Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Tayari na chaja zao zinaingiliana na type C za Samsung.Na Iphone wanakuja na camera za Samsung, patamu hapo
Hivyo wamekuja na camera?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari na chaja zao zinaingiliana na type C za Samsung.Na Iphone wanakuja na camera za Samsung, patamu hapo
Boss wa Meta na mmiliki wa Facebook, Instagram, Thread na WhatsApp bwana Mark Zuckerberg amesema kampuni ya Apple haina ubunifu wowote kwa zaidi ya miaka 20 baada ya Steve Jobs kuvumbua Iphone.
Anasema sasa hata mauzo ya Iphone yanashuka sana na kufidia hasara ya kushuka mauzo ya Iphone, Apple wamejikita kwenye kukamua wateja wanaotumia huduma zao kwa mfano kukata kodi ya 30% kwa developers.
Mark anasema Apple walivumbua iPod, kitu kizuri sana ila wakakosea kuinyima Ipod uhuru wa kuunganishwa kwenye vitu vingine nje ya apple ecosystems.
Msikilize mwenyewe hapa.
View: https://x.com/tsarnick/status/1877856200349331521?s=19
Unataka kusema Apple na Mbowe ni pipa na mfuniko??Ni katika kukumbushana tu, kipindi apple inafanya ubunifu huo(20yrs ago) ndicho kipindi mbowe alikua anaanza uenyekiti
tusisahau yupo kwenye PR campaign kubwa sana hivi sasaNi mawazo yake, kuwa bilionea haimaanishi kama ushauri wake una maana sana au ana akili nyingi, Mark alibahatika tu kutengeneza website flani nzuri kwa lugha ya html na php ndipo ikawa facebook ... lakini tayari social media kama myspace zilikuwepo...
Meta ni mtoto mdogo kwa Apple...
Ila watu😂.Ni katika kukumbushana tu, kipindi apple inafanya ubunifu huo(20yrs ago) ndicho kipindi mbowe alikua anaanza uenyekiti
Kujaribu ku clear jina lake na kampuni zake baada ya kutuhumiwa kuzuia mijadala mbalimbali kwenye platforms zake.tusisahau yupo kwenye PR campaign kubwa sana hivi sasa
ndo maana anaongea ongea kwenye mapodcast
Hayo makopo sijawahi yaelewa,mi samsung, NokiaWanawabadilishia macho tu, hata kibongobongo haina uzito ule wa zamani, ishakua kawaida.
Ila zamani mtu awe na iphone aloo kwanza haitiwi mfukoni, ni kuishika tu akichoka anaichomeka mfuko wa mbele wa shati.
yeye kafanya innovation gani?Kujaribu ku clear jina lake na kampuni zake baada ya kutuhumiwa kuzuia mijadala mbalimbali kwenye platforms zake.
Trump aliwahi kumuita public enemy number 1 mwaka jana.
Sasa hivi Mark anamuangushia ziko la lawama Biden.
Hio haifikii hata Apple Vision Pro..yeye kafanya innovation gani?
metaverse?😆 zile VR headsets?😆
labda zile open source AI models zake kidogo
tech imekuwa matured sana hakuna mabadiliko makubwa yanayoshtukiza
Trust ya Western campany itaendelea kushuka maana wameioneka ni watu wa kufanya lolote kwa ajili ya israel eastern asia wameshaanza kuachana na product za usa baada ya ile issue walk talk za lebanon na pager kulipuka ... amna mtu kiongozi wa maana atakayetumia tech za western .. maana kampuni ipo tiari kutoa taarifa kwa majasusi ili kuilindi israel bila kiujua madhara yakeHio haifikii hata Apple Vision Pro..
Facebook ilikuwa ni website ya kienyeji ametengeneza dogo wa college, baadae akapata wawezeshaji ambao wakaajiri computer scientists na professional programmers ili kuboresha facebook.Kwani Facebook wamebuni / walibuni nini ?
Siku hizi ni macamera tu hakuna jambo jipya ambalo ni exciting.Na Iphone wanakuja na camera za Samsung, patamu hapo
Na meta wamefanya vitu kibao sana.Ni mawazo yake, kuwa bilionea haimaanishi kama ushauri wake una maana sana au ana akili nyingi, Mark alibahatika tu kutengeneza website flani nzuri kwa lugha ya html na php ndipo ikawa facebook ... lakini tayari social media kama myspace zilikuwepo...
Meta ni mtoto mdogo kwa Apple...
Vision pro imefail haiuziki na walionunua wamezirudisha wengi, na madevelopers weng ni kama wameipotezea kutengeneza apps.Ana point sema Apple sasa hivi si naye ni mpinzani wake kwenye AR/VR market lazima ampige spana.
Kabla ya Facebook kulikuwa na Myspace; Friendster; Second Life na nyingine nying tu; Whats App, Insta zote wamenunua....Facebook ilikuwa ni website ya kienyeji ametengeneza dogo wa college, baadae akapata wawezeshaji ambao wakaajiri computer scientists na professional programmers ili kuboresha facebook.
Baada ya kufungua soko la hisa na wawekezaji kuingia, ndipo dogo kama founder akawa billionare...