The Palm Beach ,
..Mbowe inabidi aende kwa wananchi azungumze nao kabla hajarudi kwa wananchi.
..Wananchi wanaelekea kukosa imani na vikao vya maridhiano. Mbowe akasikilize wananchi nchi nzima, na kuwapa mrejesho.
.."Honey moon" ya kuwa Ccm na Cdm wanazungumza imekwisha. Wananchi wanataka kuona maazimio au hatua za utekelezaji wa kinachozungumzwa.
Kwenye kila kikao cha maridhiano kuna bahasha inapita na tabasamu juu, chadema endeleeni kukaa kwenye vikao.
Hakuna chama chochote cha upinzani ambacho hakina mapandikizi,ccm ni habari nyengine upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm sio cuf,act wala nani uko
Wakisusa Ccm watakula kila kitu peke yao.
Hapa ndio upeo wake unapoishia. Hopeless kabisaMaridhiano ni scam๐
View attachment 2446450
Kwa hiyo unakataa kuwa chadema hakuna mapandikizi ya ccm?Acha kauli zilizopitwa na wakati.
Una maanisha utakatifu utaletwa na shetani?. Yani ccm ( shetani) ndio ataleta upinzani wa kweli (utakatifu). Tuache kuongea mambo ambayo siyo realistic.
100kBahasha ya shilingi ngapi?.
Mbowe aache kuitumia CDM kufanya maridhiano ya kitapeli. Kama ana maslahi yake binafsi na hayo maridhiano, basi aachie uenyekiti lakini sio kugeuza watu kuwa mateka wa CCM. Machafuko pekee ndio njia ya kuheshimiana sio zaidi ya hapo.Mengine yote uko sahihi na nakubaliana na wewe ndugu Msanii
Hata hivyo sikubaliani na ushauri/pendekezo lako la watu wanatofautiana au wanaogombana au wanaosagiana kunguni kuacha kukaa chini pamoja ili kumaliza tofauti zao kwa njia ya majadiliano au kama mnavyoiita "maridhiano..."
Kama unashauri watu wasimalize tofauti zao kwa mazungumzo, then watumie njia gani? Wapigane ngumi...?
HAPANA..!!
Tunachotakiwa ni kushauri namna njema ambayo majadiliano haya yanapaswa kuendelea kufanyika. Ubabe haujawahi kuleta suluhu popote pale duniani isipokuwa adha na mateso kwa wananchi...
Mashauriano au maridhiano ya kitaifa yaendelee. Na ndugu Freeman Mbowe - Mwenyekiti wa CHADEMA (T) alifafanua vyema kabisa juu ya hili siku mbili zilizopita akiwa huko Marekani na mimi kwa kweli nilimwelewa vizuri kabisa...
kumbe hata huyajui maridhiano.HAKI NA WAJIBU
Serikali ya CCM imepoteza ushawishi na uhalali. Vyama viachane na hayo maridhiano. Vijitoe sasa kwa sababu wanaohitaji maridhiano ni Watanzania ambao wameishi kwenye mkwamo wa kipuuzi zaidi ya miaka 60 ya Uhuru.
- Katiba na sheria vinatoa haki na kila upande yaani raia na dola wana wajibu wa kufana ili sheria itekelezeke.
- Rais anamsema mtangulizi wake kuhusu utawala wa mabavu na vitisho lakini yeye hajafanya lolote kufuta mabavu hayo anataka maridhiano yaendelee huku akiagiza vyombo vya dola kuzuia mikutano ya kisheria ya vyama.
- Vyama vinaitwa meza ya maridhiano kana kwamba sheria zinazoruhusu shughuli za siasa zimekosewa na hazitekelezeki.
- CCM imeweka mapandikizi ndani ya vyama hivyo kasoro kimoja hivyo wanajiona wapo salama kushiriki maridhiano ambayo ni HADAA kubwa kwa Taifa.
- Bunge linatumika kuchafuana wenyewe kwa wenyewe badala ya kuisimamia nchi. Siass imezuiwa kufanyika na hakuna tamko wala azimio la Bunge kuhusu hili.
- CCM inafanya mikutano yake na maabdamano huku ikipewa ulinzi lakini vyama vingine wanazuiwa wakiambiwa hakuna ulinzi lakini jeshi hilo hilo lina kikosi cha mauaji kinachoenda kuwashambulia kwa silaha za kivita endapo watakaidi agizo haramu la kusitisha mikutano yao.
- Mahakama ambayo ndiyo inawajibu wa kutafsiri sheria inapokea mashtaka na kutoa hukumu kwa wanaokaidi maagizo haramu yanayokiuka sheria na katiba kuhusu mikutano na maandamano
Vyama vinavyoendelea na maridhiano ni vile ambavyo ni ngazi na busati la CCM kuendelea kuwahadaa Watanzania ili iendelee kuwatawala kwa minajili ya kulinda ukwasi wa kikundi cha watawala kinachokwapua rasilimali za nchi na kujimilikisha uhalali wa kuamua nani aishi na nani afe ndani ya Tanzania.
Maridhiano tanayoendelea yanakiuka Katiba na Sheria za nchi. Yasitishwe.
Nakubaliana na wewe kwenye hili๐๐๐Mbowe aache kuitumia CDM kufanya maridhiano ya kitapeli. Kama ana maslahi yake binafsi na hayo maridhiano, basi aachie uenyekiti lakini sio kugeuza watu kuwa mateka wa CCM.
Lakini kwa hili ๐ ๐๐, HAPANA KUBWA KABISA..!!Machafuko pekee ndio njia ya kuheshimiana sio zaidi ya hapo.
