Maria Sarungi: Hili la ahadi ya JWTZ kumtii Samia Suluhu sio la kawaida

Maria Sarungi: Hili la ahadi ya JWTZ kumtii Samia Suluhu sio la kawaida

Tuseme sio maoni, haya tuambie alichoandika ni nini? Je hana haki ya kuandika? Uanamke wake unahusika vipi? Hivi umelelewa kweli na wazazi ndugu yangu? Una familia? Wewe una mama, dada, mashangazi n.k? Wakidhalilishwa kwa uanamke wao utajisikiaje? Au mwenzetu uliokotwa tu huna hisia za kuwa na mtu wa maana mwanamke karibu yako?

Mimi nina wazazi, dada kama yeye na hata watoto wa kike ninao pia, naushangaa uanamke wake ulivyo tofauti tu, wala sina nia jambo jingine.

Baada ya msiba wa Rais Magufuli aliandika wazi "sitaki kuwa mnafiki, nimefurahi kwa kifo hicho, sijui alifurahishwaje!!maana wanawake wakati kama huu, ndio utajua udhaifu wao.

Leo tena anakuja na hitimisho lake kwamba kuna kitu baada ya kauli ile ya CDF! haya sio maoni ni muendelezo wa tabia ile ile ya kuwaza vitu kwa namna ya ajabu ajabu.

Wakati mimi naonekana labda namdhalilisha inawezekana nikaka kueleweka baadae huko kwamba niliona tatizo mapema.
 
Kwa mtazamo wangu dalili zote zilionyesha Makamu now Raisi pamoja na Chief of Defense Forces walipanga hyo route ya kwenda Tanga , na lengo ni moja Tu kwenda kutangaza kifo cha Raisi Kwa sababu Mzee alikuwa ameshakata mda Ila kulikuwa na internal struggle, ......
Tangazo la msiba lilitumwa tokea Tanga kwenda TBC HQ under Army command
Mkuu hili pia ninalo, ila sina ushahidi wa mashiko. Ila nakubaliana na wewe kwa asilimia 3000% kwamba CDF Mabeyo ametumia nguvu ya kijeshi kutangazwa kifo cha Marehemu Rais Magufuli na kuapishwa kwa Rais Samia Suluhu.

Angekua mwepesi CDF wangemyumbisha, CCM wana fitina acha kabisa. Hata uwe na cheo gani kama mwepesi wakiamua kukufitinisha huchomoki. Ninahisi CCM inatokana na kizazi cha Yuda Iskarioti aliomfitinisha Yesu Kristo mpaka akasulubiwa.
 
Una uhakika CDF mwenyewe kama anajiamini kubaki?
Unamtoa CDF wakati umri wa kustaafu bado alafu unaweka mwingine, huyu cheo chake kinakua kipi? Akisema hataki kustaafu kwa hiari utafanyaje? Toka historia ya jeshi inaanza hapa tz haijawahi tokea una generals 2 wote wako ofisini...
 
seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON

Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!

Acha kuota nawewe.

Mh Suluhu tokea ameapa ni wiki moja na ushee tuko na mwili wa marehemu, ambao zoezi zima linasimamiwa na JWTZ, shughuli ya jeshi kwenye mwili wa mpendwa wetu imekwisha jana. Hutona tena uliyoyaandika hapo.

Itifaki ni jambo kubwa,ukileta ujuaji unavuruga kila kitu.
 
mimi nina wazazi,dada kama yeye na hata watoto wa kike ninao pia,naushangaa uanamke wake ulivyo tofauti tu,wala sina nia jambo jingine.

baada ya msiba wa mar rais magufuli aliandika wazi"sitaki kuwa mnafiki,nimefurahi kwa kifo hicho,sijui alifurahishwaje!!maana wanawake wakati kama huu,ndio utajua udhaifu wao.

leo tena anakuja na hitimisho lake kwamba kuna kitu baada ya kauli ile ya CDF!!!haya sio maoni ni muendelezo wa tabia ile ile ya kuwaza vitu kwa namna ya ajabu ajabu.

wakati mimi naonekana labda namdhalilisha inawezekana nikaka kueleweka baadae huko kwamba niliona tatizo mapema.
Ndio ana haki ya mawazo na maoni ni vioe tu kaamua kuyaweka hadharani na ni vile ni tu ni mtu anayefatiliwa na watu wengi kama kufurahi wengi wamefurahi hata mimi nimefurahi, ila mkosoe hata mara elfu 1000 kama mtu mwingine ila usiingize uanamke wake na kumdhalilisha na kumtusi kwa hilo, ulichofanya ni udhalilishaji wa kijinsia ndani ya mawazo na maoni yako huru
 
