Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
- Thread starter
- #81
Martin Maranja Masese: Rais Samia unawezaje kukubali kudanganywa na Nape Nnauye mbele yako?
Rais Samia unawezaje kukubali kudanganywa na Waziri Nape Nnauye mbele yako? Taarifa ya utendaji wa Sekta ya Mawasiliano kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022/2023 imefafanua (tazama kielelezo). Ripoti hii ya utendaji wa kisekta iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaonyesha mambo...