Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Kwani Majaji na Mahakimu wa Mahakama za ndani wana tofauti gani na wakuu wa Wilaya na Mikoa na ma DAS?Kwani mahakama za ndani haziwezi kushughulikia hayo mpaka muende huko ICC?
Maana mpaka kesi ipelekwe huko maana yake ni mahakama za ndani kukosa uwezo wa kuendesha hayo mashitaka mfano Sudan(Darfur), DRC.