Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #281
Haaahaa🤓🤓[emoji23][emoji23][emoji23] hii nayo ilikua inatisha. Siku hizi huwa naichek nabaki kucheka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahaa🤓🤓[emoji23][emoji23][emoji23] hii nayo ilikua inatisha. Siku hizi huwa naichek nabaki kucheka.
Sent using Jamii Forums mobile app
TrueHahaaaa nomer sanar
Weka zingine bas, natengeneza list ya movies zipi sina nikatafute.
🤣🤣🤣 yeah kama hiyo. Mimi naikumbuka ya zamani kuitazama ya nyonya damu ilikuwa 'From Dusk Till Dawn' usingelala wewe[emoji2][emoji2] Kama Wrong turn? Zile hadi leo hapana zinanishtua sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo nyingi sana 🤚😊😄🤓Weka zingine bas, natengeneza list ya movies zipi sina nikatafute.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Texas blood money? Kama ni hiyo niliona tu trailer nikala kona. Za hivyo zinanishtua nashindwa kuangalia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yeah kama hiyo. Mimi naikumbuka ya zamani kuitazama ya nyonya damu ilikuwa 'From Dusk Till Dawn' usingelala wewe
Yule kaka kule mashamban alikua na fulana nyeusi na surual nyeupe. Hii movie naitafuta hadi leo lkn wapi sijawah bahatika. Kuna sehemu wanaingia kama mapangoni kuna majitu kama mizimu hivi. Sijui ni hiyo au naifananisha?Na mimi hapa nahisi nitapa jibu.
Kuna movie siikumbuki jina maana ni kitambo sana.wameifanyia Nepal kwa mujibu wa Mkandara 'Lufufu' star anaitwa Jonathan Gaboth.
Jamaa wanashindana halafu bingwa atamuoa mtoto wa mfalme.
Kuna sehemu wanaingizwa kwenye shamba la muwa halafu wanachoma moto.watu walikufa kwa moto kinoma, halafu kuna kipande wanapanda kwenye juu ya ngema kwa kutumia kamba kumbe kamba zimepakwa petrol.
Kwa anaeikumbuka jina please.
🤣🤣🤣 ndo yenyewe sasa hiyo ni Pt. 2 yake[emoji23][emoji23][emoji23] Texas blood money? Kama ni hiyo niliona tu trailer nikala kona. Za hivyo zinanishtua nashindwa kuangalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] hizo za kuangalia wewe mimi hapana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo yenyewe sasa hiyo ni Pt. 2 yake
Ubandani walikuwa wanamuita Nyerere hizo nywele nyeupe mvi hahaaaa....so utasikia kubwa la maadui NyerereNimecheka kama mtoto.....
Kwenye hio muvi jamaa alikua anafuga MAMBA,
Mathias anataka kufanana na Putin
Kwny movie yake nyingine ya RAGE nilimkubali Sana Gary Daniels.Huyu jamaa nilimkubali kweny movie inaitwa "Cold Harvest" ni mkali hatari ile kakaake aliuliwa kwa ule mchezo wa kupewa risasi uweke kweny bastole ukiwahi unamshoot mwenzio
Huyu si alicheza Striker ?Duu unakumbukumbu balaa
Soudier Boys - Michae Dudikof au?Oyaa kuna movie jina nimesahau, mastering walikuwa wanne humo wanatumia pikipiki mwanzo mwisho kama ya mission flani hivi
Wrong turn za juzi juzi tu hapa[emoji2][emoji2] Kama Wrong turn? Zile hadi leo hapana zinanishtua sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes zile si za kitambo sana.Wrong turn za juzi juzi tu hapa