka mfano Sudan(Darfur), DRC.
Hebu tutajie hio mahakama ya ndani unayoiona inaweza kushughulikia madai hayo mkuu.Kwani mahakama za ndani haziwezi kushughulikia hayo mpaka muende huko ICC?
Maana mpaka kesi ipelekwe huko maana yake ni mahakama za ndani kukosa uwezo wa kuendesha hayo mashitaka mfano Sudan(Darfur), DRC.
Mungu amwepushe na mauaji
Uwezo wa kufikiri huyo dada ni mdogo sana! Anataka tu watu wajazani kwenye tweets zake ili aongeze followers kama alivyokuwa anafanya Mange! Lakini ni utopolo tu!Kwani mahakama za ndani haziwezi kushughulikia hayo mpaka muende huko ICC?
Maana mpaka kesi ipelekwe huko maana yake ni mahakama za ndani kukosa uwezo wa kuendesha hayo mashitaka mfano Sudan(Darfur), DRC.
Walipata 'tume huru'ICC hivi kesi ya Wakenya iliishia wapi?
Best shida wanawake wamejazana CCM hawajui Dunia inaenda wapi wapowapo tuMaria na Fatma Karume wanatuinua sana wanawake.
Safari hii lazima jitu litinge ICC, ngoja tukamilishe na ile petition...
[emoji23][emoji23]dah! kweli tumefika mbaliAsante! , Namshukuru Mzee Sarungi kwa kutupatia damu ya Kizungu, ni damu zenye akili na Jasiri Itatusaidia kuliokoa Taifa hili.
Hata damu ya Kizungu iliyoko mwilini mwa Lissu baada ya kuwekewa damu ya kitasha huko Ubelgiji hospitali, imeongeza ujasiri wake na akili mara dufu, ndiyo maana vilaza wa Lumumba wanamshindwa kwenye kila move yao!
Vijana, mnaoenda huko nje masomoni, oeni wazungu mtuchanganyie damu tupate vizazi vya magenius na majasiri, viiokoe nchi hii kutoka kwa Interahamwe!
Naijua ICC or Kwa maneno mengine Nimefanyakazi hapo Hakuna receipt uwa mtu anapewa, make my word. Kesi za Kenya, Pierre Bemba Plus Charles Tailors na wale Wababe wote wa Kivita toka Kongo Nilikuwepo. So Hakuna Receipt. Jinai sio leo wala kesho, Kama malalamiko yakiperekwa ICC, jua tu kuna siku kitawanukia watu na ni pale tu watakapotoka madarakani. Kwa sasa ni Raha tu Kumbuka; Yugoslavia/Sebia hakina Milosvic na Karadish plus many other....Angekuwa nazo angeshaziweka hapo kitaaambo sanaaa. Anajifutmrahisha
Mbona ya Charles Taylor alinyeeshewa mvua 50?Nimefanya kazi ICC Hakuna receipt uwa mtu anapewa....make my word..Kesi za Kenya, pierre bemba Plus Charles Tailors na wale Wababe wote wa Kivita toka Kongo Nilikuwepo... So Hakuna Receipt..
Yes wewe Unazo kumbukumbu.. wengine wanaongea wasichokijua.. Kwanza Charles Taylor alikuwa kwenye Special court for sierre Leaone , ila alikuwa tried ndani ya Court room na Majengo ya ICC. So case ya Taylor ilikuwa na Mandate yake na majaji plus prosecutor wake...Thomas Lubanga na hakina Chui (Katanga) wao walikuwa watuhumiwa wa ICC na walishikakiwa na kuhukumiwa na ICC.Mbona ya Charles Taylor alinyeeshewa mvua 50?
Thomas lubanga je ?
Mungu amwepushe na mauaji
Walipata 'tume huru'
Kwani mahakama za ndani haziwezi kushughulikia hayo mpaka muende huko ICC?
Maana mpaka kesi ipelekwe huko maana yake ni mahakama za ndani kukosa uwezo wa kuendesha hayo mashitaka mfano Sudan(Darfur), DRC.