Maria Sarungi ni nani?

Huyu ni musiba?πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Attachments

  • images.jpeg
    29.8 KB · Views: 20
Zamani nilisikia kisa kua Prof Sarungi alimfanyia upasuaji mchezaji flani either wa Simba au yanga ambaye iliaminika asingepona baada ya kuvunjika. Mwemye kumbukumbu sahihi anisaidie
Prof alikuwa mmoja katii ya manguli wa mifupa!!jirani yetu alivunjika mara 4 mguu ulikuwa ukatwee ila prof alifanya miujizaa

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Sema mtoto wa mwisho wa mama wa kizungu
Hawa wengine mbona wapo wengi tuu huku keko
 
Daaah ipo siku tutakutana
 
Bro wamekuua wamegeuza nchi kama kaukoo chao cha kule Chato.
Vp mama yake Meko ana cheo gani huko? Maana ana zaidi ya mwezi wamemficha mochwari kwenye mabarafu hawataki kusema amekufa.
Kama kashafika huko mpeni ukiranja wa chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…