First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
Mkewe hana photokopi mashine
Habari yako lakini
siku nyingine ajitahidi walau kuweka hata nega.. sijambo buana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkewe hana photokopi mashine
Habari yako lakini
Halaf huyu eti kanunua BMW kumpa zawadi wema, maisha yenyewe hayoo thubutuuuuu
........
ahahahahaha we sinza unataka sebule kama uko mbezi beachDah!kasebule kadogo,ka~meza kamewabana mpaka kwenye miguu
Mmeshaanzambona mtoto hafanani na yy?
Mi navoona anafanana na weweMtoto ni geresha tu.....
hajafanana kbs na baba
Khaa na wew ni mbea sijapata kuona aisee bila shaka wew utakuwa ni mpare wa huku usangi yaani ungekuwa mke wangu ningekukata huo mdomo na kiwembe haki yananiSi alisema hapendi kumuanika m sweet wake kutokana na future ya kazi yake??? ( sijui anataka kufanya kazi ikulu!!)
Eti hapendi mambo ya media..vipi tena?
Pole sana,na ujinga wako huu unawezaje kumpata Nifah hadi awe mkeo?Khaa na wew ni mbea sijapata kuona aisee bila shaka wew utakuwa ni mpare wa huku usangi yaani ungekuwa mke wangu ningekukata huo mdomo na kiwembe haki yanani
ndiyo mdau kuna gonjwa kubwa limeibuka linaitwa kadindisha kadinda yani ni baraaHuyo kadinda ndio nani labda au kuna ugonjwa mpya umeingia sikuizi unaitwa kadinda?