Martin Kadinda na mkewe, mashallah

Martin Kadinda na mkewe, mashallah





Jamani tuache utani. Mbona inasemekana haka kajamaa si ridhiki? Yeye hupenda kutongoza mademu ila akifika kitandani hulala mzungu wa nne mpaka asubuhi. Akienda mtaani anajisifia kwa washikaji. Vijana wa fleva bwana. Sasa huyu demu wake kamuhonga ili akubali kujiita mke au?
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Huyo kadinda ndio nani labda au kuna ugonjwa mpya umeingia sikuizi unaitwa kadinda?
 
Si alisema hapendi kumuanika m sweet wake kutokana na future ya kazi yake??? ( sijui anataka kufanya kazi ikulu!!)
Eti hapendi mambo ya media..vipi tena?
Khaa na wew ni mbea sijapata kuona aisee bila shaka wew utakuwa ni mpare wa huku usangi yaani ungekuwa mke wangu ningekukata huo mdomo na kiwembe haki yanani
 
Khaa na wew ni mbea sijapata kuona aisee bila shaka wew utakuwa ni mpare wa huku usangi yaani ungekuwa mke wangu ningekukata huo mdomo na kiwembe haki yanani
Pole sana,na ujinga wako huu unawezaje kumpata Nifah hadi awe mkeo?
Babe ake mimi ananielewa,ananipenda hivyohivyo na umbea wangu.
Guess what....habari nyingi hunipa yeye.
Kalagabaho
 
Huyo kadinda ndio nani labda au kuna ugonjwa mpya umeingia sikuizi unaitwa kadinda?
ndiyo mdau kuna gonjwa kubwa limeibuka linaitwa kadindisha kadinda yani ni baraa
 
Back
Top Bottom