Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Serikali ya ccmNani aliviweka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya ccmNani aliviweka?
Comment kama hizi ndio muhimu kwenye hii habariseating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON
Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!
Bashiru sio mtu mzuri, ikiwezekana aondolewe kwenye nafasi zote zinazomfanya awe karibu na Rais kwa namna Yoyote ile
Vipi mbona una wasiwasi wa nyani? kwani haujawahi kushuhudia gwaride la utiifu mbele ya amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Tulieni nyonyoma yajayo yanafurahishalabda umwambie wewe popoma mwenzake atakuelewa.
jeshi lina miiko yake,na moja wapo ni kuacha kutamka hadharani kwamba wanamtii mh amiri jeshi, na wanahudumia watanzania wakati wa amani na vita.lazima watamke.
Ikawaje tukaambiwa rais ni mzima, anachapa kazi na anatusalimia?Kwa mtazamo wangu dalili zote zilionyesha Makamu now Raisi pamoja na Chief of Defense Forces walipanga hyo route ya kwenda Tanga , na lengo ni moja Tu kwenda kutangaza kifo cha Raisi Kwa sababu Mzee alikuwa ameshakata mda Ila kulikuwa na internal struggle, ......
Tangazo la msiba lilitumwa tokea Tanga kwenda TBC HQ under Army command
Vipi mbona una wasiwasi wa nyani? kwani haujawahi kushuhudia gwaride la utiifu mbele ya amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Tulieni nyonyoma yajayo yanafurahisha
Ndio ana haki ya mawazo na maoni ni vioe tu kaamua kuyaweka hadharani na ni vile ni tu ni mtu anayefatiliwa na watu wengi kama kufurahi wengi wamefurahi hata mimi nimefurahi, ila mkosoe hata mara elfu 1000 kama mtu mwingine ila usiingize uanamke wake na kumdhalilisha na kumtusi kwa hilo, ulichofanya ni udhalilishaji wa kijinsia ndani ya mawazo na maoni yako hurumimi nina wazazi,dada kama yeye na hata watoto wa kike ninao pia,naushangaa uanamke wake ulivyo tofauti tu,wala sina nia jambo jingine.
baada ya msiba wa mar rais magufuli aliandika wazi"sitaki kuwa mnafiki,nimefurahi kwa kifo hicho,sijui alifurahishwaje!!maana wanawake wakati kama huu,ndio utajua udhaifu wao.
leo tena anakuja na hitimisho lake kwamba kuna kitu baada ya kauli ile ya CDF!!!haya sio maoni ni muendelezo wa tabia ile ile ya kuwaza vitu kwa namna ya ajabu ajabu.
wakati mimi naonekana labda namdhalilisha inawezekana nikaka kueleweka baadae huko kwamba niliona tatizo mapema.
Sio shida kukosoa, kosoa unavyotaka ila uache udhalilishaji wa kijinsia. Ni hilo tukumkosoa maria tsehai bila kuzingatia jinsia yake ni kumosea adabu kabisa.yule ni mwanamke vipo vitu hapaswi kufanya kama mwanaharakati bali kama mama au dada au shangazi kama apendavyo kujiita.
leo hii unaandika umefurahi kwa kifo cha rais ambaye ni baba wa mtu,unaijua kesho yako wewe!!!au tunaendeshwa na ubinafsi tu!!!
ndio sababu tunaambiwa kwenye haki ya kutoa maoni unahakikishiwa uhuru kabla,ila uhuru baada ya maoni ni jambo jingine,kukosa uhuru baaa ya maoni sio lazima mamlaka,hata jamii inaweza kukusimanga kwa maoni uliyotoa.
Ndio ana haki ya mawazo na maoni ni vioe tu kaamua kuyaweka hadharani na ni vile ni tu ni mtu anayefatiliwa na watu wengi kama kufurahi wengi wamefurahi hata mimi nimefurahi, ila mkosoe hata mara elfu 1000 kama mtu mwingine ila usiingize uanamke wake na kumdhalilisha na kumtusi kwa hilo, ulichofanya ni udhalilishaji wa kijinsia ndani ya mawazo na maoni yako huru
Sio shida kukosoa, kosoa unavyotaka ila uache udhalilishaji wa kijinsia. Ni hilo tu
labda umwambie wewe popoma mwenzake atakuelewa.
jeshi lina miiko yake,na moja wapo ni kuacha kutamka hadharani kwamba wanamtii mh amiri jeshi, na wanahudumia watanzania wakati wa amani na vita.lazima watamke.
Una point ya msingi, nilikua najiuliza mbona yule mjeda yuko karibu sana na rais na sio kawaida kuwa na adc na body guard wa rais na mjeda mwingine...seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON
Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!
Neno popoma lina maana gani Ndugu?
Alikuwa anawakumbusha mnaopenda kubeza watuView attachment 1735511
Mwanaharakati Maria Sarungi anaandika
Very unusual statement! Goes without saying that the sitting President is the Commander in Chief, yet Chief of Defence Forces goes out of his way to emphasize that the army will obey President @samia_suluhu_hassan
Kuna haja gani kusisitiza maana sisi wananchi tunajua vyema kuwa Amiri Jeshi Mkuu wetu ni Rais! Huu ujumbe siyo wetu ila kile kikundi alichosema Mama wanauliza “Huyu mama ataweza kuwa Rais” na si ajabu waliongea mengine huko ndani! Ni hivi: 👉🏽 Mh Rais Samia Suluhu Hassan - get used to it!
Asante CDF ✊🏽
Clearly there must be a lot going on behind the scenes!
Huu ni duni wa kujibu hoja. Mwisho wake ni matusi makali kama haya
Na kwa Nini CDF aeleze kitu ambacho wote tunajua kuwa ndio wajibu wake ...msisitizo wa Nini!! ???Ni lini jeshi lilishatoa kauli ya kutomtii Rais mbele ya hadhara kiasi ambacho tuone ajabu CDF kusema atamtii Rais?
Unaweza mwambia dada yako hivyo ikiwa mtatofautiana au ikiwa atatenda kosa? Mimi nimemaliza Mkuuwapi nimeshalilusha jinsia yake!???
kuuliza kama anakosa mti!!!huu sio udhalilishaji ni maoni pia.