Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Umeliweka vizuri Sana. Watanzania kuna nyakati hatujijui tunataka nini kwa kweli. Mungu anaipenda nchi yetu, ameonyesha namna ambavyo nchi yetu inaweza kupoteza utulivu kwa kuruhusu yule DIKTETA kututawala kwa miaka 5 na siku 114 kisha akaitoa roho yake. Ametupa Rais mtulivu, msikivu, mfuata utawala wa Sheria na anayemwogopa Mungu kwa matendo na siyo kwa mdomo kama Mwendazake.

Siku ni chini ya 100 toka amechukua nchi na kazi yake tunaiona kuanzia Uhuru wa kujieleza na kukosoa, mikutano ya ndani. ya vyama vya siasa, ajira za waalimi na watumishi wa afya, TRA kuacha dhuluma kwa wafanya biashara, kufutwa kwa kesi za kubambikiza, ujio wa wawekezaji, utayari wa kupambana na COVID 19 na kufunguka kwa dunia ya kidiplomasia.

Hakuna anayejua To Do List ya Rais SSH ina items gani japo mimi naamini la KATIBA MPYA lipo ni suala la wakati. Cha ajabu WAKOSOAJI wa Rais SSH wanamuona hajafanya kitu. Yaani watakapoona Katiba MPYA ndiyo watakubali.

Pengine niwakumbushe, kupata Katiba nzuri ni kitu kimoja na kuheshimu Katiba ni kitu kingine. Katiba hii mbovu ya sasa yule Mwendazake alikuwa anaivunja anavyotaka. Tumpongeze kwanza huyu Samia ambaye anaiheshimu pamoja na mapungufu yake.
mkuu watu hawaeleweki wanataka nini??! Ndiomaana Mungu alitutia adabu kwa kutuletea dikteta yule,

Sasa mama Dawa yake Kama mijitu itaendelea kupinga pinga kila kitu iviivi, Bora awabane kila idara tu kmmmae, maana hatuna fadhila sisi
 
Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.

Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.

Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.

Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.

Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Ishu si hao hawana shukrani mimi sina chama cha siasa lakini mtu akiacha ubunge kwa kutokuudhuria vikao vya bunge unampaje nafasi ya ukuu wa wilaya Mama anaweza kuwa vizuri lakini anapokosea usiweke upofu kisa ni Mama wanaomsaidia teuzi wanazingua sana hii ni kweli
 
Hamna lolote mkuu, hamnaga hoja wala agenda iliyo na malengo ya kitaifa. Nyinyi ni kupinga tu kila lifanywalo.

Hamuwezi kukaa kimya mbona kipindi cha jiwe mliufyata?? Shukuruni kwamba Marais waislam wana hekma na busara.

Kwa kutumia hizo hizo kodi zenu jiwe alifanya anavyotaka na mliufyata kimyaaaa hakuna cha kodi zenu wala nini.

Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya Rais.
Wewe unaona uteuzi wa nassar ni sawa?
 
Bro wangu tumekuwa wote muda mrefu sana hapa JF. Lkn kitu ambacho nimegundua ni kuwa viongozi wote ambao wamepita tukiwa wote hapa JF umekuwa ukiwapinga. Kuanzia Kikwete, JPM mpaka SSH, wote unawapinga. Je umepata kujiuliza nini tatizo? Mfumo au mtu mwenyewe binafsi?
Nionavyo mimi tuangalie uwezo wao, na si mapungufu yao. Kwa maana viongozi wetu hawa ni binadamu kama wewe. Hawatokei MBINGUNI kama malaika. Kwa hiyo tusiwe na mtazamo wa kuwachambua tu, kana kwamba sisi tunaweza kufanya kila jambo bila makosa.
fact kabisa, jamaa Ni mkongwe kweli, nikweli tangu tawala zilizopita alikuwa anazipinga,tena tulikuwa tunakosoa wote, Sasa hata uyu mama nae bado pamoja nakuanza vizuri still wanampinga tu,

Ivi tunataka tuje tuongozwe na malaika au
 
Hamna lolote mkuu, hamnaga hoja wala agenda iliyo na malengo ya kitaifa. Nyinyi ni kupinga tu kila lifanywalo.

