KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ahaaaaaa.....Asante kwa kunifafanulia kiongozi.....Kujibinua binua ikiwa ni sehemu ya kumsifia mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaaaaa.....Asante kwa kunifafanulia kiongozi.....Kujibinua binua ikiwa ni sehemu ya kumsifia mtu
Hivi ndivyo watu walivyochambua na kupinga uteuzi wa Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya.
View attachment 1825048
View attachment 1825050
Kama ndani ya maccm kuna wanaomtetea yule jambazi na muuaji basi chama hicho hakistahili kuwepo madarakani kwani sasa ni genge la majambazi na wauaji ambao wako tayari kufanya maovu ya kila aina ili kujikusanyia utajiri haramu na kuua ili kuendelea kung’ang’ania madaraka.
Some of the few hopeless arguments!Huyo Jiwe ndio hopeless kabisa.
Hatuhitaji kubembeleza mtu kutimiza wajibu wake kwani hii kazi waliomba wenyewe na wanalipwa vizuri sana kufanya hii kazi hivyo ni wajibu wao kufanya wanachotakiwa kukifanya.
Hizo ni kodi zetu hatuwezi kukaa kimya kuona zinatumika vibaya.
Kashasema Katiba si kipaumbele chake kwa sasa mkuu.
Wakipewa waswahili wenzetu hawafai, wakipewa mataifa mengine, kwani hapa kwetu hakuna wa kufanya hiyo kazi!?Ajabu kwa kweli. Kila ajae hafai
Hata akija malaika akatawala kupitia CCM kwa katiba hii bado hatotoshea hicho cheoNarudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Rais Samia Suluhu Hassan alipata kutuambia awamu hii anatekeleza yote aliyokua yamepangwa kutekelezwa na JPM yeye akiwa makumu, pamija na kuboresha kunakohitajika
Sijui kwanini kuna watu hawamuelewi
Chuma JPM alinoa chuma SSH
Alale salama kipenzi chetu John Pombe Magufuli
Mungu ibariki Tanzania, Mungu tulindie Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan
Pole sanaAlivyotelekeza alikuwa ni mbunge kutoka chama gani??
Na hicho chama makini kilimchukulia hatua gani from the first place???
Sidhani kama iliwahi kutokea ulinzi wa Rais wa Tanzania ukawa tatizo,tatizo ni pale tunapomlinda na asitekeleze kile wananchi wanataka akafanye naye akatenda atakayo yeye au chama chake.
Hoja zimekukaukia?Chadema ni Chama cha wajinga
Wewe mfia chama mbona umetupwa jalalani ?Nasari, Mashinji na Lijuakali si walirudi ccm?
Mama?? Tafadhali sikia haya. Kijana huyu hafai kuwa kiongozi!!Hivi ndivyo watu walivyochambua na kupinga uteuzi wa Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya.
View attachment 1825048
View attachment 1825050
Dada usifikri wote tunazunguka na kuramba viatu vya wanasiasa kila wanapoenda kama unavyofanya wewe kwa mwenyekiti wakoWewe mfia chama mbona umetupwa jalalani ?
Asikie majungu yakoMama?? Tafadhali sikia haya. Kijana huyu hafai kuwa kiongozi!!
AMENNdugu,
Nyerere aliwahi kumteua na kumtangaza Chediel Mgonja kuwa RC. Waziri Mkuu Sokoine na Waziri wa Sheria Warioba wakamwendea na kumshauri kwani alikuwa amevuliwa ubunge wake na Mahakama kutokana na kutoa rushwa. Pamoja na Nyerere kuonekana kuwa alimpenda sana Mgonja alitengua uteuzi huo ndani ya siku mbili.
Inavyoonekana ni kuwa, Mama yuko peke yake katika juhudi za kufuta nyayo za UDHALIMU. Wengi wa aliyonao hawamsaidii; kwani sio wakweli ILA ni wachumia tumbo waliyokwisha zoea na kunogewa kuishi kwa kujichekesha na kujipendekeza, muda wote kwa lolote. Hawana ujasiri wa kukosoa wala kutoa hoja za kurekebisha penye madosari hata ya wazi.
Hiyo ndio LEGACY aliyoiacha Mwendazake HASA kwa wenye unyonge wa moyo.
Mungu ataendelea kuwalinda wanaothamini HAKI.
AMEN
Well said bro.Umeliweka vizuri Sana. Watanzania kuna nyakati hatujijui tunataka nini kwa kweli. Mungu anaipenda nchi yetu, ameonyesha namna ambavyo nchi yetu inaweza kupoteza utulivu kwa kuruhusu yule DIKTETA kututawala kwa miaka 5 na siku 114 kisha akaitoa roho yake. Ametupa Rais mtulivu, msikivu, mfuata utawala wa Sheria na anayemwogopa Mungu kwa matendo na siyo kwa mdomo kama Mwendazake.
Siku ni chini ya 100 toka amechukua nchi na kazi yake tunaiona kuanzia Uhuru wa kujieleza na kukosoa, mikutano ya ndani. ya vyama vya siasa, ajira za waalimi na watumishi wa afya, TRA kuacha dhuluma kwa wafanya biashara, kufutwa kwa kesi za kubambikiza, ujio wa wawekezaji, utayari wa kupambana na COVID 19 na kufunguka kwa dunia ya kidiplomasia.
Hakuna anayejua To Do List ya Rais SSH ina items gani japo mimi naamini la KATIBA MPYA lipo ni suala la wakati. Cha ajabu WAKOSOAJI wa Rais SSH wanamuona hajafanya kitu. Yaani watakapoona Katiba MPYA ndiyo watakubali.
Pengine niwakumbushe, kupata Katiba nzuri ni kitu kimoja na kuheshimu Katiba ni kitu kingine. Katiba hii mbovu ya sasa yule Mwendazake alikuwa anaivunja anavyotaka. Tumpongeze kwanza huyu Samia ambaye anaiheshimu pamoja na mapungufu yake.
Sawa mkuuPole sana
Sijui kama kuna hoja ya msingi hapo.
Hata hivyo kamuulize kwa nini mara baada ya kuvuliwa Ubunge aliamua kuhamia CCM
Aiseee,,hii nchi kwakweli ni ngumuWatanzania kulalamika ndio jadi yetu, ni udhaifu wetu.