Kama wew upo kijijini na hizi habari hazikupiti basi mpo wengi Sana humu kutoka huko kwenu 🤣🤣🤣🤣🤣Wao chadema wanatumia wapiga mitandao sie tunatumia wapiga kura..tuko vijijini,katani na tarafani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wew upo kijijini na hizi habari hazikupiti basi mpo wengi Sana humu kutoka huko kwenu 🤣🤣🤣🤣🤣Wao chadema wanatumia wapiga mitandao sie tunatumia wapiga kura..tuko vijijini,katani na tarafani.
Ndo mana nikasema huweza kuelewa maana ya hizo online polls kama hujaenda shule.Akili ndogo utawajua, je hao wanaopiga kura mitandaoni ndio waliojiandikisha?
Akili zitawakaa sawaNyota njema uonekana asubuhi...
Hizo Ni dalili tu za awali...
TL azidi kupiga spana Hadi wanyooshe mikono juu.
Mbutananga Mushii, mbuuuraa.Ndo mana nikasema huweza kuelewa maana ya hizo online polls kama hujaenda shule.
Watumia mitandao wengi si wapigakura wengi wao ni kula kulala na wabeba mabox huko Ulaya na Marekani. Na election poll nyingine hii hapa! Unaisemeaje na hii??Hao walioko FB, Twitter n.k ni waTZ na hayo ni maoni yao nani anafaa kuwa kiongozi wa nchi hii, hizo social media ni platform tu lakini pia sample zake zinaakisi nani endapo kura halisi zikiwa huru na haki ataweza shinda uchaguzi hapo oct 28.
Haya tumekubali wewe uliyeenda shule nyingine polls hii hapa chini.Ndo mana nikasema huweza kuelewa maana ya hizo online polls kama hujaenda shule.
Unajua watanzania wangapi wanamiliki smartphones leo hii?Je,wote wanaomiliki smart phone sio wapiga kura?Mimi ninaandika hapa nina kadi ya mpiga kura na tar 28 nitapiga kura!You are far from reality.
Wapiga kura hawako Twitter.
Go down villages and house by houses.
Meet visible people....
Sorry you are dealing on invisible character s
Ukitaka Ku view uhalisia wa hizo kura waambie kila mmoja aweke number ya kadi ya mpiga kura. Utashangaa kuona matokeo ni nini.
Mkuu unajua huyu wakuvuavua ni naibu Wa waziri kwenye hii awamu ya tano.Hizo ni opinion polls.... Ni kiashiria cha uelekeo wa wapiga kura.
Inaonekana shule hujaenda kabisa, hizo kura za mitandaoni ni samples za population nzima.
Najua uchungu wako ni kwa sababu CCM imeshindwa kwenye hizo kura
Kama kimeingia chochote kitu basi hakuna tatizo. View attachment 1574905
Wakudadavua aka chakubanga anakubaliana nayo. [emoji23][emoji23]Watumia mitandao wengi si wapigakura wengi wao ni kula kulala na wabeba mabox huko Ulaya na Marekani. Na election poll nyingine hii hapa! Unaisemeaje na hii??
View attachment 1575001
Nilichogundua tu ni kwamba, unamfuatilia /unampenda sana Tundu Lissu kuliko hata mumeo achilia mbali jiwe lenuNdugu zangu,
Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.
Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.
Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Mkuu unajua huyu wakuvuavua ni naibu Wa waziri kwenye hii awamu ya tano.
Ona hii mbugila nayo! Jiwe anasema uchaguzi huu ni mgumu hivo wana ccm mkapige kura, mfuata upepo na unachenza nje ya beat? Kazi mnayo mwaka huu.Lissu bwana akiona kwenye mitandaoni ya kijamii wanampa na kumtia moyo anadhani na huku uraiani hali iko hivyo
Kiufupi kachemsha sana,hakuna uchaguzi utakuwa rahisi kwa CCM kama uchaguzi wa mwaka 2020.
Wakati akiwa chadema alikuwa kichwa sana,alivyounga juhudi tu Keisha.Kama Ni kweli... Ni hasara kwa taifa.
Hahahahahaha dah yani umejibu kinyonge sana na unaonyesha umechoka sana, pole mkuu ndiyo siasa zilivyo kwani kuna kushinda na kushindwa, sasa kama jiwe hakubaliki na wananchi walio wengi siyo kosa lako ni kosa lake lakini wewe umetimiza jukumu lako la kumtetea japo imeshindikana.Huu ndio upuuzi unaowagharimu chadema wanajifanya wamarekani zaidi wakati hawana lolote