Maridhiano ya CHADEMA na CCM ni batili kwakuwa sio jumuishi

Maridhiano ya CHADEMA na CCM ni batili kwakuwa sio jumuishi

Umeshasema Maridhiano ni ya CHADEMA na CCM then unasema sio JUMUISHI
Alitaka wanachama wote wa CCM na CHADEMA wasafirishwe kutoka popote walipo halafu wakusanywe sehemu moja ili wafanye maridhiano.
Masikini huyu aliyejengwa na kuaminishwa kuwa umasikini ndiyo sifa kuu ya utanzania na uzalendo kwa nchi hata hajui maaana ya kuwepo kwa viongozi wala Kamati Kuu za Vyama
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Tanzania ni taifa ambalo msingi wake mkuu ni umoja wa kitaifa. Amani, utulivu na usalama wa hali ya juu unatokana na umoja wetu. Hivyo, kimkakati lazima uzibe hata upenyo mdogo unaoweza kutikisa umoja wa kitaifa.

Pili, ni muhimu wanasiasa waaminiane. Waliokuwa wakitumiwa na maadui wa nje lazima waache wajue nchi hii ni yetu sote. Kwa hiyo juhudi hizi za kukaa pamoja ni muhimu kuendeleza Tunu za Taifa. Anayepinga ni adui wa taifa. #SISI NI TAIFA MOJA. 🙏🙏🙏
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Unwazo zuri ila linatakiwa lirekebishwe kidogo, maridhiano Sio batili ila ingependeza kwa kuwa ni maridhiano ya taasisi mbili zingewekwa wazi kwa wanachama wake ili wote wajue mwelekeo wao na kauli ya kulamba asali ndo itakapo isha hapo
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Kuna wanachama katika vyama hivi viwili takriban milioni kumi na tatu Ulitaka mshirikishweje wote zaidi ya wawakilishi wenu kwenye vikao vya kamati kuu?
Wewe sio hata mjumbe wa shina maoni yako hayana umuhimu wowote
 
Kuna wanachama katika vyama hivi viwili takriban milioni kumi na tatu Ulitaka mshirikishweje wote zaidi ya wawakilishi wenu kwenye vikao vya kamati kuu?
Wewe sio hata mjumbe wa shina maoni yako hayana umuhimu wowote
Kinacho takiwa ni taarifa ya walio kubaliana
 
Alitaka wanachama wote wa CCM na CHADEMA wasafirishwe kutoka popote walipo halafu wakusanywe sehemu moja ili wafanye maridhiano.
Masikini huyu aliyejengwa na kuaminishwa kuwa umasikini ndiyo sifa kuu ya utanzania na uzalendo kwa nchi hata hajui maaana ya kuwepo kwa viongozi wala Kamati Kuu za Vyama
Hahahahaha Mpwa huna akili hahahaha sio kwa kunivunja mbavu hivi. Samia anawapa sonona CCM
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Ila wee jamaa 🤣🤣🤣!! Kilichopo kweny maridhiano au kilichopelekea kuwepo maridhiano mbona wote wamekizungumza jana? In short maridhiano ni kuweka sawa mamb ya hovyo waliyofanyiwa upinzani awamu ya tano!! Kama Taifa hatujawah kua na siasa chafu kama zile mpaka kubaguana kisa mmetofautiana kiitikadi za vyama!! Huo ndio ukweriii ingawa unauma but that's the way it is!!
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Huu ni utopolo mtupu.
Jinga waliwao.
 
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Sukuma gang kazini
 
Biblics



kutafuta Biblia



Esta 4:14-17Biblia Habari Njema (BHN)​

14. Ukikaa kimya wakati kama huu, msaada utawajia Wayahudi kutoka mahali pengine, nao wataokolewa; lakini wewe utakufa, na jamaa ya baba yako itaangamia. Ni nani ajuaye pengine umefanywa malkia kwa ajili ya wakati kama huu!”
15. Esta alimpelekea Mordekai jibu hili:
16. “Nenda ukawakusanye pamoja Wayahudi wote waliopo mjini Susa. Fungeni, msile wala msinywe kwa siku tatu, usiku na mchana, kwa ajili yangu. Na mimi na watumwa wa kike wangu tutafanya vivyo hivyo. Kisha, nitamwendea mfalme, ingawa ni kinyume cha sheria. Kama ni kuuawa, na niuawe.”
17. Basi, Mordekai akaenda zake na kufanya kama Esta alivyomwambia.
 
Biblics



kutafuta Biblia



Esta 4:14-17Biblia Habari Njema (BHN)​

14. Ukikaa kimya wakati kama huu, msaada utawajia Wayahudi kutoka mahali pengine, nao wataokolewa; lakini wewe utakufa, na jamaa ya baba yako itaangamia. Ni nani ajuaye pengine umefanywa malkia kwa ajili ya wakati kama huu!”
15. Esta alimpelekea Mordekai jibu hili:
16. “Nenda ukawakusanye pamoja Wayahudi wote waliopo mjini Susa. Fungeni, msile wala msinywe kwa siku tatu, usiku na mchana, kwa ajili yangu. Na mimi na watumwa wa kike wangu tutafanya vivyo hivyo. Kisha, nitamwendea mfalme, ingawa ni kinyume cha sheria. Kama ni kuuawa, na niuawe.”
17. Basi, Mordekai akaenda zake na kufanya kama Esta alivyomwambia.
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.

Una maana hizi ngonjera zenu?

FpbIYBHXwAAehTp.jpeg


Zingatia:

Awamu za zama za giza hazipo tena.
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
we una nini hadi ushirikishwe poyoyo tu, wakubwa wamekaa wameamua kwa niaba yako we ni nani chawa wa mwendazake mfyuuu.

toa njia bora ya kuwashirikisha bila gharama kama hyo jeuri unayo.

shetani alishatwaliwa kwishney
 
Back
Top Bottom