1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
ndiyo mzee babaUtoke kijiweni uwe na ofisi ya kununua madini kirahisirahisi tu? Acha ndoto. Kwanza mwenzio kachakarika ana ofisi yake mjini ya madini. Madini yake hauzi bongo anauza hongkong. Kachakarike kwanza upigike uko chini ukibahatika utafikia lengo la kukaa ofisini.
aya mkuuWe wanawake unawajua vizur ww, usikute demu wa mshikaji anatamani maliza davido, ama mtoto wa bakhresa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama unasaka pesa saka kwa nguv zote kwa ajili ya familia yako hasa mama mzazi, na wanao, usisake pesa ili umkamate mwanamke utajiongopea, nafs ya wanadamu kuridhika ni mtihani kidogo.
dah, kweli mkuuHapo Congo kuna hela wakuu, ukienda Msumbiji kule porini kuna hela, wakati mpo jf mnakimbizana na utawala wa awamu ya 5, wajinga wapo porini wanafanya yao...
tumuuombee azidi kuzichangaKiasi watanzania tusiende mbele kimaendeleo,bila hata watu kumjua huyu dogo tayari wameshaijua kazi anayofanya,tayari wameshampa jina la muuza unga,...kesho kutwa polisi watakwenda nyumbani kwake kumpekua kama hawajamuona na kitu watamuwekea kidhibiti,ndio maisha ya Dogo yatakuwa yamemalizia hapo,,,,juhudi zake zote za kupambana ndio zitakuwa zimemalizika na kusahaulika..!!
Kwanini Watanzania tuko hivi,kuanzia Raisi wetu mpaka mtanzania wa maisha ya chini kabisa mawazo yetu yanafanana,tuko na chuki,wivu,choyo,uhasidi..!!
kwanini hatumuombei tu huyu Dogo azidi kufanikiwa,tujiombee na sisi vile vile tufanikiwe ili tusonge mbele katika masiha yetu ya kawaida pamoja na tunaowapenda zikiwemo na familia zetu
chunguzaMBONA RABA ZA KISHAMBA HIVYO MIKUFU KAMA ENLGISH GOLD, HAPANA SUBIRI NIZIANGALIE HIZO NAMBA KAMA KWELI ZIMESAJILIWA AFRIKA KUSINI NA TANZANIA ISIWE NI PHOTOSHOP IMETENGENEZA NAMBA HALAFU INASETIWA MAANA RABA NI ZILE ZA SH 3000 HOW AZIVAE KWANINI
eeeeehHuyu ni mtanzania kapigia mawe yake msumbiji pesa ya ruby,ni mshkaji poa sana kapiga pesa ndefu sana dolar laki laki hizi kama mchezo tuuu
mkuu wivu huoAtakuwa Kapiga Picha Kwenye Mali Za Watu Maana Watanzania Wakishaenda South Africa Chakwanza Nikuuza Sura Kwenye Mali Za Watu Then Unasema Zako Kama Hamuamini Nisemacho Ngoja Afe Ndo Mtajua Kama Vionekanavyo Hapo Juu Vyake
acha maswali ya kitotoSasa magari yote hayo anaendesha saa ngapi?
leo nokia naona umepga balimi,, chunguza vzuriMbona hayo magari sio ya Tanzania au nmeangalia vby hizo plate no
amka kijana, we una banda hata la njiwABadala ajenge viwanda yeye kajaza magari nyumbani!akifa na magari yanakufa
ha ha ha yaani jf hatari sanaKm Jina Langu
Kuna mshkaji flani nae alikuwa anapiga ishu ya madini ya rubby, jamaa alikuwa ana nyumba kali anamagari makali ila aliendekeza kwa mademu akauza nyumba na magari sasa hivi ukimwona huwezi kuaminidah, kweli mkuu
Acha uongo,mi si miongoni mwa makabila uliyotaja. Karibu Catandica mgodi umefumuka tena.Msumbiji hakuna muuza madin wa hivyi kutoka tanzania wauza madin wa musumbiji wote nawajua na ni wasukuma, wanyakusa na mpale mmoja
Buraza wewe umejuaje sio mtu wa milupo,maisha ni kutafuta mpka upate...wauza ruby ya msumbiji wanahela mana thamani ya hilo jiwe ni ghali sana grm 4 au 3 unaweza kupata 250,000$$ au zaidi.huyu jama nimetembelea profile yake instagram, anaonekana ni kijana aliyejitafutia mali zake kawa jasho lake,, mchakalikaji,,, wala sio muuza unga,,
aiseee yuko mbali sana ametuacha sanaaaa,,,
sio mtu wa kupenda chini,,
alafu alishaoa kitambo tuu,,,
anajielewa,
Post ya kimasikini kabisa hiiUnaumri gani? Sijakaririshwa natambua... Mwenye PESA anakaa officen haendi porini kijana... Anakuwa na vijana wake kila sector na section..
huyu jama nimetembelea profile yake instagram, anaonekana ni kijana aliyejitafutia mali zake kawa jasho lake,, mchakalikaji,,, wala sio muuza unga,,
aiseee yuko mbali sana ametuacha sanaaaa,,,
sio mtu wa kupenda chini,,
alafu alishaoa kitambo tuu,,,
anajielewa,
Kuna mshkaji flani nae alikuwa anapiga ishu ya madini ya rubby, jamaa alikuwa ana nyumba kali anamagari makali ila aliendekeza kwa mademu akauza nyumba na magari sasa hivi ukimwona huwezi kuamini