Labda wewe unakisia lakini ukweli unatabaki kuwa muuaji hatimaye kafa na watu wanashangilia! Sasa mambo ya bibie tusubiri tuone utendaji wake!hata ushahidi huna zaidi y kukisia tu.
kwahiyo unahalarisha visasi viendelee,mfano biggie sasa aanze kutafuta wabaya wa baba yake.
Maoni ni nini,na yanatakiwa yakaeje?Ujinga kwa mtu unategemea unakaa kuutizama ukiwa wapi.
hayo ni maoni??unajua maoni yana kaaje?
Wewe ni MUONGO..Inategemea; CDF Mabeo alikuwa chaguo la JPM ndio maana waliokuwa juu yake wote walipanguliwa kwa kuondolewa ili aweze 'kumfikia mabeho'
Raisi Samia nae anaweza kuwa na Chaguo lake hivyo akapangua safu yote ya JPM ili amfikie anaemtaka na hakuna wa kumzuia.
Nimesoma baadhi ya comment zako inaonekana kumbe hujui unachoandika kuhusu jeshi...Una uhakika CDF mwenyewe kama anajiamini kubaki?
Tatizo linakuja waliopo kwenye uongozi wa juu wengi wao kiumri wapo above 45 yrs , hawa watu Wana mfumo dume wa kizamani na sio rahsi kuutoa,Ukitaka kujua ubaguzi wa jinsia tulionao soma uzi huu. Ndiyo maana naona raisi wetu ana kazi ngumu sana kuingoza nchi ambayo tuna ubaguzi wa kijinsia.
Huyu Sarungi si ndo wale wale vibaraka kwenda zako...............
Mwanaharakati Maria Sarungi anaandika
Very unusual statement! Goes without saying that the sitting President is the Commander in Chief, yet Chief of Defence Forces goes out of his way to emphasize that the army will obey President @samia_suluhu_hassan
Kuna haja gani kusisitiza maana sisi wananchi tunajua vyema kuwa Amiri Jeshi Mkuu wetu ni Rais! Huu ujumbe siyo wetu ila kile kikundi alichosema Mama wanauliza βHuyu mama ataweza kuwa Raisβ na si ajabu waliongea mengine huko ndani! Ni hivi: ππ½ Mh Rais Samia Suluhu Hassan - get used to it!
Asante CDF βπ½
Clearly there must be a lot going on behind the scenes!
Yule ninmpambe wa CDF ukiangalia cheo chake ni Major.Ila kama umeangalia seating arrangement kuna mjeda yupo karibu sana na siti ya rais, achana na adc wake...hiyo ni uncommon..
Kazi anayo, hata humu jf wanaume tuna mitazamo dume asilimia 90...Ukitaka kujua ubaguzi wa jinsia tulionao soma uzi huu. Ndiyo maana naona raisi wetu ana kazi ngumu sana kuingoza nchi ambayo tuna ubaguzi wa kijinsia.
Ngoja nitaangalia vizuri nijiridhishe...yawezekana uko sahihiYule ninmpambe wa CDF ukiangalia cheo chake ni Major.
πππ ujumbe wameishaputa japo mchungu.. na wajue wapo kwenye radal za JWTZ..Wafikishie ujumbe wote wanaodhani wana uwezo wa kuhodhi madaraka kinyume cha katiba kwamba wasithubutu wala kujaribu. Yeyote atakaye thubutu au kujaribu kumkwamisha Amiri jeshi mkuu hatokuwa na mwisho mwema.
Hivyo niwatoe wasi wasi ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu ni salama na itaendelea kuwa salama wakati wote. Tuendelee kuchapa kazi!!!
Kwani hujamuona kwenye mazishi?Hivi Diwani Athuman yupo wapi?
Jadili mada iliyoko mezaniMaria Sarungi anamuoma baba yake ndio shujaa wa nchi hii kwa kufunga watu vidonda hospitalini.
Naona kapowa sana,maana enzi za Jiwe alikuwa front pembeni ya Jiwe almost matukio yote. Idara inatakiwa ibomolewe yote maana ishakuwa genge la kambale.Kwani hujamuona kwenye mazishi?
Ila uyu mtu hidara imemshinda vibaya sana tena,apewe hata ubalozi uko akatulie.Hivi Diwani Athuman yupo wapi?