Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Una ufinyu wa akili wewe! Huyo msaliti Ayatollah Zitto aliyefukuzwa Chadema kwa kuchukua mikakati ya chama uchaguzi wa 2010 na kuipeleka ccm unaweza kumuita mpinzani?
Huyo aliyekuwa busy kuongea na Rostam miezi michache kabla ya uchaguzi wa 2010 akitoa siri za mipango ya chama kisha alipoulizwa namba yake ya simu ilikuwa inaongea na namba ya Rostam walikuwa wanaongea nini? Akabaki kung’ang’ania macho!?
Akaulizwa hii ni namba yako au si namba yako? Jibu lake ni namba yangu lakini sijaitumia miezi mingi sana. Swali sasa hiyo simu umempa mtu mwingine? Hapana. Je, imejipiga yenyewe kwenda kwa Rostam? Hapana. Sasa mlikuwa mnaongea na Rostam kitu gani miezi miwili kabla ya uchaguzi!!!?
KIMYAAAAAA! Usiandike ujinga wako humu kuhusu ACT Wazalendo AKA ACT Wasaliti.
Chadema ni Chama cha wajinga
 
Narudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Mda si mrefu wataanza tenguliwa tena
 
Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.

Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.

Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.

Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.

Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Kumwelewa Mtanzania anachotaka yataka moyo hasa.
Na ukitaka kuchanganyikiwa fuata ushauri wa mwanachi wa Tanzania lazma ubaki dilema
 
Anazidi kuharibu tu kwani hizo nafasi MATAGA ndio walikuwa wanazitaka hivyo anazidi kuharibu pande zote.

Anatakiwa aachane na mambo ya kijinga aliyoyaasisi Mwendazake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilisema toka mwanzo kwamba hakuna uteuzi wa moto kwa mibavicha kama huu wa ma dc!
 
Kupinga ni kazi ya upinzani, CCM ni ile ile, bado wimbi la kuunga juhudi mkono halijarudi
 
Maza yuko vizuri tatizo analemewa na kelele ndani ya ccm...ishu ya sabaya imeleta mgawanyiko mkubwa sana.. Kwakuwa ilionekana ni ushindi kwa CHADEMA na mwenyekiti...! Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtanyooka tu!

Ujinga ni pale mnataka mama afanye kazi kwa kufuata mawazo ya machadema!

Tukiwambia mfumo alioutumia Magu kuongoza nchi ndio huo huo aliutaumia JK, MKAPA na sasa Samia nyie mnakuja hoo Samia siyo Mwenda zake!

Inavyoonekana machadema baada ya kifo cha Magu yanaona sasa matatizo yao yameisha, yani ni kama vile matatzo ya chadema alikuwa Magu.


Uteuzi huu wa makada toka chadema umewauma sana machadema toka ubelgiji hadi ufipa!

Kwa taarifa yenu tu! Mama yuko chini ya ccm na kamwe msitegemee atafanya jambo kuwafurahisha chadema, hata Sabaya alipokamatwa ni kwa Maslahi ya ccm, na kama unabisha huoni uungaji mkono aliopata mama toka hata kwa machadema? Na ukiunga mkono mama jua umeunga mkono ccm[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya hovyo ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.

Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.

Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Kwaiyo katika hizi siku mia hana zuri hata moja alilofanya lenye uzito aswa? Ila sisi wanafiki sana,
Ngojea ije kutoka hukumu Ya Mdude Nyagali , tutaanza hapa kumsifia mama kuwa yupo vizuri kuliko dikteta, maana mdude anaenda kuachiwa huru Hana hatia,
Basi baada ya mama aje Ndugai
 
Maza yuko vizuri tatizo analemewa na kelele ndani ya ccm. Ishu ya sabaya imeleta mgawanyiko mkubwa sana. Kwakuwa ilionekana ni ushindi kwa CHADEMA na mwenyekiti. Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
Yes mkuu we una akili sana, humu watu wamebakia kulaumu kila analofanya Mama, mama anajaribu kuwafurahisha na Hawa yatima wa dikteta kwa asilimia ndogo, ila asilimia kubwa anataka aongoze Nchi kwa haki na kufuata misingi ya utu na sheria za nchi.
 
Back
Top Bottom