Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bando lako ndio malipo yake yapo humoMe mbona silipagi hata mia,,
Hzo kapotezaje ss
Mie nilihamia telegramTungehamia Imo,pinterest na mitandao mengine[emoji3][emoji3][emoji3]
Signal jana imeokota Watanzania wakutoshaMie nilihamia telegram
Ivi zile text zao za kuverify namba nazo zimekaaje mdau.....ule ujumbe ni wa google au hackersBora ya ww walilog out tu ikaisha, mm kuna jamaa tulikuwa tunachat nae fb kama rafk badae tukabadilishana no, e bwana we, ck moja nikatumia email notification kuwa someone else trying to login to ur google account. Nilipuuza nikajiaminisha hawezi kuingia coz nimeweka pin moja strong sanaaa[emoji23][emoji23], baada ya kwenye lisaa hivi wakat natumia sm ikawa inaenda ovyo tu, nikajua imejaa ngoja nifute baadhi ya vitu. Wakat naendelea kushangaa nikaona sm inaniletea phone is going deep fomatin[emoji16][emoji16] yani kama vile movie nikaona inajiweka okay! Eee bana simu ikazungukaaa mwishowe ikazima alafu ikajiwasha[emoji16][emoji16][emoji16], ikawa kama ilivotoka dukan kuanza kuifanyia setting. Nilivyomaliza nikaingia fb tena nikaona yule msenge amenitumia picha za screen shot ambazo alipiga kwenye simu yang pich zangu, video zilizokuwepo, majina yote alafu likaniblock!! Heee kichwa kilitaka kupasuka, nikaingia google faster kubadili password nikaiwekea na ulinzi mkubwa, nikaenda playstore nikadownload app ya kugundua haraka kama cm inataka kuhakiwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],. Nyieee awa mahacker ni moto[emoji16][emoji16], badae nikasema ngoja nione login history ya google akaunt yng nikakuta simu iliyo login muda akaunt inafutika ilikuwa Samsung Galaxy S10 wakati mimi natumia infinix hot 6 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], kuanzia hapo nilifuta akaunt ya fb kabisa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Alternative ya Facebook ni niniWapinzani wapo sema hawajawa na nguvu sana kama huyo mshindani wa Google ndio hajawa na nguvu ila Facebook wapo washindani wengi.
Nusu ya Budget yetu kwa mwaka dadeki...hapo ndo utajuta hujui..
Zile huwa zinakuja kama usalama umekuwa finyu nadhani, wanakuletea kama kuna mtu kajaribu kulogin email yako, so huleta text ili wajiridhishe google kama je ni wewe umetumia kifaa kingne kuingia kwenye akaunt yako au la? Na ndo mana huwa wanatumia email yako kuitumianamba kadhaa ili kama ni wewe uzitumie zile no kwenye kifaa kingne ambapo itatoa uhitaji wa hizo namba ili kusonga mbele. Nadhani ipo hivo mkuuIvi zile text zao za kuverify namba nazo zimekaaje mdau.....ule ujumbe ni wa google au hackers
Bitcoin hata sijui 🤔Bitcoin