Sana Sana ndiyo kachochea moto. MATAGA wafia chama wanaona kama wamezaraulika Sana. Wana-left magroup yao hatari.Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana Sana ndiyo kachochea moto. MATAGA wafia chama wanaona kama wamezaraulika Sana. Wana-left magroup yao hatari.Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
Nyie ni wapumbavu ndio maana Jpm hakutaka kusikiliza kelele zenu kabisa!Hii nchi ni kituko cha karne. Mtu alitelekeza jimbo na bunge eti leo ametosha kuhudumia wilaya
Kiukweli watanzania haijulikani wanataka nini , maana kila Rais kwao ni hafai, sijui aje malaika mdogo bwana Ndugai kuongoza, maana Malaika mkuu alitukomesha akaendazakeWw kila nyakati ni kulia lia
Wajiue kabisa au wahame Nchi, kwani hao kina Nasari sio WatanzaniaSana Sana ndiyo kachochea moto. MATAGA wafia chama wanaona kama wamezaraulika Sana. Wana-left magroup yao hatari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna chama kina wanachama wajinga kama chadema!Nyinyi kila mtu ni msaliti. Yaani msalitiwe nyinyi tu???? Hata mwanamke wako akikusaliti kabla hujamhukumu basi jiulize kwanza kwani imekuwaje akakusaliti???
Leo kina Halima ndio Wasaliti?? Dr. Slaa kwenu msaliti, zitto kwenu msaliti, Wakudadavuwa kwenu msaliti, Patrobas kwenu msaliti and the list goes on....
Hamna hoja wakuu, hamna hoja.
Ushauri wa bure tu. Tulieni na muache ujinga wenu dhidi ya rais, angalau mambo yanaelekea now. Mama akija akighairi hamtakuwa na la kumfanya na rais ajae tunachagua msukuma wa Geita, mtajua wenyewe then.
Ulipokuwa unademka humu hukujua haya?Kwa haya matendo ya mama Samia ni dhahiri kuwa nchi yetu haikujiandaa kuwa na rais mwanamke......matendo yake ni kielelezo cha uanamke wake unavyoingiliana na taasisi anayoiongoza.........
Nafasi za utumishi wa umma sio kugawiwa kwa kuhurumiana au kubebana bali kwa kuzingatia weledi,umakini na historia ya muhusika......
CCM wameifanya hii nchi kuwa kama danguro.......lakini hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.........
Wewe ndio ulishajifia akili kabisa!Huyu mama alipo bora sasa aseme kitu kuhusu katiba mpya kwa hiari yake.
Anakoelekea si muda mrefu hali ya uwanja itamlea.
Umesema yote it’s beyond me kwenye,kuwaelewa hawa viazi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani akili zenu zimejikita kuona mama anawakomesha mataga!
Hao mataga ni kina nani?
Kweli huko chadema mwenye akili hakuna
Alipotelekeza jimbo chadema mlifanyaje?wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi. jinoe kwanza kutumia kichwa halafu utanitag wakati mwingine. Watu tunajadili maadili ya mteule wewe unazungumzia vyama
Na uhuru si favour bali ni haki, sina uhakika kama una akili za kulifahamu hilo.
NakaziaNyinyi huwa hamna jema wala shukran.
Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.
Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.
Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.
Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Sema Gwiji la aibu dunia muzimaNa mtatia akili. Hii ndiyo CCM gwiji la siasa Africa
ccm ni ile ile analog chakavu watu wale wale mawazo yale yakeHuyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya hovyo ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.
Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.
Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Aliapa kulinda katiba, hivyo ni jukumu lake na wala sio hisani kuhakikisha watu wanatendewa haki.Kwaiyo katika hizi siku mia hana zuri hata moja alilofanya lenye uzito aswa? Ila sisi wanafiki sana,
Ngojea ije kutoka hukumu Ya Mdude Nyagali , tutaanza hapa kumsifia mama kuwa yupo vizuri kuliko dikteta, maana mdude anaenda kuachiwa huru Hana hatia,
Basi baada ya mama aje Ndugai
Bora Jpm sio 😄.Narudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Nyinyi kila mtu ni msaliti. Yaani msalitiwe nyinyi tu???? Hata mwanamke wako akikusaliti kabla hujamhukumu basi jiulize kwanza kwani imekuwaje akakusaliti???
Leo kina Halima ndio Wasaliti?? Dr. Slaa kwenu msaliti, zitto kwenu msaliti, Wakudadavuwa kwenu msaliti, Patrobas kwenu msaliti and the list goes on....
Hamna hoja wakuu, hamna hoja.
Ushauri wa bure tu. Tulieni na muache ujinga wenu dhidi ya rais, angalau mambo yanaelekea now. Mama akija akighairi hamtakuwa na la kumfanya na rais ajae tunachagua msukuma wa Geita, mtajua wenyewe then.
Pole mkuu. Umepitia maswahibu mengi kwa hawa jamaaWahuni hawa wamegeuza siasa biashara kwahiyo mwenye mawazo kinzani ni msaliti
Dah,hii nchi kweli ngumu!!!!Aliapa kulinda katiba, hivyo ni jukumu lake na wala sio hisani kuhakikisha watu wanatendewa haki.
Acheni kuwa wajinga!