Maridhiano ya CHADEMA na CCM ni batili kwakuwa sio jumuishi

Maridhiano ya CHADEMA na CCM ni batili kwakuwa sio jumuishi

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.

Soma: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
 
Wanachama wote wa chadema walishirikishwa kupitia mikutano yao kuanzia viongozi wa Taifa mpaka wa msingi na waliridhia
Hata kama isingefanyika viongozi wapo kwa manufaa ya wanachama kama huko kwenu hawakufanya nakuomba udai kwa nguvu zote
 
👀
20230309_145221.jpg
 
Wanachama wote wa chadema walishirikishwa kupitia mikutano yao kuanzia viongozi wa Taifa mpaka wa msingi na waliridhia
Hata kama isingefanyika viongozi wapo kwa manufaa ya wanachama kama huko kwenu hawakufanya nakuomba udai kwa nguvu zote
Unaweza kutueleza wamejadiliana na kukubaliana nini??
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Dah! Misukule ya Mwendazake mnapata shida...
Mbona bado sana
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
NENDA MAGEREZA KASHTAKI JE MATESO WALIOPITIA VIONGONI NA WAFUASI WA CHADEMA WANANCHI WALUSHIRIKISHWA?
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Kwani wakati wengine wanapigwa pingu, risasi, na kuswekwa lupango na kukimbia nchi ninyi si mlikua busy mnafanya sherehe za kupokea waliounga mkono juhudi?
Si ndiyo yalikua 'maridhiano' yenu hayo? Mlimjumuisha nani?
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Mnaboa sana aisee
 
Kwani wakati wengine wanapigwa pingu, risasi, na kuswekwa lupango na kukimbia nchi ninyi si mlikua busy mnafanya sherehe za kupokea waliounga mkono juhudi?
Si ndiyo yalikua 'maridhiano' yenu hayo? Mlimjumuisha nani?
Mkuu kwanini kila anayehoji maridhiano yenu mnadhani ni mshabiki wa CCM ?
 
Unapenda kuburuzwa sana.

Kila mtu afanye yake maana hata wewe unanikera sana kwa tabia zako za kindezi.
Kumbe tunaposikia kuwa DRC,Somalia,South Sudan watu wanachapana ni hizi hizi tabia mlizo nazo za kimatabaka tabaka,ashukuriwe Mungu aliyemwondoa mwasisi wa mambo haya,nyie endeleeni tu kwa vile hamna meno mtaendelea tu kubwabwaja mpaka mfe muishe kabisa hapo hali itakuwa shwri.
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Umeshasema Maridhiano ni ya CHADEMA na CCM then unasema sio JUMUISHI
 
Back
Top Bottom