MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Kamati kuu unakutana na sampuli za kina Lema, kuna nini hapo!!?Hapo Chadema mwenye Vyeti ni Tundu Antipas Lisu, CPA Ruge na John Heche mliobaki wote ni Vyeti Feki 🐼🔥
Kama unabisha nitajie Vyeti vya wajumbe wa Kamati Kuu
Hakuna jema alifanya kwa faida ya nchi. Yeye ndiye mwanzo wa zao la watu kama Bashite na SaambayaYes tunaujuaji mwingi sometimes, Lakini kwa namna suala la Covid 19 alivyolisimamia JPM,angeamua vinginevyo hali ungekuwa mbaya sana hasa mji kama DSM ambapo asilimia kubwa Baba akitoka, familia nyumbani ndiyo wanapata chakula.Tuwe wakweli kuna mazuri mengi na mapungufu hayawezi kuepukika,leo Bureau de change zipo kila kona,ila ukienda hata dollar mia hupati,ukiuza wananunua,ila wao wanaenda kuuza Black market,leo Kkoo bila 2850 hupati.Jpm alipozifunga, dollars hadi elf 20 Bank walikuwa wanatoa......... Yes kwenye kuziondoa inawezekana haukuwa utaratibu mzuri ila uwepo wake ni kaa la moto,kila siku zinaota kama uyoga,ila wanaficha kwaajili ya black market............. JPM alifanya mazuri pia,tusiwe negative tu kila Uzi.
Kuna yule alizaa na mdogo wa mke wake sema Mungu alishamuondoa kwa maslahi ya Taifa letuKama MMM hajakana haya
1. Kumpa ujauzito binamu yake
2. Kuingiziwa hela ya Uchawa kwenye akaunti
Basi hana Moral authority kukemea chochote ni wale wale wanaotumia fursa za kujifanya wanaharakati kumbe wanatafuta chakula tu.
Ni sawa na yule ambaye alikuwa na kesi Zenji
Mkuu unaweza tofautisha vp akili zako na za Jiwe? Je wewe ni bora kuliko yeye au yeye ni bora kuliko wewe ama la hasha akili zenu ni sawa?nakumbuka shule kuna watu walikua wanajua anandika essay kurasa mbili tu halafu anakimbiza kwenye matokeo huyu mjomba ameandika uzi mrefu najua ndani kutakua na pumba tu, na mahaba huu lazima uzi wa mapenzi, au chuki, mliosoma mnikosoe? jpm alikua jembe wewe haijalishi alimuumiza nani.
Ila wajinga ni wengi sana nchi hii. Pole sana mnyongeMnapenda maisha ya kimama sana, natamani sana tupate Rais atakae mzidi JPM kwa kila kitu ulichoorodhesha kwenye bandiko lako hii nchi ndio itakomboka vinginevyo tutabaki kifala hvhv
Dikteta lazima asemwe milele na milele ili isijetokea makosa kama hayo tenaMagufuri alishaondoka huyu mama kwenye uchaguzi hatofanya tofauti na Mtangulizi wake badala ya kushughulika naye kabla ya uchaguzi mnaangaika na marehemu
Sukari ilifika mpaka elfu 5 kwa kilo kama wakumbuka baada ya akili yake kumtuma kupambana na Wafanyabiashara. Hope unakumbuka au labda umejizima data. Tafuta pesa acha kujisifia unyonge mkuu, ukiwa na pesa hata sukari ifike elfu 10 kwa kilo wala hautosumbuka, kuwa mnyonge sasa hata ikiwa 100 kwa kilo lazima upige kelele.Enzi hizo sukari ulikua unanunua shilingi ngapi kwa kilo??
