Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #101
Hata Magu maneno yalikuwa haya haya, ila leo yuko wapi?Haa
Haa haa utasubiri Sana,mama mpaka 2030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Magu maneno yalikuwa haya haya, ila leo yuko wapi?Haa
Haa haa utasubiri Sana,mama mpaka 2030
Chadema ni Chama cha wajingaUna ufinyu wa akili wewe! Huyo msaliti Ayatollah Zitto aliyefukuzwa Chadema kwa kuchukua mikakati ya chama uchaguzi wa 2010 na kuipeleka ccm unaweza kumuita mpinzani?
Huyo aliyekuwa busy kuongea na Rostam miezi michache kabla ya uchaguzi wa 2010 akitoa siri za mipango ya chama kisha alipoulizwa namba yake ya simu ilikuwa inaongea na namba ya Rostam walikuwa wanaongea nini? Akabaki kung’ang’ania macho!?
Akaulizwa hii ni namba yako au si namba yako? Jibu lake ni namba yangu lakini sijaitumia miezi mingi sana. Swali sasa hiyo simu umempa mtu mwingine? Hapana. Je, imejipiga yenyewe kwenda kwa Rostam? Hapana. Sasa mlikuwa mnaongea na Rostam kitu gani miezi miwili kabla ya uchaguzi!!!?
KIMYAAAAAA! Usiandike ujinga wako humu kuhusu ACT Wazalendo AKA ACT Wasaliti.
mpaka2035Haa
Haa haa utasubiri Sana,mama mpaka 2030
Uhuru ni haki acha upumbavu, uhuru ulipatikana 1961 hivyo uzumbukuku wako huo wa eti wamepewa uhuru na rais inaonyesha ni kiasi usivyo na akili.
Mda si mrefu wataanza tenguliwa tenaNarudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Kumwelewa Mtanzania anachotaka yataka moyo hasa.Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.
Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.
Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.
Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.
Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Haters mtakufa na miiba mioyoni mwenuHivi ndivyo watu walivyochambua na kupinga uteuzi wa Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya.
View attachment 1825048
View attachment 1825050
Na mtatia akili. Hii ndiyo CCM gwiji la siasa AfricaAnazidi kuharibu tu kwani hizo nafasi MATAGA ndio walikuwa wanazitaka hivyo anazidi kuharibu pande zote.
Anatakiwa aachane na mambo ya kijinga aliyoyaasisi Mwendazake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilisema toka mwanzo kwamba hakuna uteuzi wa moto kwa mibavicha kama huu wa ma dc!Anazidi kuharibu tu kwani hizo nafasi MATAGA ndio walikuwa wanazitaka hivyo anazidi kuharibu pande zote.
Anatakiwa aachane na mambo ya kijinga aliyoyaasisi Mwendazake.
Ajabu kwa kweli. Kila ajae hafaiHivi Watanzania tunataka nini!? Tunamtaka Nani? Tunamtaka Aweje!?
imeandikwa eti ni ibada ya shukuraniKama bunge limewashikilia wakina mama 19 wasio na chama, wanaoitwa wabunge wa upinzani bungeni. Mbona hili la Nasari ni cha mtoto.
Hii ndiyo Tanzania.
watu "wanajiongelesha" ili waonekane, ikiwezekana wateuliwe. Ndiposa "...kila ajaye hafai..." kama ulivyosema.Ajabu kwa kweli. Kila ajae hafai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtanyooka tu!Maza yuko vizuri tatizo analemewa na kelele ndani ya ccm...ishu ya sabaya imeleta mgawanyiko mkubwa sana.. Kwakuwa ilionekana ni ushindi kwa CHADEMA na mwenyekiti...! Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
Na uhuru si favour bali ni haki, sina uhakika kama una akili za kulifahamu hilo.mwendazake alilalamikiwa kuminya uhuru, ilikuwa 1954 huko nakumbuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani akili zenu zimejikita kuona mama anawakomesha mataga!Kawapoza kidogo am sure atakuja kuwa suprise! Kuna mafaili yako mezani tayari , ni timing tu ya lianze la nani
Kwaiyo katika hizi siku mia hana zuri hata moja alilofanya lenye uzito aswa? Ila sisi wanafiki sana,Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya hovyo ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.
Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.
Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Yes mkuu we una akili sana, humu watu wamebakia kulaumu kila analofanya Mama, mama anajaribu kuwafurahisha na Hawa yatima wa dikteta kwa asilimia ndogo, ila asilimia kubwa anataka aongoze Nchi kwa haki na kufuata misingi ya utu na sheria za nchi.Maza yuko vizuri tatizo analemewa na kelele ndani ya ccm. Ishu ya sabaya imeleta mgawanyiko mkubwa sana. Kwakuwa ilionekana ni ushindi kwa CHADEMA na mwenyekiti. Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga