Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Kama akina Salma kikwete ambao hata hawawezi kujenga hoja wako bungeni wanatunga Sheria vipi kuhusu kijana msomi na mwenye uelewa WA siasa za nchi hii. Martin deservesBoss maoni yako batili, martin anafaa twitter tu na vijana wenzake. Waendelee kusukuma post, na awa influence nao waning’inize funguo za harrier kiunoni. Si ubunge. Tuheshimiane bwana.
Labda awe secretary wa mbunge.
All in all haweza pata jamaa.
Mkuu angalia wabunge wengine wapo bungeni ambao hata kuongea hawawezi sembuse Martin. Vijana wapewe nafasiBoss maoni yako batili, martin anafaa twitter tu na vijana wenzake. Waendelee kusukuma post, na awa influence nao waning’inize funguo za harrier kiunoni. Si ubunge. Tuheshimiane bwana.
Labda awe secretary wa mbunge.
All in all haweza pata jamaa.
hazina kwa kumtukana RaisHuyu jamaa ni hazina katika upinzani WA nchi hii. CHADEMA angalieni namna ya kumtafutia Jimbo ili akaongeze nguvu bungeni coming 2025.
He deserves....na haya ni maoni binafsi.
Anatukanwa mpaka Biden sembuse....mengine huwa ni maoni na mtazamo tuu....kwani wewe hujawahi kutukanwahazina kwa kumtukana Rais
Kwamba bungeni mpaka MTU awe na degree. Angalia uwezo binafsi WA kuweza kuzungumzia Mambo ya kijimbo bungeni. He canKasomea nini, nataka kujua ana degree ya kitu gani?
Sijakataa kwamba hana uwezo wa Kujenga hoja, Ila nilikuwa nataka kujua kuwa amesomea degree🎓 ya kitu gani?Kwamba bungeni mpaka MTU awe na degree. Angalia uwezo binafsi WA kuweza kuzungumzia Mambo ya kijimbo bungeni. He can
Hapo anatakiwa ajieleze mwenyewe bayana so kama unaweza kumfikia mtag erythrocyte atusaidie hapo. But kijana akipewa nafasi anaweza.Sijakataa kwamba hana uwezo wa Kujenga hoja, Ila nilikuwa nataka kujua kuwa amesomea degree🎓 ya kitu gani?
Jamaa amemajor kwenye sheria. Huyu mtoa thread hamfahamu inaonekana.Sijakataa kwamba hana uwezo wa Kujenga hoja, Ila nilikuwa nataka kujua kuwa amesomea degree🎓 ya kitu gani?
SidhaniJamaa amemajor kwenye sheria. Huyu mtoa thread hamfahamu inaonekana.
Ila ana degree ya sheria nadhani. Na aliwahi au anafanya bado kazi tanapa sijamfatilia sana.
Ametokea bunda. And i know him ni kijana wa mbowe. Yaani yupo yupo pale chadema.
Nadhani ni kijana ambae yupo kwenye harakati za chadema na atleast ana mali.
Kuna kipindi kisutu ilimuhusu saaana back then wakati tunakua
Hudhani vp? Sema unachojuaSidhani
hachaguliki ni laini sana 🐒Huyu jamaa ni hazina katika upinzani WA nchi hii. CHADEMA angalieni namna ya kumtafutia Jimbo ili akaongeze nguvu bungeni coming 2025.
He deserves....na haya ni maoni binafsi.
Chama kimtafutie kwani kuna tatizo....au basi chama kimpe nafasiJimbo ni hadi atafutiwe?