Asante sana muuliwaji , Ujinga wa nchi hii upo kwa watu kama ww yan hlo halipingwi, watu mnawaza mitumbo yenu tu wapuuz wakubwa mnajficha kwenye kivuli cha democracy 😁Ila wajinga ni wengi sana nchi hii. Pole sana mnyonge
jiwe alijenga masoko nchi nzima jiwe alijenga hospitali za mikoa nchi nzima jiwe alifukuza watu waliochongesha vyeti jiwe amejenga sgr jiwe kajenga bwawa la umeme la kihistoria, jiwe kajenga stendi nzuri za mabasi nchi nzima mimi kama mtanzania mawazo yangu binafsi jiwe angekuepo ningemruhusu ajilimbikizie mali anazotaka kama gadafi, wakati wa jiwe nilienda hospitali nilihudumiwa kama niko uk, jiwe amelala nimeenda tena hospitali nimehudumiwa kama niko somalia, jiwe ni jiwe. jiwe namfananisha na putin mwanaume lazima uwe na misimamo.Mkuu unaweza tofautisha vp akili zako na za Jiwe? Je wewe ni bora kuliko yeye au yeye ni bora kuliko wewe ama la hasha akili zenu ni sawa?
Mwana FA na Babu TaleKamati kuu unakutana na sampuli za kina Lema, kuna nini hapo!!?
Acha uongojiwe alijenga masoko nchi nzima jiwe alijenga hospitali za mikoa nchi nzima jiwe alifukuza watu waliochongesha vyeti jiwe amejenga sgr jiwe kajenga bwawa la umeme la kihistoria, jiwe kajenga stendi nzuri za mabasi nchi nzima mimi kama mtanzania mawazo yangu binafsi jiwe angekuepo ningemruhusu ajilimbikizie mali anazotaka kama gadafi, wakati wa jiwe nilienda hospitali nilihudumiwa kama niko uk, jiwe amelala nimeenda tena hospitali nimehudumiwa kama niko somalia, jiwe ni jiwe. jiwe namfananisha na putin mwanaume lazima uwe na misimamo.
Demokrasia na maridhiano vimefanya sukari iwe shilingi ngapi? Namudu maisha yangu sijisifii unyonge ila ninafahamu kuna wanyonge wana haki pia ya kupata nafuu ya maisha, kuwa daraja la kati kimaisha kusikufanye usahau walio chini yakoSukari ilifika mpaka elfu 5 kwa kilo kama wakumbuka baada ya akili yake kumtuma kupambana na Wafanyabiashara. Hope unakumbuka au labda umejizima data. Tafuta pesa acha kujisifia unyonge mkuu, ukiwa na pesa hata sukari ifike elfu 10 kwa kilo wala hautosumbuka, kuwa mnyonge sasa hata ikiwa 100 kwa kilo lazima upige kelele.
0 x 10 = 0, garbage in, garbage outMwana FA na Babu Tale
Kufilia mbali. Jamaa ameshakufa hata usemeje hakusikii😎Hata siku nikifa hakuna shida maana sijamtesa mtu yoyote wala kumfanyia uovu kama yule Nduli
nimesahau jiwe aliwanyosha chadema, na chadema wanavofanya siasa za kutafuta huruma za watz, kipigo mahakamani kipigo serikalini kipigo mtaani, chadema hawana plan b wao wanavutwa masikio wanalia kama watoto hawanaga plan b, ndio maana nimeachana nao depression tu, kwanza demokrasia ni ushetani kamili ilikoanzia huko wanayofanya ni ubatili mtupu, namtaka makonda aje kua raisi wa nchi hii awanyoshe tena chadema muendelee kulia lia.Acha uongo
Baada ya hayo yote umaskini wako Umeisha?nimesahau jiwe aliwanyosha chadema, na chadema wanavofanya siasa za kutafuta huruma za watz, kipigo mahakamani kipigo serikalini kipigo mtaani, chadema hawana plan b wao wanavutwa masikio wanalia kama watoto hawanaga plan b, ndio maana nimeachana nao depression tu, kwanza demokrasia ni ushetani kamili ilikoanzia huko wanayofanya ni ubatili mtupu, namtaka makonda aje kua raisi wa nchi hii awanyoshe tena chadema muendelee kulia lia.