HAKI NA WAJIBU
Serikali ya CCM imepoteza ushawishi na uhalali. Vyama viachane na hayo maridhiano. Vijitoe sasa kwa sababu wanaohitaji maridhiano ni Watanzania ambao wameishi kwenye mkwamo wa kipuuzi zaidi ya miaka 60 ya Uhuru.
- Katiba na sheria vinatoa haki na kila upande yaani raia na dola wana wajibu wa kufana ili sheria itekelezeke.
- Rais anamsema mtangulizi wake kuhusu utawala wa mabavu na vitisho lakini yeye hajafanya lolote kufuta mabavu hayo anataka maridhiano yaendelee huku akiagiza vyombo vya dola kuzuia mikutano ya kisheria ya vyama.
- Vyama vinaitwa meza ya maridhiano kana kwamba sheria zinazoruhusu shughuli za siasa zimekosewa na hazitekelezeki.
- CCM imeweka mapandikizi ndani ya vyama hivyo kasoro kimoja hivyo wanajiona wapo salama kushiriki maridhiano ambayo ni HADAA kubwa kwa Taifa.
- Bunge linatumika kuchafuana wenyewe kwa wenyewe badala ya kuisimamia nchi. Siass imezuiwa kufanyika na hakuna tamko wala azimio la Bunge kuhusu hili.
- CCM inafanya mikutano yake na maabdamano huku ikipewa ulinzi lakini vyama vingine wanazuiwa wakiambiwa hakuna ulinzi lakini jeshi hilo hilo lina kikosi cha mauaji kinachoenda kuwashambulia kwa silaha za kivita endapo watakaidi agizo haramu la kusitisha mikutano yao.
- Mahakama ambayo ndiyo inawajibu wa kutafsiri sheria inapokea mashtaka na kutoa hukumu kwa wanaokaidi maagizo haramu yanayokiuka sheria na katiba kuhusu mikutano na maandamano
Vyama vinavyoendelea na maridhiano ni vile ambavyo ni ngazi na busati la CCM kuendelea kuwahadaa Watanzania ili iendelee kuwatawala kwa minajili ya kulinda ukwasi wa kikundi cha watawala kinachokwapua rasilimali za nchi na kujimilikisha uhalali wa kuamua nani aishi na nani afe ndani ya Tanzania.
Maridhiano tanayoendelea yanakiuka Katiba na Sheria za nchi. Yasitishwe.
Kwani wewe Kamundu siyo mtanzania..?Rahisi kupinga ! Tupe mawazo yangu tutaenda vipi mbele kama taifa ukizingatia Watanzania ni waoga sana hata kuandamana ni shida
Aliyetengeneza uwepo wa jambo hilo anajulikana ni CCM.Maridhiano ya nini? Awaambie wananchi wameongea nini kwenye maridhiano
Ameongea Marekani huko ndio walipa kodi wapo?
Heche kanyaga twende!
Huku ni kupotezeana muda na kuwadanganya wananchiโฆ
Kundi kubwa limeenda Marekani kufanya nini? Mwenyekiti na Makamu why?
Kuna watakaochukia but tusidanganyane lipo jamboโฆ
Nakubaliana na wewe kwenye hili๐๐๐
Lakini kwa hili ๐ ๐๐, HAPANA KUBWA KABISA..!!
Na nakukemea waziwazi kabisa kuwa, kwa wazo hilo umekeunga ndugu yangu Tindo. Na kwa hiyo namuapiza shetani aliyeweka roho ya ugomvi na machafuko ndani yako ashindwe kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareth...!
Kwa hili, una maana ya kuwa Freeman Mbowe atangaze mapigano kati ya walio madarakani serikalini na bunduki zao dhidi ya wananchi wasio na silaha...!
Is this what you want Tindo...?
Hili halimhitaji Mbowe kukuambia anza kupigana nao kwa nguvu za mwili wa damu na nyama...
Wewe kama unaona njia sahihi ya mazungumzo ya amani mezani inakuchelewesha, unaweza tu kuanza wewe kupigana nao na wakitokea watakao kuunga mkono, basi mnaliendeleza kwa pamoja....!!
But I am strongly sure that, kwa njia hii Mbowe na CHADEMA together are in the right track....
Labda ungeweza kushauri kuwa, CHADEMA wanapaswa kuwa aggressive a little bit kwa kuilazimisha serikali na chama kilicho kwenye dola yaani CCM kufanya vitu fulani fulani especially kutoyafanya mazungumzo kuwa ni siri kati ya viongozi wa CHADEMA na CCM/SERIKALI...
Tuwaambie kuwa maridhiano hayo wanayoyafanya ni mali ya wananchi na wao tumewapa dhamana na nafasi tu ya kuzungumza kwa niaba yetu sote...
Na kwa hiyo lazima kuwe na updates za mara kwa mara ya nini kinaendelea na kuwe na framework ya process yote ya dialogue hiyo kuonyesha yameanza na yanatakiwa kuisha lini...
Isiwe ni mazungumzo yasiyo na mwisho. Mazungumzo ya namna hiyo ni mchezo usio na tija huku yakila fedha ya umma tu....
Lakini kuomba kutokee machafuko kwa sababu iwayo yoyote is not an alternative solution ya changamoto za nchi hii zaidi kwamba italeta adha na maumivu yasiyo na sababu kwa watoto wetu bure.....
Tindo, CCM hii itatoka madarakani bila ya wananchi kupigana sisi kwa sisi. Hawa taratibu wameshaanza kujinyonga wenyewe na mwisho watakata roho kabisa...!
MAandamano yanaweza kuwa suluhisho na labda yakawa chanzo cha shida mpya.Rahisi kupinga ! Tupe mawazo yangu tutaenda vipi mbele kama taifa ukizingatia Watanzania ni waoga sana hata kuandamana ni shida