Umebaki wewe kamanda wa mitandaoni.Hii ni taarifa ya Ntobi
Napokea simu nyingi- zikiuliza kuhusu @IAMartin_ Ni kwamba, Martin hajatekwa bado wala kukamatwa ila, Polisi wamekamata simu zake zote (IPhone 15 & Samsung) hivyo zipo mikononi mwa Polisi. Poleni kwa kutopokelewa. Mwenetu ni mzima wa afya. Sept 18, 2024 #NeverNeverAgain
PumbafMdomo uliponza kichwa vp Sativa,mdude na wanaspace wote bado wanatukana
USSR
Acha kutukana wewe jibu hoja.Pumbaf
Hoja ni ipi hapo?Acha kutukana wewe jibu hoja.
Manabii njaa pia mpo chadema ,kiboko ya wachawi weweMithali 28:16 SRUV
Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana; Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Ni wa kuzaliwa upo kwenye DNA.Hauna tiba huo.Pumbaf
Matapeli tu hawa.Ngoja wanyooshwe mpaka akili ziwakae sawa.maana walitaka kuleta ujuaji sana hapa nchiniManabii njaa pia mpo chadema ,kiboko ya wachawi wewe
USSR
Must Go where?23 September must go
Mungu wanguHii ni taarifa ya Ntobi
Napokea simu nyingi- zikiuliza kuhusu @IAMartin_ Ni kwamba, Martin hajatekwa bado wala kukamatwa ila, Polisi wamekamata simu zake zote (IPhone 15 & Samsung) hivyo zipo mikononi mwa Polisi. Poleni kwa kutopokelewa. Mwenetu ni mzima wa afya. Sept 18, 2024 #NeverNeverAgain
Mithali 28:16Mdomo uliponza kichwa vp Sativa,mdude na wanaspace wote bado wanatukana
USSR
Watafanikia kuifungua Samsung. Lakini hiyo iphone watatambika nayoHii ni taarifa ya Ntobi
Napokea simu nyingi- zikiuliza kuhusu @IAMartin_ Ni kwamba, Martin hajatekwa bado wala kukamatwa ila, Polisi wamekamata simu zake zote (IPhone 15 & Samsung) hivyo zipo mikononi mwa Polisi. Poleni kwa kutopokelewa. Mwenetu ni mzima wa afya. Sept 18, 2024 #NeverNeverAgain