Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
wapo peponiNdugu zako waliokufa wako wap sa h?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo peponiNdugu zako waliokufa wako wap sa h?
Kwa sasa siyo yeye maana yupo kaburini.Kwahy sio JPM?
Hiyo ni sera ya chama chenu na haijalishi nani yuko madarakani.Wa sasa wametumwa na nan
Kumbe utekaji na uuaji haukufanywa na JPM tuu 😂 bc sawaKwa sasa siyo yeye maana yupo kaburini.
Kumbe sio JPM tena?Hiyo ni sera ya chama chenu na haijalishi nani yuko madarakani.
Ni mgonjwaHawajamlawiti?
Kitu kinachonifanya niichukie na kuiogopa siasa kuliko ukoma ni mauaji ya kiholela kulinda tawala zilizopo., propaganda za kumchafua mpinzani, ukatili na kunyimwa haki.Hata simtetei mkuu nilikuwa namuelewesha jamaa maoni yangu kati ya Maza na Magu nani katili? Ali Kibao, Chaula, Soka na wenzake wawili,juzi uchaguzi wa serikali ya mtaa imeondoka na watu ,,hapo sijazungumzia wale wametekwa na kurudishwa, uhuni haujaisha hata kidogo ndiyo umekuwa zaidi.
Wote mizinguo ila Magu ashazidiwa. Huu ni msimamo wangu kabisa. (Hapo sijagusa hata WaMassai)
Kama karudi sio kwa kelele zenu, bali ame comply!Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu
Yeye ndiye muasisi wa ujinga wote huoJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Tofauti ni kwamba Magufuli alikuwa anamiliki mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA cĥini ya Makonda.Hata simtetei mkuu nilikuwa namuelewesha jamaa maoni yangu kati ya Maza na Magu nani katili? Ali Kibao, Chaula, Soka na wenzake wawili,juzi uchaguzi wa serikali ya mtaa imeondoka na watu ,,hapo sijazungumzia wale wametekwa na kurudishwa, uhuni haujaisha hata kidogo ndiyo umekuwa zaidi.
Wote mizinguo ila Magu ashazidiwa. Huu ni msimamo wangu kabisa. (Hapo sijagusa hata WaMassai)
Hao wanaofanya sasa hv wametumwa na nanYeye ndiye muasisi wa ujinga wote huo
Ulimboka alitekwa na kung'olewa kucha kipindi cha JPM?Hilo ndio lilianzisha mambo ya utekaji lilaaniwe mara milioni uko chato
Kwamba wametoka huku sio😳😳Thanks Kenyan government.. Wameshindwa kumvusha boda?
Fuatilia. Kwa sasa ndo kitu kinacho-trend hukoSiyo kama huku kwetu.
Yeah; JPM alisingiziwa mengi sana. Yule jamaa kaandika habari za "kifo" cha Ben Saanane; hivi tofauti ya kile kumuhusu Ben na dogo wa ku bet bwana Sativa ni nini? Tukio la Sativa limetokea wakati JPM yupo zake mbele za hakiJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Raia wanasema JPM anahusika kwenye tukio la Sativa 😂 ety hata hili la Sarungi pia JPM anahusika 😂Yeah; JPM alisingiziwa mengi sana. Yule jamaa kaandika habari za "kifo" cha Ben Saanane; hivi tofauti ya kile kumuhusu Ben na dogo wa ku bet bwana Sativa ni nini? Tukio la Sativa limetokea wakati JPM yupo zake mbele za haki