Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Umemjibu vema,huyo dogo ni kimeo sana,kila wakati yeye ana hasira tu.
Nchi haina lolote la kujivunia???
Nyinyi ni kupinga tu kila linalofanyika. Sasa si uhame uende kwenye nchi zenye lolote. Mbona umeng'ang'ania hapa???
Kama Tanzania haina lolote tafuta huko kwenye lolote uende