Martin Maranja Masese atafutiwe Jimbo agombee 2025

2017 wewe ndiyo ulikuwa unakua ?

Siyo lawyer yule.
 
Ila chukulia vijana WA rika lake....anao uwezo WA kulisimamia Jimbo. Hata kama hana elimu kubwa Sana but ni mtafiti na mjenga hoja mzuri.
Vile vile propaganda anaziweza. He deserves CHADEMA imfikirie.
 
Kuzungumza anaweza? Public speaking .
Edo Kumwembe Anajua kuandika uchambuzi ila kuongea kawaida
Hili nalo neno maana siasa lazima uwe na porojo. Kikubwa afikishiwe ujumbe huu WA wanaJF....pia ni kijana mwenzetu tutamsaidia kumpush kiaina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…