Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
- Thread starter
-
- #61
Kwani sifa hizo zote huzioni Kwa Makonda,sabaya na wengineo? Hayo yote yameletwa na viongozi waliopo.ujamchunguza tu hafai kua kiongoz ni msela tu mwenye mdomo mchaf mbabe na hasira mbele na aangalii umri anatukan yyte matus ya nguon kibur na aogop chochote wala aeshim yyte labda mbowe..kua kiongoz sio mchezo mzee
Kumajor kwenye law ndiyo kitu gani hiko mkuu ?2017 kanikuta kwenye game. Mimi sifahamu kama amesoma law, nimekwambia ame major kwenye law. Soma kiswahili vzuri.
Mnachukulia rahisi kuongoza watu.Huyu jamaa ni hazina katika upinzani WA nchi hii. CHADEMA angalieni namna ya kumtafutia Jimbo ili akaongeze nguvu bungeni coming 2025.
He deserves....na haya ni maoni binafsi.
Wivu,mnataka msifiwe nyie unakataa pasipo na ushahidi,mwenzio akisifiwa unaumia,hizi ni roho za kike chief.Sidhani
Sasa ulitaka azae nawewe[emoji16],kumjadili mtu ndo Kuna dhihirisha kuwa wewe ndie mpumbavu,kumjua jua sana mwanaume mwenzio nako pia ni tatizo,Nina mashaka naww kile kiduara sidhani kama kipo salama.Martin ni Moja ya binadamu wapumbavu mno..Kama mtu alizaa na dada yake wa damu badi akilini hana Akili..Martin hana Degree wala certificate yoyote Chuo alifeli..Leo anakuja kushika akili nyingi za vijana na mwenzie boni kumbe kuna KIGOGO anawatumia mwisho wa siku anawatumia maokoto huku followers(WAPUMBAVU) Wenzake wakiona ni bonge la Mzalendo kumbe ni zee la kugoogle
Kumbe alionja asali ya dadaake?Martin ni Moja ya binadamu wapumbavu mno..Kama mtu alizaa na dada yake wa damu badi akilini hana Akili..Martin hana Degree wala certificate yoyote Chuo alifeli..Leo anakuja kushika akili nyingi za vijana na mwenzie boni kumbe kuna KIGOGO anawatumia mwisho wa siku anawatumia maokoto huku followers(WAPUMBAVU) Wenzake wakiona ni bonge la Mzalendo kumbe ni zee la kugoogle
Wewe ndo unaona kuongoza watu ni KAZI.Mnachukulia rahisi kuongoza watu.
Kuweni serious basi.Wewe ndo unaona kuongoza watu ni KAZI.
Nape,Makonda,makamba senior huwa hawatukani. Tena wao walishamteta mpaka rais aliyeko madarakani. Are you so forgetfull that way. Tatizo letu tunachunguza udhaifu WA MTU kabla ya mazuri yake.Kuweni serious basi.
Huyo jamaa hafai hata kuwa balozi wa kitongoji, uongozi sio kutukana watu/viongozi mitandaoni.
Kwani kujulikana mpaka huko kijijini kwenu wamjue? Anagombea urais kwani?Kuna anaemjua zaidi ya huko “X
Wabongo hawa, mbona wewe huwezi kuwapinga hawa wadhalimMartin ni Moja ya binadamu wapumbavu mno..Kama mtu alizaa na dada yake wa damu badi akilini hana Akili..Martin hana Degree wala certificate yoyote Chuo alifeli..Leo anakuja kushika akili nyingi za vijana na mwenzie boni kumbe kuna KIGOGO anawatumia mwisho wa siku anawatumia maokoto huku followers(WAPUMBAVU) Wenzake wakiona ni bonge la Mzalendo kumbe ni zee la kugoogle
Haya tueleze nje/ndani unavyomfaham wewe.Sidhani
Mkuu,kuwa positive na hili. Martin maranja anaweza kabisa sema labda ni roho mbaya Tu Ila namna anavyoibua hoja....Yuko poa sanaLabda lianzishwe bunge la twitter na sera ziwe ni matusi ndo atashinda maana hata kutetea hoja zake hawezi huwa anajibu matusi