Kitendo cha yeye kutangaza mbele ya umma kwamba amepewa siri na Rais Magufuli ni hatari hata kwake yeye CDF dhidi ya maadui wa nje na ndani ya Tanzania. Pia ni kuzua taharuki na sintofahamu isiokua na ulazima wowote kwa raia na wageni waliohudhuria mazishi na hata kwa wale walioshuhudia mazishi katika vyombo vya habari
Hii iliniacha hoi.
Ni siri gani? Atamweleza lini? Kwa nn aseme hadharani?
Movie Series imeshaanza. Hiyo ni intro ya Season 2.
 
mimi nina wazazi,dada kama yeye na hata watoto wa kike ninao pia,naushangaa uanamke wake ulivyo tofauti tu,wala sina nia jambo jingine.

baada ya msiba wa mar rais magufuli aliandika wazi"sitaki kuwa mnafiki,nimefurahi kwa kifo hicho,sijui alifurahishwaje!!maana wanawake wakati kama huu,ndio utajua udhaifu wao.

leo tena anakuja na hitimisho lake kwamba kuna kitu baada ya kauli ile ya CDF!!!haya sio maoni ni muendelezo wa tabia ile ile ya kuwaza vitu kwa namna ya ajabu ajabu.

wakati mimi naonekana labda namdhalilisha inawezekana nikaka kueleweka baadae huko kwamba niliona tatizo mapema.
Unachangia hoja gani? hoja hapa ni hotuba ya Mabeyo,hayo mengine anzisha uzi
 
Namheshimu na Kumkubali sana Dada yangu Maria Sarungi ila sijaelewa hapa ametaka Kusisitiza nini hasa au amelenga nini.

Na katika hayo Maelezo yake nimeona kuna mahala ameuliza Swali halafu mwishoni tena akajijibu Mwenyewe.

Kijeshi ( Kimedani ) binafsi wala sijaona tatizo lolote la Kauli hiyo ya Kitiifu kutoka kwa CDF Jenerali Mabeyo na JWTZ kama Mkuu Wao.
 
Ndio ana haki ya mawazo na maoni ni vioe tu kaamua kuyaweka hadharani na ni vile ni tu ni mtu anayefatiliwa na watu wengi kama kufurahi wengi wamefurahi hata mimi nimefurahi, ila mkosoe hata mara elfu 1000 kama mtu mwingine ila usiingize uanamke wake na kumdhalilisha na kumtusi kwa hilo, ulichofanya ni udhalilishaji wa kijinsia ndani ya mawazo na maoni yako huru

kumkosoa maria tsehai bila kuzingatia jinsia yake ni kumosea adabu kabisa.yule ni mwanamke vipo vitu hapaswi kufanya kama mwanaharakati bali kama mama au dada au shangazi kama apendavyo kujiita.

leo hii unaandika umefurahi kwa kifo cha rais ambaye ni baba wa mtu,unaijua kesho yako wewe!!!au tunaendeshwa na ubinafsi tu!!!

ndio sababu tunaambiwa kwenye haki ya kutoa maoni unahakikishiwa uhuru kabla,ila uhuru baada ya maoni ni jambo jingine,kukosa uhuru baaa ya maoni sio lazima mamlaka,hata jamii inaweza kukusimanga kwa maoni uliyotoa.
 
seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON

Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!
Hahahaha JF ina watu wajuaji kama nini.
 
Matumizi mabaya ya neno mwana harakati hasa kwa wafata mkumbo kama hawa wa twitter
 
Unamtoa cdf wakati umri wa kustaafu bado alafu unaweka mwingine, huyu cheo chake kinakua kipi? Akisema hataki kustaafu kwa hiari utafanyaje? Toka historia ya jeshi inaanza hapa tz haijawahi tokea una generals 2 wote wako ofisini...
Wacha wivu
 
Namheshimu na Kumkubali sana Dada yangu Maria Sarungi ila sijaelewa hapa ametaka Kusisitiza nini hasa au amelenga nini.

Na katika hayo Maelezo yake nimeona kuna mahala ameuliza Swali halafu mwishoni tena akajijibu Mwenyewe.

Kijeshi ( Kimedani ) binafsi wala sijaona tatizo lolote la Kauli hiyo ya Kitiifu kutoka kwa CDF Jenerali Mabeyo na JWTZ kama Mkuu Wao.

labda umwambie wewe popoma mwenzake atakuelewa.

jeshi lina miiko yake,na moja wapo ni kuacha kutamka hadharani kwamba wanamtii mh amiri jeshi, na wanahudumia watanzania wakati wa amani na vita.lazima watamke.
 
Back
Top Bottom