Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
- Thread starter
- #21
Ni Sawa lakini 2025 awe Kwenye Debe la Kura.hachaguliki ni laini sana 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Sawa lakini 2025 awe Kwenye Debe la Kura.hachaguliki ni laini sana 🐒
Hahahaaaa.....atakuwa hajui labda.Unagundua leo hilo? Akina kibajaj na msukuma wapo bungeni tangu lini mkuu
asithubutu hai, Arusha town,mbeya town, segerea, iringa town, tarime vijana, rorya among others, ni hatari kwa Afya na uhai anaweza potezwa 🐒Ni Sawa lakini 2025 awe Kwenye Debe la Kura.
Nani WA kumpoteza Martin ukimshindanisha na wabunge walioko maeneo hayo....sometimes stop being ridiculous.asithubutu hai, Arusha town,mbeya town, segerea, iringa town, tarime vijana, rorya among others, ni hatari kwa Afya na uhai anaweza potezwa 🐒
2017 wewe ndiyo ulikuwa unakua ?Jamaa amemajor kwenye sheria. Huyu mtoa thread hamfahamu inaonekana.
Ila ana degree ya sheria nadhani. Na aliwahi au anafanya bado kazi tanapa sijamfatilia sana.
Ametokea bunda. And i know him ni kijana wa mbowe. Yaani yupo yupo pale chadema.
Nadhani ni kijana ambae yupo kwenye harakati za chadema na atleast ana mali.
Kuna kipindi kisutu ilimuhusu saaana back then wakati tunakua
Jamaa ana confidenceYuko humu
Ila mmm siyo muogaa hat kidgo amemcharua ummy na nape hatari
Ana diploma ya uuguziKasomea nini, nataka kujua ana degree ya kitu gani?
Aah angekuwa mwanasheria angekuwa na uwezo mkubwa zaidi ya pale alipoAna diploma ya uuguzi
alipotezwa chacha wangwe sembuse huyo jamaa laini kabisa 🐒Nani WA kumpoteza Martin ukimshindanisha na wabunge walioko maeneo hayo....sometimes stop being ridiculous.
Kupotezwa kupi unakozungumzia labda.alipotezwa chacha wangwe sembuse huyo jamaa laini kabisa 🐒
Naunga mkono hoja.He deserves....
Asante mkuu MMM ni miongoni mwa vijana WA siasa za kizazi kipya. He can and he deserves.Naunga mkono hoja.
Word...Mkuu angalia wabunge wengine wapo bungeni ambao hata kuongea hawawezi sembuse Martin. Vijana wapewe nafasi
Hili nalo neno maana siasa lazima uwe na porojo. Kikubwa afikishiwe ujumbe huu WA wanaJF....pia ni kijana mwenzetu tutamsaidia kumpush kiainaKuzungumza anaweza? Public speaking .
Edo Kumwembe Anajua kuandika uchambuzi ila kuongea kawaida
Jamaa ajaribu ili na yeye tumkosoe piaNamkubali sana
2017 kanikuta kwenye game. Mimi sifahamu kama amesoma law, nimekwambia ame major kwenye law. Soma kiswahili vzuri.2017 wewe ndiyo ulikuwa unakua ?
Siyo lawyer yule.