Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Una mawazo ya kijima sana mzee.Ndugu zangu,
Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.
Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.
Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Mkuu hao waliopiga kura mtandaoni kwani hawaishi duniani/Tanzania? Je wajua kuwa hiyo ni sampo ya population?Lissu bwana akiona kwenye mitandaoni ya kijamii wanampa na kumtia moyo anadhani na huku uraiani hali iko hivyo
Kiufupi kachemsha sana,hakuna uchaguzi utakuwa rahisi kwa CCM kama uchaguzi wa mwaka 2020.
Mkuu so una maana ccm haina wapiga kura ambao wanatumia mitandao? Hiyo ni sampo tu, kwanini Mataga mnakuwa wagumu kuelewa?You are far from reality.
Wapiga kura hawako Twitter.
Go down villages and house by houses.
Meet visible people....
Sorry you are dealing on invisible character s
Ukitaka Ku view uhalisia wa hizo kura waambie kila mmoja aweke number ya kadi ya mpiga kura. Utashangaa kuona matokeo ni nini.
Amakweli twaweza walikuwa sahihi, so una maana wafuasi wa ccm ni wale wasiyo na access na mitandao wala network au wenye akili kama zako?Hihihihiii Lisu atapigwa bonge moja la mtama tar 28 oktoba. Kwani unajua ni idadi gani ya watanzania wako mtandaoni? Unajua ni idadi gani wana acess ya network? Usinipe jibu subiria makofi tar 28 oktoba. Hahahahhaa
Na mara baada ya kuapishwa ataanzisha serikali yake ya majimbo ya Facebook, Twitter na Instagram. Ahahahahahah!Ndugu zangu,
Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.
Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.
Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Kama mlikua mnahisi kura hazitakua huru na haki, kwa nini mmeshiriki kwenye kampeni hizi kuelekea kwenye uchaguzi oct 28?Hao walioko FB, Twitter n.k ni waTZ na hayo ni maoni yao nani anafaa kuwa kiongozi wa nchi hii, hizo social media ni platform tu lakini pia sample zake zinaakisi nani endapo kura halisi zikiwa huru na haki ataweza shinda uchaguzi hapo oct 28.
Hao walioko FB, Twitter n.k ni waTZ na hayo ni maoni yao nani anafaa kuwa kiongozi wa nchi hii, hizo social media ni platform tu lakini pia sample zake zinaakisi nani endapo kura halisi zikiwa huru na haki ataweza shinda uchaguzi hapo oct 28.
CCM mnaweweseka sana... Badala mjikite kutangaza sera na ilani ya chama mmebakia kuangalia Chadema wanafanya Nini...
Kwani jiwe ataapishwa na Ayubu Ryobaa
Maana jiwe njee ya TBC hana ushawishi
Hizo ni opinion polls.... Ni kiashiria cha uelekeo wa wapiga kura.
Inaonekana shule hujaenda kabisa, hizo kura za mitandaoni ni samples za population nzima.
Najua uchungu wako ni kwa sababu CCM imeshindwa kwenye hizo kura
Mkuu unajua huyu wakuvuavua ni naibu Wa waziri kwenye hii awamu ya tano.
Nimeipenda hii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama kimeingia chochote kitu basi hakuna tatizo. View attachment 1574905
Rudi bongo umpigie kuraMiaka yote CCM haina wagombea wenye ushawishi Kwa wapiga kura inategemea NGUVU ya vyombo vya DOLA hata sasa magufuli hana ushawishi wowote Kwa wapiga kura zaidi anategemea huruma ya vyombo vya DOLA ,Tundu lissu anapeta kila kona katika uchaguzi Wa mwaka huu 2020 #NIYEYE
Af wasichokijua wengi humu hawapo bongoYou are far from reality.
Wapiga kura hawako Twitter.
Go down villages and house by houses.
Meet visible people....
Sorry you are dealing on invisible character s
Ukitaka Ku view uhalisia wa hizo kura waambie kila mmoja aweke number ya kadi ya mpiga kura. Utashangaa kuona matokeo ni nini.
Huyo Facebook,tweet etc ccm hawaruhusiwi kupiga kura au hamna bundle?Ndugu zangu,
Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.
Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.
Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Miaka yote CCM haina wagombea wenye ushawishi Kwa wapiga kura inategemea NGUVU ya vyombo vya DOLA hata sasa magufuli hana ushawishi wowote Kwa wapiga kura zaidi anategemea huruma ya vyombo vya DOLA ,Tundu lissu anapeta kila kona katika uchaguzi Wa mwaka huu 2020 #NIYEYE