Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,366
Wakati Mababa wa wenzio wanasoma Baba yako alikuwa anacheza bao na kubadili mikao ya kukaa kijiweni.Maria Sarungi anamuoma baba yake ndio shujaa wa nchi hii kwa kufunga watu vidonda hospitalini.
Yaani Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwa Usalama wako na utendaji mzuri teua Katibu Mkuu Kiongozi mpya.Bashiru sio mtu mzuri, ikiwezekana aondolewe kwenye nafasi zote zinazomfanya awe karibu na Rais kwa namna Yoyote ile
Hivi unashindwa kujua maana ya chama?Vikwazo vya mkate wa kila siku vililetwa/wekwa na nani?
Mtu au chama?
Ndiyo maana lilikuwa recorded na mazingira fulani yasiyoeleweka kwenye Ile background. Mambo mazitoKwa mtazamo wangu dalili zote zilionyesha Makamu now Raisi pamoja na Chief of Defense Forces walipanga hyo route ya kwenda Tanga , na lengo ni moja Tu kwenda kutangaza kifo cha Raisi Kwa sababu Mzee alikuwa ameshakata mda Ila kulikuwa na internal struggle, ......
Tangazo la msiba lilitumwa tokea Tanga kwenda TBC HQ under Army command
Mbna mama ndo huyo huyo chief of defence Force au[emoji848]Hao nao tushawazoea watoto wa vigogo tushawajua , la kwao ni kuvuruga , wamwache mama atupe oxygen swaaaafi pamoja na Chief of Defense Forces
Ahaaa.Wacha kunifuata fuata na kuniletea nuksi we MATAGA
Anafikiri CDF ni kama Kamishana wa magera, au IGP au DG TISS 😀😀.. Ule ni mzizi ulioshuka chini sanaHuwezi mvua cheo jenerali tena mmoja nchi nzima labda ukubaliane nae astaafu. Rank za chini ya hapo uko duniani ndio wanaweza kumuondolea Lt. Gen. au Brig. Gen. (kuwa "stripped of")
Maria Sarungi ni kaburu tu ana damu ya kizungu.Huyu Sarungi si ndo wale wale vibaraka kwenda zako...............
Lazima dawa iwaangie 😀😀😀.. walitaka kuleta tamaa ambazo huenda zingegawanya taifa na kuliingiza kwenye history mbaya. Hongera CDF hongera JWTZMkuu wa majeshi muda wote alikuwa anakaa jirani Mh Rais badala ya kukaa na wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama! Means bado Jeshi linaendesha show hadi "idara" zinyooke!
Heshima kidogo basi kwa shemeji yako mkuu 😀😀😀..Huyu dada ana shida sana aisee
Haya yote umeyahibuwa wapi, kama sio Mickey Mouse stories zakufurahisha baraza - wewe mtu baki unajuaje kwamba Brig. Ibuge ndie anasimamia affairs za Ikulu eti "uliangalia seating arrangment ya jana ndio ikakupa picha kamili kwa kile kinacho endelea nyuma ya pazia - unafikiri hatuna akili ya kujua kwamba lengo lako and like mind wenzako ni kutaka kumwaribia sifa mtu mmoja tu pale - mnafikiri Rais S.S.Hassan hajui kampein zenu chafu za kuwaribia sifa potential candidates wa kuwania wadhifa wa Makamu wa Rais - hiki ndicho kinaendelea hapa, mengine ni maiigizo tu.Seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON
Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!