Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kumbangua Ben Saanane risasi ya kichwa? Lakini Ben Saanane kapatikana au serikali yake ilifanya uchunguzi wa kupotea kwake?JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Wanaotekwa sasa na kuuawa wametendewa na JPM?Kama kumbangua Ben Saanane risasi ya kichwa? Lakini Ben Saanane kapatikana au serikali yake ilifanya uchunguzi wa kupotea kwake?
😁😁 chukua maua yako mkuu💐💐💐Vipi kama angekuwa Mama yako Mkuu
Watu mnapredict everythingNadhani idara ya usalama Kenya hawajataka kujichafua kwa hili, na imepelekea wajuba wamuache aende...
Kwa maana wasingetoboa, zingepigwa border check up za kufa mtu, halafu mwisho wa siku ikawa noma.
Na inaelekea walikubaliana mwanzoni lakini baada ya watu kupaza sauti, utakuta kina Lissu walishavuta waya hadi kwa Ruto..
Humu jf utagundua CCM wengi wapumbavu mfano tlaatlaah, Lucas Mwanshambya na Dr wa Manesi. Comments zao utajua kichwani tatizoUkipita humu mitandaoni, hususani jf, ndo unajua chadema Wana wafuasi wengi ambao ni mambumbumbu na malofa sana. Acha ccm Iendelee kutesa kule kileleni.
Lengo lilishtukiwa kabla hawajalipanga.Maria has a story to tell
Ninini kimetokea? Majirani waligoma kutoa msaada ili wavuke boda na mzigo wao?
Kelele za kimataifa?.
Wiki itaanza na mengi mapya.. Tuwe na subraView attachment 3199990View attachment 3199990
Aliyeanza ushamba wa kutekana ni nani? Na wanaotekwa sasa hivi ni yupi umesikia anakaumiwa JPM?Wanaotekwa sasa na kuuawa wametendewa na JPM?
Kwahy hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na nanAliyeanza ushamba wa kutekana ni nani? Na wanaotekwa sasa hivi ni yupi umesikia anakaumiwa JPM?
Besigye aliweza kufikishwa Kampala.. Maria imeshindikanaLengo lilishtukiwa kabla hawajalipanga.
Inaonekana anapenda kuishi kimalkia, ajichunge sana.Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu