Maria tulikuwa washabiki wako sana, ulichotuudhi majuzi kati ni kuingilia uchaguzi wa ndani wa CDM ambao moja haukuhusu na mbili wewe si mwanachama.
Yaani hadi walivyokudaka tukasema wakulete tu hadi mpakani au hadi Bongo uwe wakala wa Lissu siku ya uchaguzi - Mungu atusamehe.
Ukishakuwa maarufu jifinze kutowakwaza washabiki zako. Watu wengi sana wanakufuatilia wa CCM, CDM, ACT na hata wasio na vyama. Nenda na sera moja tu ya Katiba Mpya - katiba ndiyo msingi wa yote, haya mengine ya uchaguzi wa CDM unajichanganya.
Mwache Lissu apambane na Mwenyekiti wake, pilipili hujaila mbona...
Yaani hadi walivyokudaka tukasema wakulete tu hadi mpakani au hadi Bongo uwe wakala wa Lissu siku ya uchaguzi - Mungu atusamehe.
Ukishakuwa maarufu jifinze kutowakwaza washabiki zako. Watu wengi sana wanakufuatilia wa CCM, CDM, ACT na hata wasio na vyama. Nenda na sera moja tu ya Katiba Mpya - katiba ndiyo msingi wa yote, haya mengine ya uchaguzi wa CDM unajichanganya.
Mwache Lissu apambane na Mwenyekiti wake, pilipili hujaila mbona...