Maria Sarungi: Hili la ahadi ya JWTZ kumtii Samia Suluhu sio la kawaida

Maria Sarungi: Hili la ahadi ya JWTZ kumtii Samia Suluhu sio la kawaida

seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON

Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!
Comment kama hizi ndio muhimu kwenye hii habari
 
labda umwambie wewe popoma mwenzake atakuelewa.

jeshi lina miiko yake,na moja wapo ni kuacha kutamka hadharani kwamba wanamtii mh amiri jeshi, na wanahudumia watanzania wakati wa amani na vita.lazima watamke.
Vipi mbona una wasiwasi wa nyani? kwani haujawahi kushuhudia gwaride la utiifu mbele ya amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Tulieni nyonyoma yajayo yanafurahisha
 
Kwa mtazamo wangu dalili zote zilionyesha Makamu now Raisi pamoja na Chief of Defense Forces walipanga hyo route ya kwenda Tanga , na lengo ni moja Tu kwenda kutangaza kifo cha Raisi Kwa sababu Mzee alikuwa ameshakata mda Ila kulikuwa na internal struggle, ......
Tangazo la msiba lilitumwa tokea Tanga kwenda TBC HQ under Army command
Ikawaje tukaambiwa rais ni mzima, anachapa kazi na anatusalimia?

Unakumbuka tangazo la msiba limetoka lini?
 
Vipi mbona una wasiwasi wa nyani? kwani haujawahi kushuhudia gwaride la utiifu mbele ya amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Tulieni nyonyoma yajayo yanafurahisha

cdf ni chaguo la magufuli
samia chaguo la mufuli

sijui wa kutulia ni ant magufuli au pro magufuli???
 
mimi nina wazazi,dada kama yeye na hata watoto wa kike ninao pia,naushangaa uanamke wake ulivyo tofauti tu,wala sina nia jambo jingine.

baada ya msiba wa mar rais magufuli aliandika wazi"sitaki kuwa mnafiki,nimefurahi kwa kifo hicho,sijui alifurahishwaje!!maana wanawake wakati kama huu,ndio utajua udhaifu wao.

leo tena anakuja na hitimisho lake kwamba kuna kitu baada ya kauli ile ya CDF!!!haya sio maoni ni muendelezo wa tabia ile ile ya kuwaza vitu kwa namna ya ajabu ajabu.

wakati mimi naonekana labda namdhalilisha inawezekana nikaka kueleweka baadae huko kwamba niliona tatizo mapema.
Ndio ana haki ya mawazo na maoni ni vioe tu kaamua kuyaweka hadharani na ni vile ni tu ni mtu anayefatiliwa na watu wengi kama kufurahi wengi wamefurahi hata mimi nimefurahi, ila mkosoe hata mara elfu 1000 kama mtu mwingine ila usiingize uanamke wake na kumdhalilisha na kumtusi kwa hilo, ulichofanya ni udhalilishaji wa kijinsia ndani ya mawazo na maoni yako huru
kumkosoa maria tsehai bila kuzingatia jinsia yake ni kumosea adabu kabisa.yule ni mwanamke vipo vitu hapaswi kufanya kama mwanaharakati bali kama mama au dada au shangazi kama apendavyo kujiita.

leo hii unaandika umefurahi kwa kifo cha rais ambaye ni baba wa mtu,unaijua kesho yako wewe!!!au tunaendeshwa na ubinafsi tu!!!

ndio sababu tunaambiwa kwenye haki ya kutoa maoni unahakikishiwa uhuru kabla,ila uhuru baada ya maoni ni jambo jingine,kukosa uhuru baaa ya maoni sio lazima mamlaka,hata jamii inaweza kukusimanga kwa maoni uliyotoa.
Sio shida kukosoa, kosoa unavyotaka ila uache udhalilishaji wa kijinsia. Ni hilo tu
 
Ndio ana haki ya mawazo na maoni ni vioe tu kaamua kuyaweka hadharani na ni vile ni tu ni mtu anayefatiliwa na watu wengi kama kufurahi wengi wamefurahi hata mimi nimefurahi, ila mkosoe hata mara elfu 1000 kama mtu mwingine ila usiingize uanamke wake na kumdhalilisha na kumtusi kwa hilo, ulichofanya ni udhalilishaji wa kijinsia ndani ya mawazo na maoni yako huru

Sio shida kukosoa, kosoa unavyotaka ila uache udhalilishaji wa kijinsia. Ni hilo tu

wapi nimeshalilusha jinsia yake!???

kuuliza kama anakosa mti!!!huu sio udhalilishaji ni maoni pia.
 
Kelele za chura zimeanza😅😅😅

Rest well our hero President John Pombe Magufuli

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
 
labda umwambie wewe popoma mwenzake atakuelewa.

jeshi lina miiko yake,na moja wapo ni kuacha kutamka hadharani kwamba wanamtii mh amiri jeshi, na wanahudumia watanzania wakati wa amani na vita.lazima watamke.

Neno popoma lina maana gani Ndugu?
 
seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON

Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!
Una point ya msingi, nilikua najiuliza mbona yule mjeda yuko karibu sana na rais na sio kawaida kuwa na adc na body guard wa rais na mjeda mwingine...
Ok
 
View attachment 1735511

Mwanaharakati Maria Sarungi anaandika

Very unusual statement! Goes without saying that the sitting President is the Commander in Chief, yet Chief of Defence Forces goes out of his way to emphasize that the army will obey President @samia_suluhu_hassan
Kuna haja gani kusisitiza maana sisi wananchi tunajua vyema kuwa Amiri Jeshi Mkuu wetu ni Rais! Huu ujumbe siyo wetu ila kile kikundi alichosema Mama wanauliza “Huyu mama ataweza kuwa Rais” na si ajabu waliongea mengine huko ndani! Ni hivi: 👉🏽 Mh Rais Samia Suluhu Hassan - get used to it!
Asante CDF ✊🏽
Clearly there must be a lot going on behind the scenes!
Alikuwa anawakumbusha mnaopenda kubeza watu
 
Back
Top Bottom