Martin Maranja Masese atafutiwe Jimbo agombee 2025

Martin Maranja Masese atafutiwe Jimbo agombee 2025

He deserves
screenshot_2024-01-27-12-30-12-1-png.2884533
šŸ¤”:gachiCOOL:
 
Martin ni Moja ya binadamu wapumbavu mno..Kama mtu alizaa na dada yake wa damu badi akilini hana Akili..Martin hana Degree wala certificate yoyote Chuo alifeli..Leo anakuja kushika akili nyingi za vijana na mwenzie boni kumbe kuna KIGOGO anawatumia mwisho wa siku anawatumia maokoto huku followers(WAPUMBAVU) Wenzake wakiona ni bonge la Mzalendo kumbe ni zee la kugoogle
 
Martin ni Moja ya binadamu wapumbavu mno..Kama mtu alizaa na dada yake wa damu badi akilini hana Akili..Martin hana Degree wala certificate yoyote Chuo alifeli..Leo anakuja kushika akili nyingi za vijana na mwenzie boni kumbe kuna KIGOGO anawatumia mwisho wa siku anawatumia maokoto huku followers(WAPUMBAVU) Wenzake wakiona ni bonge la Mzalendo kumbe ni zee la kugoogle
Justify hizi tuhuma. JF sio Facebook.
 
Kibongo bongo ukishaweza tu kupost andiko lako lisilo na kichwa wala miguu mtandaoni au kutukana viongozi unaonekana mwanaharakati kumbe deep down ni kiande tu

Mwambie atoke mtandaoni aje field, na asiishie kwenye mikutano yao tu ambayo hata hivyo ni aghalabu kumkuta kashika microphone na kushusha point zaidi ya kupiga picha na hao wanaojiita makamanda wenzake

Aje mtaani kwenye changamoto haswa, ashiriki na wananchi awasemee na ajitokeze kuelezea atatatua kwa namna gani na awe sehemu ya suluhisho na sio kutukana tu kama punguani
 
ujamchunguza tu hafai kua kiongoz ni msela tu mwenye mdomo mchaf mbabe na hasira mbele na aangalii umri anatukan yyte matus ya nguon kibur na aogop chochote wala aeshim yyte labda mbowe..kua kiongoz sio mchezo mzee
 
Sijakataa kwamba hana uwezo wa Kujenga hoja, Ila nilikuwa nataka kujua kuwa amesomea degreešŸŽ“ ya kitu gani?
Kwani siku hizi sofa ya kua mbunge ni pamoja na digrii?
Martin Maranja Masese ni kijana hatari sana kiukweli,jamaa anajenga hoja na kudadavua mambo kisawasawa.
 
Kibongo bongo ukishaweza tu kupost andiko lako lisilo na kichwa wala miguu mtandaoni au kutukana viongozi unaonekana mwanaharakati kumbe deep down ni kiande tu

Mwambie atoke mtandaoni aje field, na asiishie kwenye mikutano yao tu ambayo hata hivyo ni aghalabu kumkuta kashika microphone na kushusha point zaidi ya kupiga picha na hao wanaojiita makamanda wenzake

Aje mtaani kwenye changamoto haswa, ashiriki na wananchi awasemee na ajitokeze kuelezea atatatua kwa namna gani na awe sehemu ya suluhisho na sio kutukana tu kama punguani
Jamaa ni wamoto sana yule,huwa naona anavyoweka hoja zake,yaani yupo vizuri sana.Amempelekea Ummy moto na NHIF hadi siyo poa,Kitila Mkumbo,HKigwangala na wengine wengi,kweli unafikia hatua unasema jamaa anajitahidi sana kutumia ubongo wake.
Yuko vizuri sana kichwani yule jamaa.
 
Huyu jamaa ni hazina katika upinzani WA nchi hii. CHADEMA angalieni namna ya kumtafutia Jimbo ili akaongeze nguvu bungeni coming 2025.

He deserves....na haya ni maoni binafsi.
Naona unajipigia kampeni
 
Jamaa ni wamoto sana yule,huwa naona anavyoweka hoja zake,yaani yupo vizuri sana.Amempelekea Ummy moto na NHIF hadi siyo poa,Kitila Mkumbo,HKigwangala na wengine wengi,kweli unafikia hatua unasema jamaa anajitahidi sana kutumia ubongo wake.
Yuko vizuri sana kichwani yule jamaa.
Jamaa Yuko vizuri kabisa asee
 
Back
Top Bottom