Uchaguzi 2020 Mark Zuckerberg ndiye atakayemwapisha Tundu Lissu?

Uchaguzi 2020 Mark Zuckerberg ndiye atakayemwapisha Tundu Lissu?

Ndugu zangu,

Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.

Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.

Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Tulia wewe kama hazina nguvu wala uhalisia usingepoteza muda wako kutengeneza hii mada
IMG-20200920-WA0088.jpg
 
ax
Ndugu zangu,

Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.

Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.

Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
acha ujinga
 
Akili ndogo utawajua, je hao wanaopiga kura mitandaoni ndio waliojiandikisha?
waache tu mkuu halafu kaa zako kimya,wao si wanadhani

kura zinapigwa kwenye smartphone siku hizi na kwenye social net

wanachofanya ni kujitekenya na kucheka ila mbivu zote zipo Oct,wata enjoy.
 
Ndugu zangu,

Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.

Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.

Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?

Jiwe anatamani TV zote zifungwe, mitandao yote ya kijamii ifungwe, simu za smart zote zifungwe, aafu aamrishe wote tuangalie na kusikiliza TBC
 
Jikite kwenye hoja kamanda acha kuweweseka
Jiwe anatamani TV zote zifungwe, mitandao yote ya kijamii ifungwe, simu za smart zote zifungwe, aafu aamrishe wote tuangalie na kusikiliza TBC
 
Ndugu zangu,

Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.

Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.

Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Jf slowly inapoteza great thinkers. ..
 
Ndugu zangu,

Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.

Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.

Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Mkuu una akili ya mtoto wa darasa la pili.
Zukerberg atamuapisha Tundu Lissu kwa katiba ipi inayomtambua?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyumbu bn .!
Not the first time, nor will this be the last time that incumbent ccm candidate Magufuli in Tanzania clearly states that he will not allow development funds to be provided to constituencies where they elect opposition members of Parliament.

#ChangeTanzania
 
Not the first time, nor will this be the last time that incumbent ccm candidate Magufuli in Tanzania clearly states that he will not allow development funds to be provided to constituencies where they elect opposition members of Parliament.

#ChangeTanzania
He is right, and the reason behind is that, the opposition members of parliament, are always there to go against with whatever brought by the ruling party to be discussed, they never care if it's of benefits to the citizens or not. Therefore hindering development in both aspects.

I stand with my president.
 
Hizo ni opinion polls.... Ni kiashiria cha uelekeo wa wapiga kura.

Inaonekana shule hujaenda kabisa, hizo kura za mitandaoni ni samples za population nzima.

Najua uchungu wako ni kwa sababu CCM imeshindwa kwenye hizo kura
Hao watoto wa Facebook hata kadi za kupigia kura hawana
 
Back
Top Bottom