Hamuwezi kukaa kimya mbona kipindi cha jiwe mliufyata?? Shukuruni kwamba Marais waislam wana hekma na busara.

Kwa kutumia hizo hizo kodi zenu jiwe alifanya anavyotaka na mliufyata kimyaaaa hakuna cha kodi zenu wala nini.

Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya Rais.
Uislam unakujaje tena hapa mkuu wangu?😇
Udini ni mbaya sana boss
 
Narudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Huu Mama amalize muda wake na aondoke zake..
Amekuwa Rais by default kabisa huyu..aende.
 
We pumbavu kweli eti sabaya wamemtengenezea makosa!kwani cdm Ni Dpp?
Nakuamini uyasemayo mkuu.

Na hili pia linatufanya sasa tuanze kufikiria kwamba hat sabaya wamemtengenezea tu skendo ili waendelee kutolipa kodi.

Ngoja watu wachunguze vizuri, ikibainika atarudishwa pale pale Hai akawa shughulikie vizuri pumbavu hawa
 
Na mkiendelea hivi hiyo habari ya mikutano na the so called wapinzani wa kweli itapotelea hewani. Haina hata haja ya kuwakaribisha.

Sisi tutamkumbusha aachane na hizo habari maana Mheshimiwa Kikwete alifanya hivyo na hakuna tija yoyote iliyopatikana law kukutana na hao wanaojiita wapinzani wa kweli. Zaidi zaidi walikwenda tu kunywa chai ikulu na kuongeza gharama zisizo za msingi.

Kwa tabia zenu hizi Wallahi haya mambo ya katiba mpya na tume huru pia yanaweza yakapeperuka na to be honest my friend hamna mtakaloweza kumfanya mama. Ni hisani na busara zake tu. Ni mapenzi yake kwa taifa lake tu, hivyo musitake kumvuruga.

Eti anatoka mtu na kusema hatuwezi kumbembeleza na tutapaza sauti. You are not being realistic.

Muwe na staha wakuu
Alichaguliwa kwa imani yake au kwa kukidhi sifa bainifu zilizopo katika katiba kuwa rais wa nchi?
 
Mimi I don’t care about CCM au chadema au ujinga wowote, jibu hizo bulletins hapo! Maana na wewe umeacha hizo bulletins umeenda kwenye vyama!
Nimetaka tu ku-acknowledge kuwa mr. Mshana siyo ccm, ila umemuweka huko kwa sababu ya hoja yake! Na hilo ni kosa letu wengi hapa jukwaani! Tupo tayari kumpinga Mtu ambaye Yupo sahihi, au kumtetea jambazi (Sabaya!) kama tu ni hoja inayohusu ‘chama chetu!’
 
Tayari nyumbu zimemgeuka mama,

Tulitahadharisha mapema humu,

Hii Chadema ni zaidi ya chama, hua nawasikitikia sana watu wa maeneo flani wanaofikili hiki chama kipo kwa ajili yao

Hii mijitu ukitizama maandiko yao tu utagundua ni mijitu ya aina gani,

Na nawahakikishieni wabongo, hiki chama kikishika nchi, hadi mfagia ikulu atakua mchaga.
 
Baada ya former DPP kupewa Ujaji na kuapishwa despite kelele zote zile zenye facts, nilipoteza matumaini kwa huyu mama. Hana ajualo zaidi ya “kuvaa ushungi tu”, kama alivyonukuliwa Bashiru.

So, bila kupoteza muda, uteuzi wa Nassari hauwezi kupingwa kokote
 
Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.

Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.

Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.

Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.

Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Unakurupuka Tu,wala hujui lolote,ni kweli huku hatupo na wala kule hatupo hadi CCM itoweke ndo tutatulia,

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom