atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Kwahiyo ww ulikuwa unamfuatilia maisha yake?,watz bado tuna safari ndefu aiseeeKwani hela inaota kama mchicha boi? Ndo kaanza zamani kuzisaka hadi leo hii kafika hapo we kwa sababu ulikuwa humfuatilii tangu zamani au?
Jf never bored hahahajajajUyo dogo ukimchunguza sana utajuta ni yatima
Kafara imefanya kazi
ndiohuyo jamaa ni Ngabu?.
Ukiongelea kijana mwenye magari makali bongo wengi watakuambia Diamond ila wachache sana hawajui mondi hayupo hata kwenye top 100 ya vijana wakali wa town kwa mandinga makali.
Huyu hapa ni kijana Marley dollars ukiacha jumba lake la maana ana miliki ndinga za maana sana mjini. View attachment 738210View attachment 738211View attachment 738212View attachment 738213View attachment 738214View attachment 738215View attachment 738216View attachment 738217View attachment 738218View attachment 738219View attachment 738220View attachment 738221View attachment 738223
Wee sio mzima eti kishamba! Ulitaka aweje kweli masikini mnashida.Jamaaa kakaa kishamba sana lakn uzuri wa pesa hautazami hizo mambo
[emoji38][emoji38]Km Jina Langu
[emoji1] [emoji1]Bavicha bwana..
Kila jambo wao wanaponda tuu.
Basi hayo magari ni ya mbunge wa Ars mjini
Mwaka 2022 i promise mtaweka picha yangu na mtanidiscus ksma huyo, kumbukeni jina langu naitwa Kanyela mumo.
Sawa. Mimi nimekaa hivi hivikaa hivyo hivyo.....!!
humjui ndo maana unaongea ivoNa picha tu don’t mean shit!
Wengi tu wanaweza kupiga picha na magari.
Kupiga picha na magari haimaanishi ndo unayamiliki.
Heck, hata kuendesha tu gari haimaanishi ndo unalimiliki.
kweli mzee baba, huyu jamaa sio mshamba, ni mjanja flani, sio wale akina mariooUmekaririshwa na bongo muvi kuwa kijana mwenye pesa lazima awe na muonekano wa kina ray kigosi na yule msomali? Mabrazameni wanajua wapi kusaka hela? Wagumu na watemi ndo wenye hela katika maisha ya kwelikweli. Huyo anaenda msumbiji maporini huko kusaka madini bitozi anaweza hayo?