Maridhiano ya CHADEMA na CCM ni batili kwakuwa sio jumuishi

Maridhiano ya CHADEMA na CCM ni batili kwakuwa sio jumuishi

Kumbe tunaposikia kuwa DRC,Somalia,South Sudan watu wanachapana ni hizi hizi tabia mlizo nazo za kimatabaka tabaka,ashukuriwe Mungu aliyemwondoa mwasisi wa mambo haya,nyie endeleeni tu kwa vile hamna meno mtaendelea tu kubwabwaja mpaka mfe muishe kabisa hapo hali itakuwa shwri.
Naomba Mungu kila siku muache tabia yenu ya wizi.
t
Kwakua mkiacha kuliibia Taifa hili ndio siku wananchi wa kawaida watanufaika na Rasilimali zao.

Kila jambo linaa mwisho wake hata wizi wenu nao una mwisho.

Mtakufa naa kuacha fedha zotee mlizoiba itakua ni sawa na kaazibure...t

Mtaiiba sana illa kila kitu mtakiachaa hapa.
 
NENDA MAGEREZA KASHTAKI JE MATESO WALIOPITIA VIONGONI NA WAFUASI WA CHADEMA WANANCHI WALUSHIRIKISHWA?
Ndio maana mnawatukana na kuwadharau? Kwa sababu hawakuja magereza kuwapa pole? Kwa sababu hawakuja hospitali nairobi na ubeligiji?
Kwanini washirikishwe? Wao ndio wanayotaka Dola au wanataka Maisha Bora?
 
Kwani wakati wengine wanapigwa pingu, risasi, na kuswekwa lupango na kukimbia nchi ninyi si mlikua busy mnafanya sherehe za kupokea waliounga mkono juhudi?
Ndii mumtume Lema kuja kutukana? Mkiambiwa mnafanya siasa za Visasi mnakataa. Sasa hao waliojitengenezea mazingira hayo wanahaha nini. Wananchi wameshawashitukia. Ni walaghai.
Si ndiyo yalikua 'maridhiano' yenu hayo? Mlimjumuisha nani?
Hakuna nchi yeyote Duniani unaweza kuleta za kuleta ukaachiwa.
 
Dah! Misukule ya Mwendazake mnapata shida...
Mbona bado sana
Aliyeleta hayo ni wewe. Watu wamejikita kwenye hadaa ya Maridhiano, wewe unakuja kumtaja Hayati? Huoni wewe ndio bado una Shida! Unahuzunika nini sasa?
 
Kwanza wanaccm halisia hatuna haja ya maridhiano na chadema kama hali yenyewe eti mbowe anadai serikali ya ccm iombe radhi. Iombe radhi kwa kitu gani? Awamu ya 5 ilikua ya kutukuka ila lengo la hawa vibaraka ni kumdermonise magufuli kwa malengo mapana ya mabebetu.
Labda maridhiano hsya ni kati ya chadema na ccm masilahi. Na ndio maana 2025 ccm inahitaji mgombea urais kutoka ccm asilia.
Pole "taga".
Enzi za kutumia nguvu zimepita kitambo baada ya "baba wa uongo" kupelekwa kuongoza "malaika wa uongo".
 
Machadema ya kawaida yanaumia kimoyomoyo,
Ila viongozi wa juu wanaramba asali eti ili kufuta machungu ya awamu ya tano
 
Hata mh Rais amesema kuna watu hata wa chama chake hawajapenda kinachoendelea kwa sababu ni maconservative lakini tumuombe mama asonge mbele pasipo kujali makelele ya hayo mazimwi manywa damu .Wanapenda ile hali ya kisiasa ya kipindi cha miaka ya mwendazake ingeendelea ili kulinda vyeo vyao.Mtafute nchi yenu watu wa ovyo sana nyie
 
Kabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.

Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.

Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.

Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.

Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.

Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.

Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.

Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Naona Kuna Mabango mengi katikati ya Jiji la Dodoma lililonistua zaidi ni lile la Mama ni Mpatanishi halafu kuna picha ya Mama na Mh. Mwenyekiti
 
Wakati wanaharibu mashamba ya Mbowe na kumlima risasi Lissu , waliomba maoni ya wananchi?. Mnashangaza Sana, wakati CHADEMA wanaateswa mlichekelea na kudhihaki leo wanajaribu kusamehe yaliyotokea , mmeanza kuwalaumu. Wanafiki wakubwa.
 
Mkuu kwanini kila anayehoji maridhiano yenu mnadhani ni mshabiki wa CCM ?

Ni unafiki sio kuhoji. Wakati CHADEMA wanapigwa vita na yule ibilisi mbona hawakuhoji wakawa wanafurahia mateso ya CHADEMA? iweje Leo CHADEMA Wana move on ndio waanze kuhoji? Waache unafiki
 
Ni unafiki sio kuhoji. Wakati CHADEMA wanapigwa vita na yule ibilisi mbona hawakuhoji wakawa wanafurahia mateso ya CHADEMA? iweje Leo CHADEMA Wana move on ndio waanze kuhoji? Waache unafiki
Je hayo maridhiano nani atafaidika zaidi umewahi kujiuliza Hilo swali?
 
Je hayo maridhiano nani atafaidika zaidi umewahi kujiuliza Hilo swali?

Mimi Kama mwanchama nimefaidika, kwa Sasa naweza kufanya mikutano ya kisiasa na kueneza sera ya chama changu bila wasiwasi.
 
Kwanza wanaccm halisia hatuna haja ya maridhiano na chadema kama hali yenyewe eti mbowe anadai serikali ya ccm iombe radhi. Iombe radhi kwa kitu gani? Awamu ya 5 ilikua ya kutukuka ila lengo la hawa vibaraka ni kumdermonise magufuli kwa malengo mapana ya mabebetu.
Labda maridhiano hsya ni kati ya chadema na ccm masilahi. Na ndio maana 2025 ccm inahitaji mgombea urais kutoka ccm asilia.

Hivi CCM ya Samiah na CCM ya Magufuli ipi ilikuwa asilia. CCM ya Magufuli ilijaza mamluki akina polepole, Prof kabudi, Dr Bashiru nk.
 
Back
Top Bottom