Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

Ujinga mwingine.Hata kama ni mzungu unaowaabudu hiyo kimahesabu ni sawa na seti tupu. ICC siyo sawa na mahakama za mwanzo.
 
Toka lini ukawa msemaji wa Watanzania
Mungu, ulitazama kilio cha wana wa Israel na ukawatoa Misri.

Tazama hiki ambacho Watanzania wanalia mbele zako sasa.

Utusikie Ee Mungu uliyeziumba mbingu na nchi.

Mapenzi yako yatimizwe!
 
Acha uongo huna hadhi ya kufanya kazi icc wording ya ujumbe wako inaonyesha kauwezo hakatoshi kuwa level ile.Pole
 
Umeongea ukweli mtupu yani ndivyo sheria inavyosema hata hao ICC nenda kasome wameelezea vizuri kabisa .

Ndani hawajafungua kesi wamepeleka nje watajua hawajui yaani,si utaona siku bado zinaenda hutasikia ICC imesema kitu tena katiba inasema kwa mtu yoyote mwenye nia ovu au kumdhoofisha raisi katika kazi zake na yanayofanana na hayo kanuni za adhabu zinasema adhabu yake ni kifo na kosa hilo linatambulika kama UHAINI.

Sasa Maria sijui kama kashauriwa ataipenda show usione akina Lema wanakimbia nchi kesi yao inamuhusu Amir jeshi mkuu ambaye ni Raisi sasa kuna kunakufungwa mazima au sheria ikawa ndivyo maana hiyo sio By Law au Sheria za bungeni hii ipo kwenye Katiba ya nchi ndio mana Rais wala hana pressure .,nampa pole Maria ajatumia Busara we ngoja utaona Brother ikitokea lolote naomba upite hapa unikumbushe hii tayar ni shida group lake linamponza.
 
Mshtakiwa wa kwanza ni Rais John Magufuli.

Sheria za Tanzania haziruhusu kumshitaki Rais Mahakamani.

Sasa watamshitaki mahakamani Tanzania kivipi wakati sheria za Tanzania haziruhusu Rais kushtakiwa mahakamani?
Shida ndio iko hapo Rais ana kinga, mbinu zipo nyingi za kufungua kesi mfano, Waziri wa ulinzi na vyombo vya usalama badala ya kudili na Rais na hapo ndio nakuja kuhis huwa ni chuki tu za hawa wanaojiita mashangazi.

Ni bora wangeishtaki JMT badala ya kumtaja Rais kama mshtakiwa.
 
Shida ndio iko hapo Rais ana kinga ,mbinu zipo nyingi za kufungua kesi mfano,Waziri wa ulinzi na vyombo vya usalama badala ya kudili na Rais na hapo ndio nakuja kuhis huwa ni chuki tu za hawa wanaojiita mashangazi.

Ni bora wangeishtaki JMT badala ya kumtaja Rais kama mshtakiwa .
Sasa kosa kafanya rais, umshitaki waziri wa ulinzi?

Nikifanya kosa mimi wewe utakubali kushitakiwa badala yangu?
 
Shida ndio iko hapo Rais ana kinga ,mbinu zipo nyingi za kufungua kesi mfano,Waziri wa ulinzi na vyombo vya usalama badala ya kudili na Rais na hapo ndio nakuja kuhis huwa ni chuki tu za hawa wanaojiita mashangazi.

Ni bora wangeishtaki JMT badala ya kumtaja Rais kama mshtakiwa .

Raisi hana kinga kwenye JINAI! Ikithibitka kwamba kuna JINAI imefanyika na yeye binafsi au na wateule wake kwa maelekezo yake hapo hawezi kukwepa mkono wa sheria! Mahakama za Tz kwa vile zinaongozwa na wateule wake hazitathubutu hata ku register shitaka hilo kwenye mahakama zake, ila kwa mahakama zilizo huru, ziwe za kikanda au kimataifa mambo ni tofauti.
 
Hata zamani mliwahinkupeleka vimadai vyenu huko ICC na badae hamkurudinkutwambia wamevitupa au au vnafanyiwa kazi mpaka sasa,
Nadhani toka enzi ya kikwete mnapeleka huko.
Kwani lazima wachukue hatua mara moja? Kila malalamiko yanapoenda wanachunguza na kujiridhisha, hakuna uwezekano mashitaka yakazidi waendelee kukaa kimya.
 
ngoja tukamilishe na ile petition.
hp sasa.gif
 
Weka hata koma au nukta basi kwenye andiko lako, ili ionekane wangalau basi unajua lolote. Unaweza kuwa na points, lakini kwa uandishi huo inaonekana ni furushi la maneno ya Kiswahili lisilo na maana yoyote.
 
Tatizo watu hawajui ICC inafanyaje kazi.

Hizo ni kelele tu,zitaisha wala hakuna credible evidence yoyote humo zaidi kupeleka kilio na malalamishi
Ili mtu awe indicted na ICC, inatakiwa kuwe na ushadi usio na Shaka yoyote badala ya siasa za kina sarungi

Pia inahitajika nguvu kubwa toka mataifa kama marekani na hata UN

Acheni kujipotezea muda,uchaguzi umeisha
 
Kwanini mada hii inakimbiza uungwaji mkono kiasi hiki? Kwa nini hoja zinazounga mkono hoja hii zina uungwaji mkono mkubwa hivi? Kwanini huu uzi unakimbia namna hii?

"Bila shaka kauli ya wengi ni kauli ya Mungu"
 
Back
Top Bottom